Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbezi ya kimara ni kwa walalahoi mkuu?Ni mbezi ipi?
Beach au kimara ??
Najua hiyo itakua kwa walalahoi tu
Maana beach hawawezi kukata hata iweje
Transfoma imelipuka tangu ijumaa na umeme mpaka sasa hakuna kwenye line ya hii transfoma
Hii transfoma ipo maeneo ya chuo cha teku ,mitaa ya block T jijini Mbeya
View attachment 712322
Tumepokea taarifa kwa ufatiliaji mpendea mteja
Mwisho na TANESCO tuwafikirie vibayaKweli tanesco wanakera. Kama siku hizi wamekuja na style yao ya kukata umeme usiku wa manane. Vyuma vyenyewe vimekaza na mida hiyo ndio ya majizi.
nimeshakwenda lakini naomba ni mlolongo nimeandika barua naambiwa nisubiri mwezi mzima na huu ni mwezi wa pili hamna kitu kilichofanyikanenda kwenye kituo chako cha karibu cha tanesco, mi mwenyewe niliwekwa tariff 1, nilibadilishiwa cery simple na sikuhonga hatta senti moja.
Hii inakera hata sioni maana ya hii thread katika kutusaida wananchi.nimeshakwenda lakini naomba ni mlolongo nimeandika barua naambiwa nisubiri mwezi mzima na huu ni mwezi wa pili hamna kitu kilichofanyika
Ni kweli kabisaMwanzo walituona vilaza hatujui umeme wakidhani wao tu wamesomea walidai vikombe vilijaa udongo uliosababisha uzito baada ya kulowa na mvua! Hivyo wanavodai vikombe haviwezi kuhifadhi udongo wala maji jinsi vilivotengenezwa na miaka yote zaidi ya mia tatizo hilo hakuwahi kutokea. Tanesco siku zote hufanya kazi kisiasa, udongo wanaweka mbele.