Q-liner
JF-Expert Member
- Nov 4, 2017
- 345
- 639
Naomba ufafanuzi nina tatizo,Mita yangu ya luku ilikua imeharibika nikaenda kutoa taarifa kwenu, nikabadilishiwa lakin baada ya kupata usumbufu mkubwa sana, sasa baada ya kuwekewa mita mpya nilipewa unit 50 offer kwa minajili kwamba zikiisha nitazilipia hela za izo unit nilizopewa then ntanunua za kwangu.
sasa cha kusikitisha ni kwamba kwenye mita ya sasa unit zinakwenda si kawaida tofaut kabisa na matumizi yangu, kwa maana matumizi yangu ni madogo sana!zile 50 zimeisha baada ya wiki 2 nimenunua zingine nimepata 34 ndani ya siku 3 zimebaki 11 sasa sielew nimeenda kwenye branch yenu Ukonga wananiletea ubabaishaji tupu wanakataa hakuna kitu kama hicho...naomba ufafanuz wa tatizo langu tafadhal
sasa cha kusikitisha ni kwamba kwenye mita ya sasa unit zinakwenda si kawaida tofaut kabisa na matumizi yangu, kwa maana matumizi yangu ni madogo sana!zile 50 zimeisha baada ya wiki 2 nimenunua zingine nimepata 34 ndani ya siku 3 zimebaki 11 sasa sielew nimeenda kwenye branch yenu Ukonga wananiletea ubabaishaji tupu wanakataa hakuna kitu kama hicho...naomba ufafanuz wa tatizo langu tafadhal