Eneo gani haswa na namba yako ya simu tulifatieNaambiwa kule Ngara/ Rulenge kuna tatizo kubwa sana la umeme. Ni Mwezi sasa umeme unaweza kuwa kwa saa moja tu au mawili kwa siku. Rulenge wameungwa kwenye grid kutoka kwenye majenerato, tangu wakati huo umeme ni shida sana. Ngara wanawasha jenereta umeme ukikatika wa grid, Rulenge, Benaco hapana hadi grid irudi. Saidieni
Tumeipokea kwa hatua zaidi mpendwa mtejaNilitoa taarifa tabata tanesco kupitia simu kua nguzo iko ktk hali mbaya inaweza kudondoka nikapatiwa namba ya taarifa 3769 tokea hyo siku tarehe 21januari2018 mpaka Leo hakuna walichofanya pmj na juhudi zote za kuwakumbusha.........ifike pahala mtujali wateja wenu
Nimekutumia inboxEneo gani haswa na namba yako ya simu tulifatie
Ndugu mteja sio kweli madeni yote yapo pale pale isipokuwa wateja wanaolipa mara moja wanaweza kuomba kupunguziwa ribahabarini Tanesco, Mimi NI mkazi wa Tanesco mkoa wa ilala, Nyumba yangu iko ukonga, shida yangu kuu napenda kuuliza, nimepata tetesi kuwa wale tulikuwa na madeni na tukaingia katika mfumo wa malipo kwa njia ya LUKU mkoa wa ilala, tumefutiwa madeni je kuna ukweli wowote juu ya hili!? msaada Tafadhali namba yangu ya LUKU ni 24219542842
ha ha ha, akijibu naomba unistueHaya kwa kuanzia chukua grid reference hizi hapa tuone kama nawe unawajibika au upo hapa kimagumashi.
-6.825615, 37.697527
ha ha ha, akijibu naomba unistue
Moja ya transformer iliyopo mjini kabisa. Uongozi na wafanyakazi wanapita hapa kila siku. Hii ni nini? Au mpaka rais alisemee!View attachment 757690View attachment 757691View attachment 757692
Mkuu hizi Picha zako na jinsi ulivyoziweka hapa Kimwonekano hizi Shingo zetu zikipata matatizo kwa Kuuma kutokana na Kuzipinda ili tuzikodolee / tuziangalie vizuri utakuwa tayari kutununulia dawa za Maumivu?
Nimejaribu kuzigeuza nimeshindwa. Mnisamehee bure
Ninyi Tanesco hamuwezi tatua matatzo pasipo kuomba namba ya simu???Eneo gani haswa na namba yako ya simu tulifatie