karms
JF-Expert Member
- Sep 26, 2013
- 226
- 63
Nilitoa taarifa tabata tanesco kupitia simu kua nguzo iko ktk hali mbaya inaweza kudondoka nikapatiwa namba ya taarifa 3769 tokea hyo siku tarehe 21januari2018 mpaka Leo hakuna walichofanya pmj na juhudi zote za kuwakumbusha.........ifike pahala mtujali wateja wenu