TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Hello naitwa Justinian Barongo nauliza kuunganishishiwa umeme wa REA inachukua muda gani kufanya survey mpaka kuunganisha

Maana Nina nyumba ambayo tayari imefanyiwa mchoro mpaka kufunga wiring kwa kuzingatia vigezo stahiki na fomu niliwaachia Tanesco Bukoba toka Nov 21 2017,ila mpaka Leo sijapata majibu ya surveyor nikiuliza naambiwa mradi wa umeme REA Bukoba vijijini umesimama kwa sasa.

Rai yangu,nilijiongeza kwa kukamilisha kila hitaji Tanesco wanalotaka na naomba kuungnanishiwa umeme maana naamini ni haki yangu ya msingi

Eneo: Bukoba vijijini
Namba ya simu: 0784670549
Karibu : kituo cha bus kinaitwa stop
Jinsi ya kufika: unatoka bkb mjini-kyetema-katerero-kanazi- Ibwera- Kafunjo unakata kushoto-Nyakigando- mishenye kijiji

Mkoa: Kagera
Wilaya: Bukoba Vijijini
Kata: Butelankuzi ukiwa barabarani u naona ziwa Ikimba
Kijiji: Mishenye

Jirani: Dionise,shamba liko barabarani

Thanks
jamani toka January 2018 todate umeme.amjafunga nafuatilia majibu yaleyale nguzo na waya inasikitisha kwa kweli issue nadhani ni kuescalate futher
 
Kule kibamba kunahospital kubwa sana lakini hapiti siku au katika siku moja umeme unakatika hata mara mbili au tatu na siku nyingine ni siku mzima hili mnalichukuliaje?
 
Shukrani za pekee, zimfikie Rais Mh John Joseph Pombe Maghufuli, Makamu wake Mama Yangu mpendwa Samoa Suluhu Hassan, Waziri Mkuu mh Kassim Majaliwa Kassimu, Mbunge Wangu Mh ULEGA ,Viongozi Wa wilaya na kijiji, pamoja na shirika la Umeme TANESCO.

Nimetoa shukrani hizi ,kwa viongozi hawa kwa kutoa maagizo,kusimamia na kuongoza mpaka Leo hii ninapoandika hili kijiji chetu cha MKOKOZI wilaya ya MKURANGA ,nguzo, nyaya, transfoma zimeishafungwa ,na wananchi kutakiwa kwenda kuchukua fomu Tanesco.

Mazoezi yote yamefanyika kwa ufanisi mkubwa sasa wananchi tunakisebusebu na kiroho papo tunaomba MASAVEYA nao wawe na Kasi ile walioanzisha viongozi.
 
Hivi malipo ya kuunganishiwa umeme naweza kulipia popote au ni kwenye kituo tu nilichoomba umeme? Kuunganishiwa ni Igoma Mwanza mimi nipo Sumbawanga kwa sasa.naweza kulipia Tanesco sumbawanga na nikaunganishiwa umeme Igoma?
 
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.

Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;

1.ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2.NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3.KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)

TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;

LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO

Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu

HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA

Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219

Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098

Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361

Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386

Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110

Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779

Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8

Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590

Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330

Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061

Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672

Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180

Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728

Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2

Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133

Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868

Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120

Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668

Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200

IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makauu.

NAMBA ZA SIMU ZA MADAWATI YA DHARURA YA TANESCO MIKOA YOTE

1. Ilala

0222133330/ 0784 768586/ 0715 768586.

2.Kinondoni Kusini (Magomeni)

0784271461/ 0715271461

3. Kinondoni Kasikazini(Mikocheni)

0784 768584/ 0716 768584

4. Temeke

0222138352/ 0732 997361/ 0758881055/ 0712 052720

5. Pwani
078 5122020/065 7108782/023 2402386

6. Mbeya
0759 777781/0787 023422


7.Arusha
0758174343/
0622612501/
+255 27 2506110

8.Tanga
0658 122 412/0687 677 667/ 027 2646 779

9. Kilimanjaro
0765 397 925/0682 771 310/ (+255) 272 755 007/8

10 Manyara
0689 795 599/ 0627938951

11. Mwanza
0759 777 786/0687 910 202/
(+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

12. Geita
0744 085 696/(+255) 28 2520330

13.Kagera
078 5 787 898 / 075 3 120 701/(+255) 282 220 061

14.Mara
0788 950 688/
028 262 2020/
0762 165 087

15.Simiyu
+255 282 700 180/0626383440/0745044072

16. Dodoma
0782 161 643/(+255) 262 321 728

17. Morogoro
068 4889272 /065 4829046/ (+255) 232 613 501/2

18 Singida
071 4 477 445 /0732 960 924 / 0689 373 757/(+255) 262 502 133

19. Tabora
0786 558 510 /0763 162 868

20. Shinyanga
0754 521 070/(+255) 28 2762120 /
0783 521 070

21. Kigoma
078 3720598/(+255) 2988226

22. Katavi
0688345200

23. Rukwa
0252161120/0768879813
24. Songwe
0684 611716/0763 430381.

25. Ruvuma
0252602281/0763 194 979/0787 758 986

26. Njombe
0744703988

27. Mtwara:
0789 999942/023 2333902

28. Iringa 0262702019/0739203015

29. Lindi
0752518247/0685692786


Kituo cha Miito ya simu/Call Centre Makao Makuu

0768 985 100/0222194400

Facebook
www.facebook.com/tanescoyetu

Twitter
www.twitter.com/tanescoyetu

Tovuti
www.tanesco.co.tz

Barua pepe
Customer.service@tanesco.co.tz

Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
nimenunua umeme jana asubuhi kupitia voda line lakini sikupata umeme mpaka kufikia usiku nikapiga sim voda waniambie kuna tatizo gani wakasema nisubiri watanijibu mwishoe wakanitumia unit TOKEN no. niingize nimejaribu kuingiza inaniambia no. USED zimetumika. hivyo nikabidi nitumie kununua umeme mwingine kwa tigo line ndio nikapata. naomba mnirudishie umeme wangu nilionunua kupitia sim no. 0743004005
 

Attachments

  • tanesco.jpg
    tanesco.jpg
    29.2 KB · Views: 70
Naomba kufahamu baada ya kufanya malipo na nikaambiwa site yangu inhitaji nguzo moja kwahiyo nikae baada ya miezi mitatu ndio nitaletewa nguzo na kufungiwa umeme::: sasa huu ni mwezi wa nne na risiti za malipo niliwaletea kumaanisha nimesha fanya malipo yoye crdb bank:

Naomba kujua nikae tena kwa muda gani nikiendelea ku Subir baada ya hii miezi minne naelekea watano sasa
 
Hongereni TANESCO kwa kazi nzuri, ila huku kwetu Maeneo ya Mwembe Mdogo, Amani gomvu, mwanzo mgumu, Kigamboni. Zimechimbiwa nguzo na zimeishia katikati bila kufika kwenye nyumba yoyote wakalaza nguzo zingine hadi karibia na na nyumba zetu mara wakazichukua kuuliza wakasema mradi haufiki kwetu tukauliza mbona mnatoa wakasema subirini awamu nyingine ya mradi, sasa mbona nguzo mlitandaza mwanzo kama haukuwa mradi kwanini mlitandaza bila kuchimbia leo umnazichukua? hapo mlipochimbia mbona hakuna maana kwasababu hakuna mtu anae hitaji huduma kwanini msilete hapa na si zaidi ya nguzo tatu, ila wamegoma kabisa. Tumesubiri umeme kwa muda mrefu sana ila umekuja unaishia pasipo maana. Najua nyie nu watendaji wazuri hebu tunaimba mtusaidie kwa hili maana inaonekana kama kuna watu wanapelekewa nguzo kimjuano.
 
Nataka kujua mtumiaji wa umeme wa nyumbani analipa sawa na yule anayefanya biashara?
 
Mita inakata umeme nikiwasha dryer ya nywele tu vingine haikati biashatlra ya saluni imebidi tuhame fremu
 
Kupika kwa umeme haijawahi kuwa rahisi, ila tekinolijia mpya ya induction
*sifa za majiko*
[emoji871] yanatumia umeme kidogo sana inawezekana.
[emoji871] Majiko haya yanaitwa induction electric coocker,
[emoji871] yanatumia umeme kidogo kwa asilimia 80% ukilinganisha na majiko ya kawaida. Yaan kama utatumia umeme wa Tsh. 10000/= kwa jiko la kawaida, kwa jiko la induction utatumia umeme wa 2000/= hivyo kufanya liwe na gaharama nafuu kuliko hata gass.
[emoji871] Jiko hili unachomeka popote hata kwenye extension ndogo tu na waya hautachemka, tofauti kabisa na jiko la kawaida ambapo ni lazima pawepo socket ya coocker ilounganisha moja kwa moja kutoka mainswitch.
[emoji871]Jiko hili ni touch screen hivyo kufanya matumizi yake kuwa marahisi sana,
[emoji871]ni jepesi kubeba hivyo unaweza kusafiri nalo popote kwenye bag la kawaida.
[emoji871]Kuna yanayotoa joto kwenye plate(hayachagui sufuria) , na yasiyotoa joto (yanachagua sufuria)
[emoji871]moto wake ni mkali kuliko wa gess, na jiko la umeme la kawaida, hivyo hufanya upikaji kuwa wa haraka sana hivyo husaidia kupunguza matumizi ya umeme ya muda mrefu.
[emoji871]Kama unahitaji hili jiko linapatikana kwa gharama ya ths.150,000/=tu. Tunapatikana musoma mjini, tupigie simu 0782183441. Kwa walio mikoani tutatuma jiko kwa garama za mteja, baada ya kufanya downpayment.
IMG_20180721_113208_111.jpg
 
Tanesco kwa sasa mnafanya kazi kwa kujiskia,,, juzi nilipata shoti ya umeme,umeme ulikuwa umekatika, ulivorudi ulikua mkubwa,so ukaaanza kuleta shida mwishoni ukazima,,nikapiga simu Tanesco wakaniambia watakuja,nilikaa mpaka siku tatu,nikipiga wanasema wako njiani,nikajua wanatoka kigoma,,ikanibidi nimuite fundi aangalie tatizo ni nini,, akarekebisha nikatoa pesa, cha kushangaza siku ya tano wananipigia kuwa wamekaribia kwangu niwaelekeze waje waangalie tatizo,,yaani wamenishangaza,nikawajibu nimeshalitatua waendelee na safari yao,,yaani Tanesco nyie ni washenzi sana,,na bado mwaka jana nyumbani pale kinondoni nyaya zinatoa cheche, ilitubidi tuzime main switch,walikuja baada ya wiki,,hapo dadangu alikua anapiga simu kila baada ya nusu saa,tanesco mkipata mpinzani kama ilivyo mitandao ya simu,mtajifunza,,,,
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.

Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;

1.ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2.NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3.KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)

TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;

LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO

Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu

HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA

Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219

Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098

Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361

Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386

Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110

Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779

Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8

Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590

Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330

Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061

Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672

Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180

Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728

Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2

Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133

Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868

Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120

Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668

Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200

IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makauu.

NAMBA ZA SIMU ZA MADAWATI YA DHARURA YA TANESCO MIKOA YOTE

1. Ilala

0222133330/ 0784 768586/ 0715 768586.

2.Kinondoni Kusini (Magomeni)

0784271461/ 0715271461

3. Kinondoni Kasikazini(Mikocheni)

0784 768584/ 0716 768584

4. Temeke

0222138352/ 0732 997361/ 0758881055/ 0712 052720

5. Pwani
078 5122020/065 7108782/023 2402386

6. Mbeya
0759 777781/0787 023422


7.Arusha
0758174343/
0622612501/
+255 27 2506110

8.Tanga
0658 122 412/0687 677 667/ 027 2646 779

9. Kilimanjaro
0765 397 925/0682 771 310/ (+255) 272 755 007/8

10 Manyara
0689 795 599/ 0627938951

11. Mwanza
0759 777 786/0687 910 202/
(+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

12. Geita
0744 085 696/(+255) 28 2520330

13.Kagera
078 5 787 898 / 075 3 120 701/(+255) 282 220 061

14.Mara
0788 950 688/
028 262 2020/
0762 165 087

15.Simiyu
+255 282 700 180/0626383440/0745044072

16. Dodoma
0782 161 643/(+255) 262 321 728

17. Morogoro
068 4889272 /065 4829046/ (+255) 232 613 501/2

18 Singida
071 4 477 445 /0732 960 924 / 0689 373 757/(+255) 262 502 133

19. Tabora
0786 558 510 /0763 162 868

20. Shinyanga
0754 521 070/(+255) 28 2762120 /
0783 521 070

21. Kigoma
078 3720598/(+255) 2988226

22. Katavi
0688345200

23. Rukwa
0252161120/0768879813
24. Songwe
0684 611716/0763 430381.

25. Ruvuma
0252602281/0763 194 979/0787 758 986

26. Njombe
0744703988

27. Mtwara:
0789 999942/023 2333902

28. Iringa 0262702019/0739203015

29. Lindi
0752518247/0685692786


Kituo cha Miito ya simu/Call Centre Makao Makuu

0768 985 100/0222194400

Facebook
www.facebook.com/tanescoyetu

Twitter
www.twitter.com/tanescoyetu

Tovuti
www.tanesco.co.tz

Barua pepe
Customer.service@tanesco.co.tz

Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
 
Tanesco kuna tatizo
Mkoa: morogoro
WIlaya:kilombero
Tarafa: mlimba
Kata: utengule
Kijiji: utengule
Tatizo ni matawi ya miti kuangukia kwenye waya za umeme zinazoenda nyumbani zipo chini kabisa hatari sana kwa afya
 
Hivi kwenye shirika lenu mnaongozwa na wataalamu au na wanasiasa?

Mnawezaje kupeleka umeme sehemu ambapo hakuna wateja? Mnapeleka umeme vijijini alafu kuna miji ambapo huduma zenu hazijafika kabisa.

Mnapeleka umeme sehemu ambapo ikitokea janga la moto zimamoto hawafiki.

Inakuwaje mnatumia mtaji wa wateja wakati hamuwalipi? Hapa namaanisha hivi .. ikitokea nikavuta umeme mnaniuzia nguzo lakini mkitaka kutumia hizo nguzo kwa ajili ya wateja wengine hamnilipi?

Mapungufu hayo ndiyo yaliyonifanya nitumie huduma mbadala kwa sababu huduma zenu chengachenga.
 
Nilimsikia Mh. Waziri akisema kua siku hizi kuunganishiwa umeme ni ndani ya siku 7 kwa waliolipia (http://www.mwananchi.co.tz/habari/D...sco-Arusha/1597578-4346758-nop3boz/index.html),, Mbona wengine inakaribia mwezi wa pili toka tulipie na bado hatujaunganishiwa na kila siku ukienda kwa Manager na Engineer wote wanatoa sababu?

Je kuna tatizo ambalo wananchi tulistahili kuhabarishwa mana Waziri anasema ndani ya siku 7 na Kampuni inatukalisha zaidi ya miezi miwili bila huduma?
 
Jumamosi ya Tarehe 28/02/2018 nilikuja kuunganishiwa umeme hapa kimara baruti, kama mteja mpya ni lazima umeme wa kwanza nikanunue kwenu, ila mpaka leo nilivyoenda wananiambia mita yangu bado haijasajiliwa, na siku hizi mita mpya mnatoa uniti 10 tu, si kama zamani mlikua nnatoa kianzio cha unit 50, sasa tatizo liko wapi wiki nzima hhamsajili na vi unity 10 mlivyonipa ndio vimeisha, narudi gizani tena, nn shida hamnisajili?
 
Masharti kabla ya kupewa umeme kwenye ile form,, kunamasharti yameandikwa kwa nyuma,,plz ninaomba kwa kiingereza,,
 
Back
Top Bottom