Naona TANESCO mnachagua post za kujibuTANESCO Ukonga. Nimepeleka maombi ya kuunganishiwa umeme tangu mwezi June mwaka huu, nikapewa account ya kulipia shilingi laki nane. Nikalipa, kisha nikaambiwa nisifike tena TANESCO kwani kuna foleni kubwa ya wateja, nitapigiwa simu. Mpaka leo ni kimya.
Je, inachukua miezi mingapi kwa mteja kuunganishiwa umeme?
TANESCO NAOMBA naomba mnibadilishe mniweke kwenye matumizi madogo namba yangu ya mita 54182960069Je bado tatizo linaendelea kwaki? Tunakmba namba yako ya simu
Ndugu mpendwa mteja tulitoa taarifa ya ikarabati wa miundombinu eneo lakoTanesco tunapata shida sana hapa Tabata matumbi mpaka dampo almost three days consecutively kila inapofika asubuhi mnakata umeme kurudisha jion ama usiku ...kuna mgao ama shida ni nini
Je leo hamna umeme?Na mimi nasubiri majibu nipo hapa tabata old dampo magerage leo siku ya pili tumekumbana na mgao wa umeme shughuli zimesimama alafu hakuna taarifa yeyote iliyotolewa na Tanesco
Kama ni mgao semeni tujue na huu mgao utachukua muda gani ?
Eneo gani na namba yako ya simu mpendwa.mteja wetuTanesco mrgr wamelelala tang juz umeme umekatika mtaa wa karume hadi leo wamepiga kimya, mtaa upo ktkt ya mji giza limetanda mpaka aibu, inasemekana shoti ndio sababu kama ambavyo wahudum wa hapa gest iliopo mtaa nliofikia wanaelezea, kama wagen tumechoka na kero hii kwa siku mbili hiz vipi wenyeji c watakaa mwez mzima?
Ndugu mpendwa mteja wetu tumepokea taarifa hii kwa ufatiliaji zaidiKwa muda wa wiki mbili sasa maeneo ya Gongolamboto, Pugu, Chanika na Kisarawe umeme umekuwa ukikatika asubuhi na kurudi usiku saa moja au saa mbili kiasi cha kuwatia hasara wananchi wanaotumia nishati hiyo kwa shughuli mbalimbali za maendeleo.
Tanesco wamekuwa wakikata umeme bila kutoa taarifa. Hakuna tangazo rasmi la katizo la umeme. Watu waliojiajiri kwenye viwanda vya Saluni ni waathirika wakubwa maana kwa wiki mbili nzima hakuna umeme. Walioweka samaki, matunda na vyakula kwenye majokofu wanaishia kumwaga tu vyakula sababu vinaharibika.
Hata usiku umeme unaporudi unakuwa ni wenye kukatika katika kabisa.
Tanesco tangazeni mgao wa umeme tuwaelewe
Wameshashughulikia next day, ur to late to respond bt shukran even for this responseEneo gani na namba yako ya simu mpendwa.mteja wetu
Kigamboni eneo gani na namba yako ya simu? Kigamboni ni miongoni mwa maeneo ambayo tumefanya kazi kubwa kuimarisha umeme na juma hili tumekuwa na katizo lililotokana na hitilafu ambapo wateja walijulishwa.tunaomba namba yako ya simu tukusikilize zaidZile nyimbo na ngonjera za 'miundo mbinu chakavu' zimeshachuja na hazina mashiko tena katika zama hizi za Magufuli. Sina shaka Kigamboni ndio inayoongoza kwa ukatikaji wa umeme hovyo hovyo katika jiji la Dar, kwa wiki umeme unakatika mara tatu hadi nne kutegemea na siku hiyo wameamkaje; shida ni nini, mbona ni Kigamboni tu? Nani awajibishwe?
Kwahiyo unataka kusema ni juma hili tu ndio mmekuwa mkikatakata umeme hovyo? Nipo Kibugumo, umeme unakatika masaa mawili unarudi, unakatika masaa matatu unarudi, unakatika na kurudi bila utaratibu maalum, kama ni hitilafu irekebisheni mara moja, mbona ulaya hakuna haya mambo,rekebisheni hiyo hitilafu mara moja.Kigamboni eneo gani na namba yako ya simu? Kigamboni ni miongoni mwa maeneo ambayo tumefanya kazi kubwa kuimarisha umeme na juma hili tumekuwa na katizo lililotokana na hitilafu ambapo wateja walijulishwa.tunaomba namba yako ya simu tukusikilize zaid
TANESCO swala langu mbona kimya?Kila mteja anayefungiwa umeme anafungiwa kutokana na umbali aliopo na material yanayohitajika.
Ni kweli mpendwa mteja hatua ya kwanza ilikuwa kusimika nguzo kwa wateja wote wenye uhitaji wa nguzo kisha tunawaunganishiaTuleteeni umeme jamani,
Mbezi ya kimara huku, tumesimikiwa nguzo wiki ya 3 hakuna ujenzi wowote Wa waya wala ufungaji Wa mita.
Tumechoka kusubiri.
Tunaomba namba yako ya simuKwahiyo unataka kusema ni juma hili tu ndio mmekuwa mkikatakata umeme hovyo? Nipo Kibugumo, umeme unakatika masaa mawili unarudi, unakatika masaa matatu unarudi, unakatika na kurudi bila utaratibu maalum, kama ni hitilafu irekebisheni mara moja, mbona ulaya hakuna haya mambo,rekebisheni hiyo hitilafu mara moja.
umeambiwa toa namba, msaidiweKwahiyo unataka kusema ni juma hili tu ndio mmekuwa mkikatakata umeme hovyo? Nipo Kibugumo, umeme unakatika masaa mawili unarudi, unakatika masaa matatu unarudi, unakatika na kurudi bila utaratibu maalum, kama ni hitilafu irekebisheni mara moja, mbona ulaya hakuna haya mambo,rekebisheni hiyo hitilafu mara moja.
mnategemea kuanza kutandaza wire na kuweka mita lini?? pia mbona siku hizi mnapenda kutumia meter za kutumia remote controller zile meter za kawaida hamzitaki tena???. maana hizi mita za kutumia remote kwa nyumba za mbalimbali ni changamoto umeme luku ikiisha kabisaNi kweli mpendwa mteja hatua ya kwanza ilikuwa kusimika nguzo kwa wateja wote wenye uhitaji wa nguzo kisha tunawaunganishia