Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,804
- 10,715
Naona TANESCO mnachagua post za kujibuTANESCO Ukonga. Nimepeleka maombi ya kuunganishiwa umeme tangu mwezi June mwaka huu, nikapewa account ya kulipia shilingi laki nane. Nikalipa, kisha nikaambiwa nisifike tena TANESCO kwani kuna foleni kubwa ya wateja, nitapigiwa simu. Mpaka leo ni kimya.
Je, inachukua miezi mingapi kwa mteja kuunganishiwa umeme?