TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
IMG_20181025_111330.jpg


Hapa ni Kimara mwisho, eneo la mtaa wa Masista wa st Joseph Waya hizi hazina cover na zinapogusana ni short na hasarakwa vifaa vyetu. Cha ajabu mafundi wanapo kuja badala ya kukata huu mti au kubadili waya, hii ndio teknolojia wanayotumia. Tukiwambia kateni huu mti majibu yao yamekuwa kateni wenyewe, utaala wa kukata mti kwenye nyaya zenye umeme tulijifunza wapi? Nasikitika jiwe hili halina wiki upepo wa jana limeshadondoka. Huu utaalam mpya wa Tanesco unatutia hasara sana tusaidieni kumaliza tatizo hili
 
Huku Mbezi Beach B maeneo ya Shoppers Plaza umeme umekatika tokea saa 10 usiku hadi sasa haujarudi. Nini tatizo?
 
Pole sana umeme unaweza kukatika kwa sababu mbalimbali moja ikiwemo hali ya hewa kama ulivyoona upepo mkali ukivuma hivyo tunaomba radhi na uwe unatupatia taarifa mapema zaidi
Mkuu nataka kufahamu gharama za nguzo tatu kwenda site
 
View attachment 910205

Hapa ni Kimara mwisho, eneo la mtaa wa Masista wa st Joseph Waya hizi hazina cover na zinapogusana ni short na hasarakwa vifaa vyetu. Cha ajabu mafundi wanapo kuja badala ya kukata huu mti au kubadili waya, hii ndio teknolojia wanayotumia. Tukiwambia kateni huu mti majibu yao yamekuwa kateni wenyewe, utaala wa kukata mti kwenye nyaya zenye umeme tulijifunza wapi? Nasikitika jiwe hili halina wiki upepo wa jana limeshadondoka. Huu utaalam mpya wa Tanesco unatutia hasara sana tusaidieni kumaliza tatizo hili
Eneo

Namba ya simu

Namba ya taarifa kama ulitoa tafadhali
 
Leo nilipita ofisini kwenu kurasini DSM kitengo cha procurement nimeonana na mdada mmoja akaniambia yupp field kutoka TIA DSM mid namfahamu ni MTU was TISS na kabla ya kuja hapo kwenu alikuwa bandari najua akimaliza kazi take mtatafutana hapo kama sisi kula bandari NASA haha charisma tu muwe makini
Tunashukuru kwa taarifa mpendwa mteja wetu acha taasisi za serikali zifanye kazi yake
 
Eneo

Namba ya simu

Namba ya taarifa kama ulitoa tafadhali
Majibu yaleyale!! Nimetaja eneo lilipo tatizo. Mie najua eneo hili linahudumiwa na Tanesco kituo/mkoa cha Mbezi wao wanalifahamu eneo hili. Mie natoa taarifa ya mapungufu ya mafundi wenu mnaowatuma kutuhudumia, hiyo namba nitaipataje? Transfofma yake ipo kwenye Parking ya kituo cha mwendo kasi barabara ya kwenda Bonyokwa labda nitaeleweka!!
 
Ivi Mteja wenu akimgawia MTU mwingine umeme akikutwa anapigwa faini gani?
 
Dada yangu alifungiwa umeme last week,,kama ilivyo ada unapewa unit 40 or 50 unakuja kuzilipa,baadae,chabkushangazaalipewa unit 9,,umeme ulivyokaribia kuisha tukaenda kununua tukapewa unit 6.,,,wakakata deni LA unit walizotupa kama ilivyo ada,tukauliza mtakataje wakati tulipewa unit chachewakasema baada ya siku Tatu watatupa ,mpaka Leo no unit ,
 
Dada yangu alifungiwa umeme last week,,kama ilivyo ada unapewa unit 40 or 50 unakuja kuzilipa,baadae,chabkushangazaalipewa unit 9,,umeme ulivyokaribia kuisha tukaenda kununua tukapewa unit 6.,,,wakakata deni LA unit walizotupa kama ilivyo ada,tukauliza mtakataje wakati tulipewa unit chachewakasema baada ya siku Tatu watatupa ,mpaka Leo no unit ,
Hii no risit tuliyo nunulia umeme kwa Mara ya kwanza
IMG_20181026_165625.jpg
 
Dada yangu alifungiwa umeme last week,,kama ilivyo ada unapewa unit 40 or 50 unakuja kuzilipa,baadae,chabkushangazaalipewa unit 9,,umeme ulivyokaribia kuisha tukaenda kununua tukapewa unit 6.,,,wakakata deni LA unit walizotupa kama ilivyo ada,tukauliza mtakataje wakati tulipewa unit chachewakasema baada ya siku Tatu watatupa ,mpaka Leo no unit ,
Ndugu mpendwa mteja tunaomba namba ya mita, wilaya na namba ya simu ya mteja wetu.aidha mteja alipatiwa maelezo ya jinsi atakavyopatiwa unit 40 nyingine bila kulipia
 
Buhongwa umeme umekatika tokea saa 11 mpaka saivi bado haujarudi tatizo nini waungwana,tupo gizani
 
Sie huku ngaramtoni watu tumelipia nguzo tokea mwezi was nne mpaka sasa hatujafungiwa umeme huku arusha
 
Ivi Mteja wenu akimgawia MTU mwingine umeme akikutwa anapigwa faini gani?
Ni kosa na kinyume na masharti ya kuunganishiwa umeme ikitokea hivyo hatua stahiki za kishetia zinachukuliwa
 
Back
Top Bottom