TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
mita: 24210265450
namba: 0626620789
kiasi: 10,000
muda:1950hrs
trh:26/10/2018

sijapokea token
 
TANESCO kuna jamaa wanatembea kigamboni wamevaa magwanda yenu kabisa wanachukua pesa kwa watu na kujiadia wanaleta umeme hakika wametapeli watu wengi na wanawachafua sana mmoja namba yake ni hii 0672089682
 
TANESCO kuna jamaa wanatembea kigamboni wamevaa magwanda yenu kabisa wanachukua pesa kwa watu na kujiadia wanaleta umeme hakika wametapeli watu wengi na wanawachafua sana mmoja namba yake ni hii 0672089682
watanzania wengi ni mazezeta ndo maana..wanaibiwa kizezeta
 
Tanesco , Kuna tatizo gani la umeme kwa WILAYA ya BIHARAMULO ( Nyakanazi, nyakahura, Lusahunga etc)??? Imekuwa KERO watu hawafany kazi za kimaendeleo kabisa!!
 
TANESCO kuna jamaa wanatembea kigamboni wamevaa magwanda yenu kabisa wanachukua pesa kwa watu na kujiadia wanaleta umeme hakika wametapeli watu wengi na wanawachafua sana mmoja namba yake ni hii 0672089682
Ndugu mpendwa mteja tumewahi kueleza kadhaa kuwa malipo ya TANESCO yanafanyika bank au ofisi zetu na kila malipo yana stakabadhi hivyo tunaendelea.kutoa wito kwenu kuendelea kufanya malipo kwa njia sahihi
 
arusha kijenge na moshono umeme unakatikakatika kila mara
 
mi nauliza hivi nilazima kununua umeme kila mwezi hata kama una umeme? maana mimi huwa nanunua umeme wa sh 9150 napata unit 75 na kwa mwezi si umalizi nawasiwasi msije nibadilishia tariff maana hapa na unit zisizo pungua 100
 
Utaratibu wa kubafilishiwa tariff ukije, maana Mimi nadhani nimebadilishiwa tariff umeme wa elfu moja nilikuwa napata units 8.2, sasa hivi elfu moja napata units 2.4, nilishtuka nikajua bei ya umeme imepanda ,naomba ufafanuzi kwa zaidi maana naona sasa nitashindwa kumudu hii garama
 
Tumekosea namba ya mita, namba ya huduma haipokelewi, tumefika ofisini tumejibiwa tumtafute mwenye mita tuliyokosea tuelewane. Wakati huo token yeye hakupata, inamaana bidhaa haijatumika bado. MNATUTESA TANESCO.
 
Naomba namba zenu za uhakika , tulinunua umeme wa 200,000 kwAjili ya kuendesha mashine, tumekosea namba moja ya mita. Ofisi za Tanesco wilaya (- ) zimetupa jibu lisilo la kiweledi. Tcra wanasema niende mahakamani. Nisaidieni.
 
Naomba namba zenu za uhakika , tulinunua umeme wa 200,000 kwAjili ya kuendesha mashine, tumekosea namba moja ya mita. Ofisi za Tanesco wilaya (- ) zimetupa jibu lisilo la kiweledi. Tcra wanasema niende mahakamani. Nisaidieni.
Wilaya

Namba ya mita sahihi

Namba ya mita ilikosewa


Wa tsh ngapi

Njia uliyonunulia mfano Tigopesa

Namba yako ya simu
 
Back
Top Bottom