Mkuu TANESCO hivi ninavyoandika jtatu hii kuanzia saa 12 jioni hadi saa hizi saa mbili usiku kuanzia Manzese hadi Kimara mwisho hakuna umeme.Tatizo ni nini?mbona umeme umeanza kusumbua tena wakati ulishaanza kutuliatulia maeneo hayo?
Hizo hitilafu mbona tukiwa Cairo,Pretoria,Amsterdam hatuzishuhudii?Sisi tunashindwa wapi jamani?Anyway,nisiwakatishe tamaa,tangu Magufuli ashike nchi,umeme Dar umepungua kero,sasa msilianzishe balaa tena.Nawapongeza mwaka huu,naomba msimalize vibaya,rudisheni umeme stable Dar es salaam.Hizi wiki mbili tatu kumeanza shida tena.