Kama ambavyo tulikupatia ufafanuzi hapo awali wataalamu wetu wamepokea swala hili kwa hatua zaidiWapendwa TANESCO, mimi nawakumbusha tu kwa nia njema kuhusu suala la umeme wa REA kitongojini kwetu maana tuliambiwa tuzid kusubiria sasa hadi binafsi nachoka, tafadhali sema chochote kuhusu ombi langu la kupatiwa Umeme wa REA huko kwenye kitongoji cha KIJUKA kijiji Mabuye kata Kassambya wilaya ya Missenyi mkoani Kagera.
Shukran naamini ipo siku mtatusaidia tuKama ambavyo tulikupatia ufafanuzi hapo awali wataalamu wetu wamepokea swala hili kwa hatua zaidi
Mkuu TANESCO hivi ninavyoandika jtatu hii kuanzia saa 12 jioni hadi saa hizi saa mbili usiku kuanzia Manzese hadi Kimara mwisho hakuna umeme.Tatizo ni nini?mbona umeme umeanza kusumbua tena wakati ulishaanza kutuliatulia maeneo hayo?Ndugu mpendwa mteja wetu
Ilitokea hitilafu kwenye transfoma letu na wataalamu wetu wamechukua hatuaa stahiki kuhakikisha mnafurahia huduma
Nilifika ofisini, nikaambiwa nijaze fomu upya. Mpaka sasa ni miezi mitatu sijapata majibu yoyote. Mna nia kweli ya kutupatia haki yetu ya halali?Tafadhali fika ofisini kwa uhakiki na taarifa zaidi
Hili hamjalifanyia kaziSiku ya tatu hatuna umeme tukipiga simu tunaambiwa tuwe na subira.sasa hii subira ya kukaa na giza na kazi haizfanyuki nani alaumiwe?
Mashine tatu zimesimama kwa nini hamjali wateja wenu?
0654229464
Location
Kwekitui Mbelei Lushoto-Tanga
Kama wale wahusika wa kutoa na kupokea fomu za uchaguzi wa Serikali za mitaa. CCM na taasisi hizi za Serikali, ni sawa tu!Mmeingia mitini
Hudum imerejea mpendaa mteja wetuMkuu TANESCO hivi ninavyoandika jtatu hii kuanzia saa 12 jioni hadi saa hizi saa mbili usiku kuanzia Manzese hadi Kimara mwisho hakuna umeme.Tatizo ni nini?mbona umeme umeanza kusumbua tena wakati ulishaanza kutuliatulia maeneo hayo?
Hizo hitilafu mbona tukiwa Cairo,Pretoria,Amsterdam hatuzishuhudii?Sisi tunashindwa wapi jamani?Anyway,nisiwakatishe tamaa,tangu Magufuli ashike nchi,umeme Dar umepungua kero,sasa msilianzishe balaa tena.Nawapongeza mwaka huu,naomba msimalize vibaya,rudisheni umeme stable Dar es salaam.Hizi wiki mbili tatu kumeanza shida tena.
Yaani hapa huwezi kupata jibu japo Mh Kalema anahubiri hivyo kila uchao, lakini wataalamu wa Tanesco hawapambanui ukweli wa jambo hili. Naungana na wewe kuwataka Tanesco watuweke wazi juu ya hili. TANESCO NGUZO NI BURE AU TUNALIPIA???NAOMBA KUULIZA (NIMEANDIKA KWA HEREFI KUBWA ILI SASA TUPATE KUELEWA).
NGUZO ZA UMEME ZINALIPIWA AU NI BURE .
MAANA KILA MTU ANASEMA LAKE.
Sasa hapo hiyo pesa yangu itakua ina kaa muda wote huo ni kwanini taratibu zisiwepo kama vile unavyo fuata kanuni zingine za kutoa fedha ndipo upatiwe bidhaa maana unakuta mtu anatoa fedha yake halafu muda wa kupata huduma una kua nimuda mrefu wa kusubiria nanyihii inategemea na maombi ya mteja mfano kama akiomba kuunganishiwa bila kuwa na nguzo ni siku 30 za kazi, kama kuna nguzo 1 ni siku 60 za kazi na kama kuna nguzo 2 ni siku 90 za kazi lakn hii inategemea na uwepo wa vifaa kama vifaa vipo tunafunga umeme hata ndani ya siku 2 lakn kama vifaa havipo kama kwa sasa tunachangamoto ya vifaa kama nguzo na waya hivyo basi tunawaomba radhi wateja kwa kucheleweshewa huduma na kuwaambia kuwa vifaa vikipatikana vitatumika kuwaunganishia wateja kwa kufuata mtililiko wa kwanza kulipia ndio anakuwa wa kwanza kufungiwa (FIFO)
Hili swali wameulizwa muda mrefu humu ndani lakini hawalijibu bali wanakwepa, sijui kwanini. Tanesco mkuje huku mtuweke wazi hili suala la nguzo....Maana tumesikia kuwa ukitaka umeme hata km panahitaji nguzo 3 unalipa gharama ya umeme tu 27000.Jeni kweli?