TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
TANESCO naomba kujua kwanini Kubadilishwa Tariff mpk mteja uje ofisii,kwanini luku zisiwe zinajibadlisha zenyewe? hiyo system yenu inashindwaje kugundua huyu mteja yuko chini ya unit 70 kwa mwezi?

Nahitaji kubadilishiwa Tariff sihitaji kuja ofisini kwenu,matumizi yangu n chini ya unit 70 na sasa ni zaidi ya mwaka Tariff haijabadilika,muda wa kufatilia sina ninachoomba toka kwenu ni Kuwekwa tariff ninayostahli.
 
Asante kwa namba,ila hazitusaidii sana.Hao jamaa wakishajua kwamba una grievance outstanding hawapokei simu yako,shida tupu.

Inabidi wajitafakari kabla ya kutembelewa na mtumbuaji kwa sababu bado hawajitambui kuwa hii ni awamu ya tano na jamaa hapendi kabisa watu ambao sio creative ili waende nae sambamba
 
Inabidi wajitafakari kabla ya kutembelewa na mtumbuaji kwa sababu bado hawajitambui kuwa hii ni awamu ya tano na jamaa hapendi kabisa watu ambao sio creative ili waende nae sambamba
TANESCO inahitaji overhaul kwa kukatwa vipande vipande vitatu: production,transmition na distribution &Marketing(REA?) pamoja na kuondoa undesirable elements,ziko nyingi sana,ili kuongeza efficiency.TANESCO it's business as usual,yaani hawajastuka kabisa.Ni mshirika mkuubwa ambao tija yake ni ndogo sana.
 
TANESCO naomba kujua kwanini Kubadilishwa Tariff mpk mteja uje ofisii,kwanini luku zisiwe zinajibadlisha zenyewe? hiyo system yenu inashindwaje kugundua huyu mteja yuko chini ya unit 70 kwa mwezi?

Nahitaji kubadilishiwa Tariff sihitaji kuja ofisini kwenu,matumizi yangu n chini ya unit 70 na sasa ni zaidi ya mwaka Tariff haijabadilika,muda wa kufatilia sina ninachoomba toka kwenu ni Kuwekwa tariff ninayostahli.
Mteja anapasqa kuja ofisini kwa kuwa kuwa form ya kujaza ambayo anajizatiti kwa kuijaza kikamilifu.Tambua wapo wateja wanaosafiri kwa muda mrefu unaweza kumbadilisha akirudi anakuta anazidi anapata penalt ndio maana lazima ujaze fomu tukukague

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mteja anapasqa kuja ofisini kwa kuwa kuwa form ya kujaza ambayo anajizatiti kwa kuijaza kikamilifu.Tambua wapo wateja wanaosafiri kwa muda mrefu unaweza kumbadilisha akirudi anakuta anazidi anapata penalt ndio maana lazima ujaze fomu tukukague

Sent using Jamii Forums mobile app
Fomu hi anajaza mwenye nyumba au mpangaji?

maana mwenye nyumba kanipangshia nyumba mimi

luku natumia mwenyewe,hii form anatakiwa akaijaze nani?
 
Tanesco mkoa wa songwe mnatia kinyaa meneja ajiudhuru umeme unakatika katika mpaka baadhi ya vifaa vyangu vya umeme vimeungua kila siku umeme. Unakatika msipo jirwkebisha tutawashitaki kwa Dr. John Joseph Pombe Magufuli
Maana tushapata connection
 
Mteja anapasqa kuja ofisini kwa kuwa kuwa form ya kujaza ambayo anajizatiti kwa kuijaza kikamilifu.Tambua wapo wateja wanaosafiri kwa muda mrefu unaweza kumbadilisha akirudi anakuta anazidi anapata penalt ndio maana lazima ujaze fomu tukukague

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hueleweki somo,ndio umeandika nini sasa?
 
Tanesco mkoa wa songwe mnatia kinyaa meneja ajiudhuru umeme unakatika katika mpaka baadhi ya vifaa vyangu vya umeme vimeungua kila siku umeme. Unakatika msipo jirwkebisha tutawashitaki kwa Dr. John Joseph Pombe Magufuli
Maana tushapata connection
Umeme unakatika katika hovyo kila mahali mkuu,sio huko tu.TANESCO inabidi wajitathmini kwa kweli.
 
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.

Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;

1.ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2.NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3.KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)

TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;

LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO

Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu

HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA

Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219

Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098

Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361

Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386

Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110

Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779

Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8

Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590

Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330

Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061

Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672

Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180

Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728

Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2

Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133

Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868

Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120

Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668

Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200

IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makauu.

NAMBA ZA SIMU ZA MADAWATI YA DHARURA YA TANESCO MIKOA YOTE

1. Ilala

0222133330/ 0784 768586/ 0715 768586.

2.Kinondoni Kusini (Magomeni)

0784271461/ 0715271461

3. Kinondoni Kasikazini(Mikocheni)

0784 768584/ 0716 768584

4. Temeke

0222138352/ 0732 997361/ 0758881055/ 0712 052720

5. Pwani
078 5122020/065 7108782/023 2402386

6. Mbeya
0759 777781/0787 023422


7.Arusha
0758174343/
0622612501/
+255 27 2506110

8.Tanga
0658 122 412/0687 677 667/ 027 2646 779

9. Kilimanjaro
0765 397 925/0682 771 310/ (+255) 272 755 007/8

10 Manyara
0689 795 599/ 0627938951

11. Mwanza
0759 777 786/0687 910 202/
(+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

12. Geita
0744 085 696/(+255) 28 2520330

13.Kagera
078 5 787 898 / 075 3 120 701/(+255) 282 220 061

14.Mara
0788 950 688/
028 262 2020/
0762 165 087

15.Simiyu
+255 282 700 180/0626383440/0745044072

16. Dodoma
0782 161 643/(+255) 262 321 728

17. Morogoro
068 4889272 /065 4829046/ (+255) 232 613 501/2

18 Singida
071 4 477 445 /0732 960 924 / 0689 373 757/(+255) 262 502 133

19. Tabora
0786 558 510 /0763 162 868

20. Shinyanga
0754 521 070/(+255) 28 2762120 /
0783 521 070

21. Kigoma
078 3720598/(+255) 2988226

22. Katavi
0688345200

23. Rukwa
0252161120/0768879813
24. Songwe
0684 611716/0763 430381.

25. Ruvuma
0252602281/0763 194 979/0787 758 986

26. Njombe
0744703988

27. Mtwara:
0789 999942/023 2333902

28. Iringa 0262702019/0739203015

29. Lindi
0752518247/0685692786


Kituo cha Miito ya simu/Call Centre Makao Makuu

0768 985 100/0222194400

Facebook
www.facebook.com/tanescoyetu

Twitter
www.twitter.com/tanescoyetu

Tovuti
www.tanesco.co.tz

Barua pepe
Customer.service@tanesco.co.tz

Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
Kuna mambo lukuki.
Tusaidieni ufafanuzi. Waziri anasema gharama za nguzo ni suala la Tanesco. Ukienda ofisi za Tanesco wanatubamiza gharama hizo. Hii imekaaje?
Jirani yangu kaomba three phase line kapewa bill ya 3.5ml. Namna hii kweli mnataka wateja au mnawafukuza?
 
Kimara hakuma umeme tangu usiku mpaka sasa.
Hivi nyie watu tuwafanye nini ili mtuelewe?
Mvua haziishi leo wala kesho,ni nature,zipo tangu kuumbwa ulimwengu.
Lazima mjifunze kuishi na nature.Uwezekano wa kuwaka umeme huku mvua zikinyesha upo.Ni hiyo miundombinu yenu mibovu ya kizamani inasababisha huduma zenu hazina mwendelezo.Leo upo,yakipita manyunyu haupo.Huu ni ujima Tanesco badilikeni.Mnatia kinyaa kabisa.
Rais Magufuli ni bora umulike huduma mbovu za hili shirika.Linaturudisha nyuma sana watanzania.Tumelipia huduma zenu,tuna mita za umeme,tuna nguzo na waya nje,tumewekeza mitambo na wateja kibao,halafu wanakaa wanasubiri nyie mjisikie kurudisha huduma.Watu wamekaa ni gunia zao hapa wanasubiri unga wa ugali anao Tanesco!This is absolutely primitive!Mnatia kinyaa.Nchi yote mnalalamikiwa nyinyi,soma huu uzi uone.Hivi nyie ni wazuri kwenye lipi sasa?Tuwasifu kwa lipi?Hili shirika lipo kwa sababu zipi?Kwanini nalipa kodi,nafunga mita,nanunua Luku,for what ikiwa kila mara mnavuruga huduma zenu na hivyo pia mnavuruga biashara zetu,zinakosa continuity.Na hali ngumu hii.Serikali itafakari sana Tanesco.Im tired of this shit company!
 
Kimara hakuma umeme tangu usiku mpaka sasa.
Hivi nyie watu tuwafanye nini ili mtuelewe?
Mvua haziishi leo wala kesho,ni nature,zipo tangu kuumbwa ulimwengu.
Lazima mjifunze kuishi na nature.Uwezekano wa kuwaka umeme huku mvua zikinyesha upo.Ni hiyo miundombinu yenu mibovu ya kizamani inasababisha huduma zenu hazina mwendelezo.Leo upo,yakipita manyunyu haupo.Huu ni ujima Tanesco badilikeni.Mnatia kinyaa kabisa.
Rais Magufuli ni bora umulike huduma mbovu za hili shirika.Linaturudisha nyuma sana watanzania.Tumelipia huduma zenu,tuna mita za umeme,tuna nguzo na waya nje,tumewekeza mitambo na wateja kibao,halafu wanakaa wanasubiri nyie mjisikie kurudisha huduma.Watu wamekaa ni gunia zao hapa wanasubiri unga wa ugali anao Tanesco!This is absolutely primitive!Mnatia kinyaa.Nchi yote mnalalamikiwa nyinyi,soma huu uzi uone.Hivi nyie ni wazuri kwenye lipi sasa?Tuwasifu kwa lipi?Hili shirika lipo kwa sababu zipi?Kwanini nalipa kodi,nafunga mita,nanunua Luku,for what ikiwa kila mara mnavuruga huduma zenu na hivyo pia mnavuruga biashara zetu,zinakosa continuity.Na hali ngumu hii.Serikali itafakari sana Tanesco.Im tired of this shit company!
Ndugu mpendwa mteja wetu tulipata hitilafu na kufanikiwa kuitatua kama bado unapata changamoto tafadhali tusaidie namba ya simu na eneo ulilopo kwa hatua zaidi

TANESCO HUDUMA KWA WATEJA

MAKAO MAKUU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mambo lukuki.
Tusaidieni ufafanuzi. Waziri anasema gharama za nguzo ni suala la Tanesco. Ukienda ofisi za Tanesco wanatubamiza gharama hizo. Hii imekaaje?
Jirani yangu kaomba three phase line kapewa bill ya 3.5ml. Namna hii kweli mnataka wateja au mnawafukuza?
Tunaomba barua ya makadirio aliyopewa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Boresheni Kitengo Cha Huduma Kwa Wateja Hasa Kwa Wanaotumia Simu kuwasiliana Na nyie.
Mfano. Nilipata shida sana kuwapata h
Kwa wakati. Nilipowapata shida yangu ilikua nikupewa change pin ya mita, hivi kweli group la namba zaidi ya 20 unamsomea mtu kwenye simu? Sawa nikaziandika kujaza zimekosewa, Kupiga tena natakiwa nizitaje tena namba za mita na nilizotajiwa, kweli jamani. Hamuwezi kuzituma kwa text tuu na some tym hiyo huduma si inaweza kumaliza na software za computer tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeme Tabata toka asubui unasumbua sana,umeumnguza mpaka vitu .tumenda pale Tanesco zaidi yamara mbili wanasema wanakuja .lakini mpaka saa MDA huu hatuna umeme nahawajaja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tafadhali tuaidie namba yako ya simu na namba ya taarifa kama bado hauna umeme.Unapotoa taarifa ya hitilafu huwa tunaenda kwa wakwanza kutoa taarufa wakanza kufikiwa hivyo tunaomba uvumilivu wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom