TANESCO
Official Account
- Jul 12, 2014
- 4,600
- 2,134
- Thread starter
- #7,141
Tumebiresha sana mpendwa mteja wetu ndio maana kuna njia mbadala kama hizi ungetaja namba ya mita namba ya simu na tatizi pia huku tungekuhudumia.Tupo kukusiliza na kukuhudumia mpendwa mteja wetuBoresheni Kitengo Cha Huduma Kwa Wateja Hasa Kwa Wanaotumia Simu kuwasiliana Na nyie.
Mfano. Nilipata shida sana kuwapata h
Kwa wakati. Nilipowapata shida yangu ilikua nikupewa change pin ya mita, hivi kweli group la namba zaidi ya 20 unamsomea mtu kwenye simu? Sawa nikaziandika kujaza zimekosewa, Kupiga tena natakiwa nizitaje tena namba za mita na nilizotajiwa, kweli jamani. Hamuwezi kuzituma kwa text tuu na some tym hiyo huduma si inaweza kumaliza na software za computer tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app