TANESCO umeme unakatika sana kwa siku zaidi ya mara tatu Kimara mwisho line ya Mavurunza.
Vitu vyetu vinaharibika sababu ya huku kukatikakatika.Siku mbili hizi jana na leo hali imekuwa serious sana.
Tatizo nini?
Narudia tena,ni Kimara mwisho line ya Mavurunza kuanzia Ubungo mpaka Kimara Matangini umeme unasumbua kwa kukatika hovyo mara nyingi kwa siku.
 
Umeme umerudi sasa hivi umeniunguzia motor.Ni heri mkate kabisa tujue hatuna umeme mpaka matatizo yenu yakiisha muuwashe kuliko huu ubabaishaji wa kukata na kurudisha kila baada ya dk 20,mnatutia hasara.Sasa hii motor yangu nije wapi niwadai hela ya mpya?​
 
Taa za Energy Saver Ni za Watt? 2.Friji ndogo Ni Watt ngapi na hiyo TV Ni Watt ngapi ili tucheki kimahesabu Kama hizo Unit hazifiki.
 
Eneo gani haswa Kimara na namba yako ya simu tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utaratibu ni upi ? Nimemtuma kijana wangu ofisi za Tanesco Mkuranga akiwa na picha / kopi ya kitambulisho changu.

Kanyimwa fomu eti mpaka mm niwepo
 
Leo, nimemtuma kijana WANGU baada ya kukamilisha mahitaji ya passport size na kopi ya kitambulisho changu aende ofisi za Tanesco Mkuranga ili aniletee Fomu wamemkatalia.

Hii iko sawasawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…