Ndugu mpendwa mtejaHivi ni Lini mnafikiria kufanya wirings za kisasa sehemu za katikati ya Miji?
Sent using Jamii Forums mobile app
Je hauna umeme wewe tu au wateja wengi?tunaomba namba yako ya simu na eneo lakwaKuna nini kinachoendelea Kiwalani,maana umeme unakatika mara kwa mara na huwa mdogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mijini ndani ya mita 30 ni tsh 320960mi naomba kujua mchanganuo wa kupata nguzo,naona kila nnayemuuliza anatoa majibu yake,sasa nakuwa sielewi!
kutoka nguzo moja hadi nyingine zinatakiwa ziwe mita ngap? na je ni IPI gharama halisi ya umbali kutoka nguzo moja na nyingine?
kuna punguzo lolote mtu anapohitaji nguzo zaidi ya moja?
Mim Mwasu,nipo mbeya.
Mijini ndani ya mita 30 ni tsh 320960mi naomba kujua mchanganuo wa kupata nguzo,naona kila nnayemuuliza anatoa majibu yake,sasa nakuwa sielewi!
kutoka nguzo moja hadi nyingine zinatakiwa ziwe mita ngap? na je ni IPI gharama halisi ya umbali kutoka nguzo moja na nyingine?
kuna punguzo lolote mtu anapohitaji nguzo zaidi ya moja?
Mim Mwasu,nipo mbeya.
Jina keneth goliama<
Thnaomba jina namba ya simu na namba ya fomu uliyopewaMimi nipo VISIGA - KIBAHA umeme kufika kwangu ni nguzo 4 na nimwambiwa nilipie Tsh Million 2.6. Hii gharama ni sahihi? Kama jibu ni ndio kwa mchanganuo gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu Mazaya walikuhudumia hawa watu..? kama hawakuhudumia tujulishe tafadhali tupeane wayforward ikiwezekana tuwashtaki kwa EWURA na wakulipe fidia kwa kuchukua pesa yako na kutokukupatia huduma kwa wakati.Nawashukru kwa huduma hii, Mi niko Mwanza nina tatizo kama la ndugu hapo juu nimelipia TANESCO-NYAKATO nguzo mbili tangu Tarehe 6 Septemba 2016 hadi leo sijaletewa nguzo, kila siku madai ni hakuna nguzo sasa mi kama mteja hamuoni kama mnanionea?
Ikumbukwe hadi kulipa hiyo pesa kuna huduma niliamua kutozifanya ili nipate huduma ya umeme, badala yake nimekosa huduma zote mpaka leo huku nyie pesa yangu mkiifanyia biashara.
Naomba nipewe ufafanuzi kuhusu jambo hili.
Natanguliza shukrani zangu.
Ipo sawa kabisa tumeihakikia kwenye mfumo wetu na kujiridhisha kuwa ndicho kiwango halali unachopaswa kulipaJina: PETER PHILBERTH NINDI
Simu: 0712258585
Form No: 515017-00011
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna sehem inaitwa lugwadu ipo kigamboni nyuma ya mwembe mtemvu inakua wilaya ya mkuranga kwa sasa huko vp maana hakuna umeme na ahadi ilikua toma mwezi wa tatu mwaka huu itakua tayarTupo kwenye kampeni ya kuwatembelea wateja wetu wa mkoa wa TANESCO Temeke pamoja na wilaya zake za Mbagala, Kigamboni na Yombo
TANESCO "Tunayaangaza maisha"
Tunaomba namba yako ya simu mpendwa mtejakuna sehem inaitwa lugwadu ipo kigamboni nyuma ya mwembe mtemvu inakua wilaya ya mkuranga kwa sasa huko vp maana hakuna umeme na ahadi ilikua toma mwezi wa tatu mwaka huu itakua tayar
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunafuatilianimenunua luku leo lkn mpaka sasa sijapata token
kiasi: 5000
tarehe 12/08/17
muda: around 3:40 usiku
namba: 0687237985
meter: 04221530142
jina : TUMBO SHABANI
trans id :MB170812.2120.B76057
tangu usiku nipo gizani... natanguliza shukran
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka hizinimenunua luku leo lkn mpaka sasa sijapata token
kiasi: 5000
tarehe 12/08/17
muda: around 3:40 usiku
namba: 0687237985
meter: 04221530142
jina : TUMBO SHABANI
trans id :MB170812.2120.B76057
tangu usiku nipo gizani... natanguliza shukran
Sent using Jamii Forums mobile app