TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
mi naomba kujua mchanganuo wa kupata nguzo,naona kila nnayemuuliza anatoa majibu yake,sasa nakuwa sielewi!

kutoka nguzo moja hadi nyingine zinatakiwa ziwe mita ngap? na je ni IPI gharama halisi ya umbali kutoka nguzo moja na nyingine?

kuna punguzo lolote mtu anapohitaji nguzo zaidi ya moja?

Mim Mwasu,nipo mbeya.
 
mi naomba kujua mchanganuo wa kupata nguzo,naona kila nnayemuuliza anatoa majibu yake,sasa nakuwa sielewi!

kutoka nguzo moja hadi nyingine zinatakiwa ziwe mita ngap? na je ni IPI gharama halisi ya umbali kutoka nguzo moja na nyingine?

kuna punguzo lolote mtu anapohitaji nguzo zaidi ya moja?

Mim Mwasu,nipo mbeya.
Mijini ndani ya mita 30 ni tsh 320960
-Nguzo moja ndan ya mita 70 ni 515618
-Nguzo 2 ndani ya mita 120 ni 696670 zote Vat inclusive


3phase
-Ndani ya 30 mita ni tsh 912014
-nguzo moja ndani ya mita 70 ni tsh 1,249,385
-ndani ya mita 120 nguzo 2 ni 1,639,156

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mi naomba kujua mchanganuo wa kupata nguzo,naona kila nnayemuuliza anatoa majibu yake,sasa nakuwa sielewi!

kutoka nguzo moja hadi nyingine zinatakiwa ziwe mita ngap? na je ni IPI gharama halisi ya umbali kutoka nguzo moja na nyingine?

kuna punguzo lolote mtu anapohitaji nguzo zaidi ya moja?

Mim Mwasu,nipo mbeya.
Mijini ndani ya mita 30 ni tsh 320960
-Nguzo moja ndan ya mita 70 ni 515618
-Nguzo 2 ndani ya mita 120 ni 696670 zote Vat inclusive


3phase
-Ndani ya 30 mita ni tsh 912014
-nguzo moja ndani ya mita 70 ni tsh 1,249,385
-ndani ya mita 120 nguzo 2 ni 1,639,156

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawashukru kwa huduma hii, Mi niko Mwanza nina tatizo kama la ndugu hapo juu nimelipia TANESCO-NYAKATO nguzo mbili tangu Tarehe 6 Septemba 2016 hadi leo sijaletewa nguzo, kila siku madai ni hakuna nguzo sasa mi kama mteja hamuoni kama mnanionea?

Ikumbukwe hadi kulipa hiyo pesa kuna huduma niliamua kutozifanya ili nipate huduma ya umeme, badala yake nimekosa huduma zote mpaka leo huku nyie pesa yangu mkiifanyia biashara.

Naomba nipewe ufafanuzi kuhusu jambo hili.

Natanguliza shukrani zangu.
mkuu Mazaya walikuhudumia hawa watu..? kama hawakuhudumia tujulishe tafadhali tupeane wayforward ikiwezekana tuwashtaki kwa EWURA na wakulipe fidia kwa kuchukua pesa yako na kutokukupatia huduma kwa wakati.
 
  • Thanks
Reactions: ADK
Jina: PETER PHILBERTH NINDI
Simu: 0712258585
Form No: 515017-00011
d376608d2f589aa2deb0890c22431f98.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
Ipo sawa kabisa tumeihakikia kwenye mfumo wetu na kujiridhisha kuwa ndicho kiwango halali unachopaswa kulipa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tupo kwenye kampeni ya kuwatembelea wateja wetu wa mkoa wa TANESCO Temeke pamoja na wilaya zake za Mbagala, Kigamboni na Yombo

TANESCO "Tunayaangaza maisha"
 
b154b273bfb852e8cdec0926284656c6.jpg
ea490e11948c296b4ac8a28837dea004.jpg
533a5f45d6451129754d9a75b9e45358.jpg
b930afb4fa4064711fa976a070f0897a.jpg
9092add84fbae9a86e69b7209e337a16.jpg
fdf9eaf3db1bd71a21e5097a16fd4f3b.jpg



Je ungependa baada ya hapa TANESCO tuje wapi??

TANESCO "Tunayaangaza maisha"
 
Tupo kwenye kampeni ya kuwatembelea wateja wetu wa mkoa wa TANESCO Temeke pamoja na wilaya zake za Mbagala, Kigamboni na Yombo

TANESCO "Tunayaangaza maisha"
kuna sehem inaitwa lugwadu ipo kigamboni nyuma ya mwembe mtemvu inakua wilaya ya mkuranga kwa sasa huko vp maana hakuna umeme na ahadi ilikua toma mwezi wa tatu mwaka huu itakua tayar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nimenunua luku leo lkn mpaka sasa sijapata token

kiasi: 5000
tarehe 12/08/17
muda: around 3:40 usiku
namba: 0687237985
meter: 04221530142
jina : TUMBO SHABANI
trans id :MB170812.2120.B76057

tangu usiku nipo gizani... natanguliza shukran

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nimenunua luku leo lkn mpaka sasa sijapata token

kiasi: 5000
tarehe 12/08/17
muda: around 3:40 usiku
namba: 0687237985
meter: 04221530142
jina : TUMBO SHABANI
trans id :MB170812.2120.B76057

tangu usiku nipo gizani... natanguliza shukran

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunafuatilia

TANESCO "Tunayaangaza maisha"
 
nimenunua luku leo lkn mpaka sasa sijapata token

kiasi: 5000
tarehe 12/08/17
muda: around 3:40 usiku
namba: 0687237985
meter: 04221530142
jina : TUMBO SHABANI
trans id :MB170812.2120.B76057

tangu usiku nipo gizani... natanguliza shukran

Sent using Jamii Forums mobile app
Weka hizi
0330 6421 0123 7626 2826

TANESCO "Tunayaangaza maisha"
 
Back
Top Bottom