Applications Number yangu 531520- 01318.
 
Kitongoji cha Viziko kijiji cha Kikongo ni moja kati ya maeneo ambayo hayakunufaika na Mradi wa Peri Urban

Kikongo ni moja kati ya vijiji vilivyo nufaika na Mradi wa Peri Urban unaoendelea kufanyika na mkandarasi ameshawasha transfoma 3 Kitongoji cha Mwanabwito (shule, masikitini na kiembaemba)

Hivyo tunaomba wananchi wa Viziko waendelee kuwa wavumilivu wakati tukisubiri Mradi mwingine wa REA kwa mwaka wa fedha 2020/2021.

Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poleni kwa kazi. Mimi ni mkazi wa jiji la Mwanza, Wilaya ya Ilemela, mtaa wa Majengo Mapya - Kiloleli 'A'. Hapa Kuna tatazo la kukatika-katika kwa umeme hasa nyakati za jioni kwa baadhi ya nyumba, yangu ikiwa mojawapo. Tukiripotil, mafundi wenu wanafika kurekebisha lakini tatizo hili halipati ufumbuzi wa kudumu hivyo kujirudia kila mara. Hata ninapoandika huu ujumbe (saa 3.50 usiku) nipo gizani baada ya umeme kukatika saa 2.03!
Shida ni nini zaidi? Ufumbuzi wa kudumu utapatikana lini? Tuhurumieni wateja wenu tafadhali. Kazi njema.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi ndio unnecessary contradictions katika utekelezaji wa miradi!
Report itaandikwa kuwa Kikongo tayari iliishapatiwa umeme through mradi wa Peri Urban!Hii itamaanisha kuwa hata vitongoji vyake vyote vimenufaika na huo mradi! Hivi kweli ni nguzo ngapi zilizobaki in order to cover kitongoji kimoja tu cha VIZIKO kiasi cha kusubiri mpaka Next budget??
Majibu kama haya ni mepesi kwa maswali magumu maana limeanzia baada ya kumiss kusurvey!
Hapa wananchi wa VIZIKO hatujaridhishwa na hili la contradicting answer!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm nimteja nimechoka na ahadi za tanesco mbezi ya kimala tangu mwezi wa tatu mpaka leo nikuambiwa mafundi wanakuja ila sasa nimechoka wafuate mita yao waliacha kwa mjumbe wa serikali za mtaa ntafunga solar tu
TB 4394 ya mwezi watatu kimala bonyokwa vinane
Nimefuatiria tanesco kimala nimechoka cm nimepiga mpaka nimekata tamaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante kwa taarifa tunazifanyia kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna shauku nataka nijiridhishe! Naomba mnipatie namba ya waziri wa nishati!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…