kerubi afunikaye
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 1,183
- 1,060
Hivi Tanesco Kimara kwanini wanapenda sana kuschedule maintenance zao weekend days?Mkuu TANESCO unaweza kunipa maelezo kwanini mkikata umeme mara nyingi huwa ni weekend days,ijumaa,jmosi(hii ndio sana) na jpili?!Haya maeneo ni nje ya mji ambayo kwa kiasi kikubwa ni makazi ya kuishi ya watu.Matumizi ya umeme yanakuwa makubwa during weekends kuliko katikati ya wiki ambapo week days wengi wanakuwa kazini mjini.
Mimi natoa ushauri kama mna maintenance zozote za kufanya its better you schedule it on Tuesdays or Wednesdays na mara moja moja tu,msizowee kutukatia umeme.Huu ni uzamani.Do your research kwa matumizi ya umeme mtagundua why nimewashauri hivi.
Mimi natoa ushauri kama mna maintenance zozote za kufanya its better you schedule it on Tuesdays or Wednesdays na mara moja moja tu,msizowee kutukatia umeme.Huu ni uzamani.Do your research kwa matumizi ya umeme mtagundua why nimewashauri hivi.