Sicario_4k
Senior Member
- Apr 6, 2020
- 176
- 327
Range zile zileDodoma tunatoa 340,000/=
Gharama ya kawaida ni 320k unapata control number kabisa hakuna kupigwa mkuu.. ukikna malipo ya serikali unaambiwa masuala ya control number ujue hapo hakuna kupigwa.jamani hii ni ishu muhimu sana humu kuna uzi wa tanesco hebu wajitokeze watuambie ukweli kuhusu hili je ni laki tatu au ni elfu 99 bila nguzo :tusijekuwa tunapigwaga na wajanja
mfano mimi nataka kuweka umeme subhouse kubwa tayari na hiyo sub iko pembeni tu mwa nyumba kubwa na nguzo ipo hapo nikushusha tu waya je ni hiyo 320 au itapungua?Gharama ya kawaida ni 320k unapata control number kabisa hakuna kupigwa mkuu.. ukikna malipo ya serikali unaambiwa masuala ya control number ujue hapo hakuna kupigwa.
Ongezeko la gharama litategemea na umbali wa nyumba yako kutoka kwenye nguzo
Kama unaongeza mita kwa nyumba ile ile gharama inakuwa pungufu ya 320k , inakuwa something like 177k ivimfano mimi nataka kuweka umeme subhouse kubwa tayari na hiyo sub iko pembeni tu mwa nyumba kubwa na nguzo ipo hapo nikushusha tu waya je ni hiyo 320 au itapungua?
samahani mkuu nisaidie zaidi hapo, yaani niachomaanisha ni kuwa nina nyumba kubwa yenyewe imekamilika sasa nimejenga nyumba nyingine pembeni sasa hapo naomba upya au naomba kuwekewa sub mita tu ?Kama unaongeza mita kwa nyumba ile ile gharama inakuwa pungufu ya 320k , inakuwa something like 177k ivi
Unaomba upya kama kawaida.. utaratibu ni ule ule wiring》mchoro》survey 》 umemesamahani mkuu nisaidie zaidi hapo, yaani niachomaanisha ni kuwa nina nyumba kubwa yenyewe imekamilika sasa nimejenga nyumba nyingine pembeni sasa hapo naomba upya au naomba kuwekewa sub mita tu ?
ok nashukuru mkuu kazi njemaUnaomba upya kama kawaida.. utaratibu ni ule ule wiring》mchoro》survey 》 umeme
Eti eeh...sawa.Mkuu fuata taratibu hizo nilizokuambia huwezi kupigwa pesa.
Mf. Umemchukua kishokabkapiga wiring alafu kapotolea mbali kaz et amemaliza ukienda TANESCO watakudai mchoro kama huna utaambiwa utandaliwa engineer
wa TANESCO gharama lazima ziongezeke.
Kuhusu surveyor nenda kamchukue umpeleke kwenye site direct bila hata malipo tena akikutoza umepigwa mjini hapa tena wanapewa pesa na ofisi na pia wewe unamuongezea pesa pole sana.
Waunganishaji ni kweli wanababaisha kutaka pesa,ukiwa na na roho nyepesi unatoa pesa kwanini usiende kwa meneja wa kituo na ushahidi ukiona unazinguliwa ukiwa mzembe utapigwa sana.
Hapo inabidi kuwa mvumilivu hadi hapo Tanesco wenyewe wapitishe nguzo maeneo hayo ,nguzo 10 ni nyingi sana hawapaswi kumbebesha gharama mteja.Namimi naomba niulize hv kwa mfano nyumba yangu iko umbali wa kufikiwa na nguzo km kumi za umeme utaratibu upo vipi? Je naweza kuzigharamia nguzo na kufungiwa umeme.
Umeme ulopewa ww ni 3 phase mkuu hyo 99 wa single phase chiefBoss, sijui kuna tofauti gani katika hizi gharama za kulipia kuvuta umeme wa Tanesco. Nimelipa Tsh. 320,920 kwa huduma hiyo bila nguzo.
Sasa hiyo Tzs 27,000 au 99,000 utakuwa unazungumzia Nanjilinji vijijini huko.
Na umwambie asisahau Tzs 20,000 ya surveyor na angalau Tzs 10,000 ya kuambia "yaani tumehangaika kweli kutafuta nyumba yako", "subiri, tunakuja, kuna wengi tunawafungia", "unatoa chai tuje hapo fasta", n.k
Kimsingi kihalali, usipungukiwe na Tzs 330,000
Naomba mnieleweshe vizuri, hiyo Tzs 99k ni gharama ya nini?Umeme ulopewa ww ni 3 phase mkuu hyo 99 wa single phase chief
Naomba comment hii niscreenshoot kwa matumizi ya baadaeUnatatikiwa nyumba yako iwe imesukwa mfumo wezeshi wa kuingiziwa umeme(wiring).
Kisha fundi aliefanya kazi akuandalie mchoro wa jinsi wiringi ilivyo na upigwe muhuni na mhandisi(fundi anajua anaupateje)
Kisha unaenda ofisi ya TANESCO iliyo karibu unapewa fomu ya kuomba kuunganishiwa umeme inambatanishwa na mchoro wa nyumba na nakala ya kitambulisho Chako(NIDA au cha kura)
Utasubiri mpaka zamu yako utakapofikia kuunganisha utafanyiwa ivyo.
Gharama zipo za namna mbili elfu 27,000/= kwa umeme wa vijijini REA
elfu 99,000/= kama si wa REA.
Mteja anaweza kutuma taarifa kamili inbox sio lazima hapa kwa kuwa tunapenda kufatilia na kumpa mrejeshoPrivacy ya mtoa taarifa Ni muhimu Sana. Cjajua kwann mnatakaga namba za simu wakati swala Ni kutoa Taarifa ya kusumbua umeme maeneo tajwa. Ingekuwa Ni ishu yangu binafsi kuwa mita au nyumba yangu umeme unasumbua sawa ningewapa namba
Kuweka namba hapa wakati tatizo ni la eneo kubwa Ni hatari kidogo Kwasababu kuna watu kukatika umeme kwao Ni faida. Watu wa Sola wanatoa huduma Ya kuchaji kwa Bei Gali Sana linapotokea tatizo la umeme. Nafikiri mtakuwa mmenielewa vizuri
Nashuari issue Ya umeme km Ni tatizo linalohusu jamii nzima Basi mtoa taarifa sip lazima atoe namba kwa usalama
Ni maoni yangu tu , samahani nitakuwa nimetoa contraversal opinion
Privacy ya mtoa taarifa Ni muhimu Sana. Cjajua kwann mnatakaga namba za simu wakati swala Ni kutoa Taarifa ya kusumbua umeme maeneo tajwa. Ingekuwa Ni ishu yangu binafsi kuwa mita au nyumba yangu umeme unasumbua sawa ningewapa namba
Kuweka namba hapa wakati tatizo ni la eneo kubwa Ni hatari kidogo Kwasababu kuna watu kukatika umeme kwao Ni faida. Watu wa Sola wanatoa huduma Ya kuchaji kwa Bei Gali Sana linapotokea tatizo la umeme. Nafikiri mtakuwa mmenielewa vizuri
Nashuari issue Ya umeme km Ni tatizo linalohusu jamii nzima Basi mtoa taarifa sip lazima atoe namba kwa usalama
Ni maoni yangu tu , samahani nitakuwa nimetoa contraversal opinion