Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,952
- 4,416
Nadhani Wizara ya Nishati apewe Jumaa Aweso
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tumepomea taarifa kwa hatua zaidi
Tunaomba taarifa zako kama jina, namba ya simu, eneo na mkoaHapa kijiji cha Mugundu wilaya ya Iramba tumesha choka kupiga simu ili tutatuliwe tatizo letu wiki sasa kila siku tunaambi emergence wanakuja hawaji tumesha nunua vibatari msije tena
asante sana kwa mrejeshoHabari tanesco napenda kutoa mrejesho wa ombi langu nililoliwasilisha kwenu leo tayari limefanyiwa kazi na huu ni ushahidi wa kazi yenu nzuri ninawaahidi kesho mapema asubuhi nitakuwa tayari nimeshalipia na nitaleta tena mrejesho Ahsanteni kwa kazi nzuri[emoji120]
Mrejesho
Katika kuonesha usiriazi juu ya jambo hili mapema leo nilikwenda kulipia malipo halali ya shilingi elfu ishirini na saba na ushahidi huu hapa[emoji116] ni matumaini yangu sasa ndani ya hizo siku saba mtakuwa tayari mmeshanifungia umeme natanguliza shukran nyingi kwenu na muwe na siku njema[emoji120]
View attachment 1705256View attachment 1705257View attachment 1705258
Je ni nani alikujibu hilo?Mimi nimefanyiwa survey lakin sipewi control number ya kulipia.
Ukweli unaosemwa na watendaji WA Tanesco ni kwamba Wizara imesema wananchi wasilipie nguzo lakin hawakuipa budget Tanesco kusambaza umeme na kununua nguzo.
Hakuna uhusiano kati ya maelekezo ya Waziri na watendaji WA Tanesco.
Fuatilieni Tanesco Mlandizi mtaelewa ninachosema
Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Hili ni swala ambalo linawaadhiri wateja wote ambao wanahitaji nguzo. Na ukipata muda wa kuwasikiliza watendaji wanatia huruma.Je ni nani alikujibu hilo?
Tafadhali onyesha namba yako ya simu na jina uliloombea
Tunataka kuanza na wewe kwa kuwa maombi ya umeme ni nyumba au sehemu ya mtu hivyo tuone taarifa zako na kuanzia hapoHili ni swala ambalo linawaadhiri wateja wote ambao wanahitaji nguzo. Na ukipata muda wa kuwasikiliza watendaji wanatia huruma.
Ni vyema jambo hili likaguatiliwa kwa ujumla sio lazima Mimi kuwa specific kwenye hili au kumtaja aliyenijibu.
Tanesco mnatakiwa kufuatilia na kuona
Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Mimi nimefanyiwa survey lakin sipewi control number ya kulipia.
Ukweli unaosemwa na watendaji WA Tanesco ni kwamba Wizara imesema wananchi wasilipie nguzo lakin hawakuipa budget Tanesco kusambaza umeme na kununua nguzo.
Hakuna uhusiano kati ya maelekezo ya Waziri na watendaji WA Tanesco.
Fuatilieni Tanesco Mlandizi mtaelewa ninachosema
Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Ni karibia ofisi zote hapa Tanzania wanatoa majibu kama hayo.Je ni nani alikujibu hilo?
Tafadhali onyesha namba yako ya simu na jina uliloombea
Tusaidie umeomba au kulipia umeme kwa jina gani wilaya gani tukuhudumieNi karibia ofisi zote hapa Tanzania wanatoa majibu kama hayo.
Pindi nguzo zinapohitajika, maelekezo kutoka kwa maofisa ni kwamba nguzo zinatakiwa kulipiwa na mteja mwenyewe. Habari ya Waziri alikwisha toa oda kwamba nguzo ni bure, wao hawalijui hilo.
Tumepokea taarifa zenu kwa utekekezaji wapendwa wateja wetu, Tunawaomba radhi huku wataalamu wetu wakiendelea na jitihada zaidiNyie Tanesco ni shirika la HOVYO KABISAAA....mnaona wakazi wa Kimara ni kama mafala yaani...mnakatakata umeme jinsi mnavyojisikia.Acheni huu ujinga maana hakuna siku inapita bila kukata umeme pande za Kimara tena hata bila sababu za msingi.Muda huu wa saa tatu usiku mmejikatika umeme kama vile hamkupaswa kutoa taarifa ya katizo kwa wakazi wa Kimara.Mnakera sana na mnaendesha shirika kijingajinga sana.