TANESCO hivi kimara mwisho tumewakosea nini nyinyi?Kimara mwisho kuna tatizo gani...Kimara mwisho kuna nini kisichotengenezeka?kwanini blakouts haziishi huku?Mmetula wiki mbili mmeanza tena mambo yenu.Nini hiki kisichomalizika moja kwa moja miaka nenda miaka rudi?
Kimara mwisho line inayolisha dawasco na TRA kwanini umeme unakatika sana miaka na miaka tukilalamika unatulia wiki tu mnaanza tena.Kuna shida gani line hii?
Na ndio laini inayolisha mji wa Kimara upande wenye uwekezaji wa kibiashara so u can see hasara mnazosababisha kwa wananchi wenye biashara zao nyingi maeneo haya.Hivi hamuoni aibu lakini?mbona maeneo mengine kunatuliaga mda mrefu kwanini Kimara tatizo haliishi miaka mingi?
Angalia mnatukosesha hata kushihudia mazishi ya Rais wetu.
Mnatia hasira sana nyinyi watu.
Unajua sio vizuri kufanya kazi huku watu wanasononeka juu yako.Endeleeni tu mnachotafuta soon mtakipata.