Hongera sana mkuu! TANESCO naona sasa wanafanya kazi kweli kweli.Kwanza natoa shukrani zangu za dhati kabisa
Kwenu TANESCO
Jana nilitoa malalamiko yangu kupitia ukurasa huu
Na nashukuru kwamba malalamiko yangu yamejibiwa
Leo hii asubuhi watu wa TANESCO wamefika nyumbani hivi sasa ninavyoongea hapa umeme unawaka nyumbani kwangu
Aksanteni sana TANESCO
Uwepo wenu humu si wa kuuza maneno
Mnasikiliza kero zetu na kwa kweli mnazitatua kwa wakati sikutegemea kabisa nimelalamika jana tena mtandaoni leo umeme unawaka nyumbani kwangu.
Na mimi mwenyewe vile vile najipongeza kuwepo humu JF.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu mpendwa mtejaTANESCO walipitisha umeme mkubwa kwa MAKUSUDI katika Kiwanja/Jengo letu lilokuwa linajengwa kwa ajili ya biashara,ukakaa miaka 10 tangu 2004 eti kwa kuwa wao ni shirika la serikali hawajatoa fidia hata kidogo bado wanapiga chenga mahakamani kwa kutumia wakili wao,Sipendi kusikia hilo jina... ndo maana na wao wanakaangwa na IPTL sababu hawapo makini,kazi kuwabana wazawa tu katika haki!
Ulilipa kiasi gani kwa jina lipi na namba yako ya mitaToka january nahabgaikia umeme, nimeshakamilisha kila kitu, majibu ninayopewa mpaka leo tutakupigia simu, wakati nguzo ipo nyumba ya pili, je nichukue hatua gani? Nipo RUVUMA
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu mpendwa mtejaKwanza natoa shukrani zangu za dhati kabisa
Kwenu TANESCO
Jana nilitoa malalamiko yangu kupitia ukurasa huu
Na nashukuru kwamba malalamiko yangu yamejibiwa
Leo hii asubuhi watu wa TANESCO wamefika nyumbani hivi sasa ninavyoongea hapa umeme unawaka nyumbani kwangu
Aksanteni sana TANESCO
Uwepo wenu humu si wa kuuza maneno
Mnasikiliza kero zetu na kwa kweli mnazitatua kwa wakati sikutegemea kabisa nimelalamika jana tena mtandaoni leo umeme unawaka nyumbani kwangu.
Na mimi mwenyewe vile vile najipongeza kuwepo humu JF.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili limenitokea na roho inaniuma sana: TANESCO wanataka kufungia watu umeme kwenye transformer yangu kwa nguvu!
Mbona hili lilishajibiwa mkuu UshimenHili limenitokea na roho inaniuma sana: TANESCO wanataka kufungia watu umeme kwenye transformer yangu kwa nguvu!
Mkuu, pitia huu malalamiko ya huyu member alio yaleta humu kwamba mnataka kumdhukumu haki ambayo anaamini ni yakwake.
Baada ya hapo naomba utowe majibu hapa jf ili pengine isije ikawa imewavunja mioyo wateja wenu na pengine watanzania tukajikuta tunakosa imani na ninyi.
Asante
Asante mkuu.....Mbona hili lilishajibiwa mkuu Ushimen
Tizama majibu page ya 94 post ya 938
Teh teh, poapoa kiongoziAsante mkuu.....
Siunajua nipo balimi ya 7 saizi..[emoji12] [emoji12]
Wakuu/ Mkuu naomba mniweke sawa.
TANESCO "Tunayaangaza maisha"
Bei ya nguzo inategemea na eneo ulilopo, ukiwa mjini bei inakuwa tofauti na ukiwa mjini bei inakuwa tofauti.Wakuu/ Mkuu naomba mniweke sawa.
Nataka kuvuta umeme, Tanesco walivyofika wakasema zinahitajika nguzo 3 mpaka nilipo gharama zilizotajwa ni kila nguzo laki 2.
Nikawa nawashawishi majirani zangu tuchangie hizi gharama nikiwa naendelea na ushawishi nikakuta humu uzi unaoonyesha kua hizo gharama ni kubwa.
Nikaingia mtandao wenu nikatuma email ya kuuliza sikujibiwa, naomba mniambie kama hizo gharama ni halali au la?
Bei ya nguzo inategemea na eneo ulilopo, ukiwa mjini bei inakuwa tofauti na ukiwa mjini bei inakuwa tofauti.
Pia katika gharama ambazo tuweka zinaonyesha mwisho nguzo mbili kama kuna nguzo zaidi ya 2 unafanyiwa mahesabu na kupewa gharama halisi mku
TANESCO "Tunayaangaza maisha"
....Kuna member humu alileta uzi kwamba Tanesco baada ya kushindwa kupeleka umeme sehemu aliyojenga, alishauriwa anunue genereta iliyogharimu 6.5m , sasa anasema Tanesco wameifanya yao na hawataki kum refund gharama zake, na pia wanataka kuwaunganisha wateja wengine hata bila kumshirikisha. Hili likoje?Bei ya nguzo inategemea na eneo ulilopo, ukiwa mjini bei inakuwa tofauti na ukiwa mjini bei inakuwa tofauti.
Pia katika gharama ambazo tuweka zinaonyesha mwisho nguzo mbili kama kuna nguzo zaidi ya 2 unafanyiwa mahesabu na kupewa gharama halisi mku
TANESCO "Tunayaangaza maisha"
Hilo limejibiwa post namba 938.....Kuna member humu alileta uzi kwamba Tanesco baada ya kushindwa kupeleka umeme sehemu aliyojenga, alishauriwa anunue genereta iliyogharimu 6.5m , sasa anasema Tanesco wameifanya yao na hawataki kum refund gharama zake, na pia wanataka kuwaunganisha wateja wengine hata bila kumshirikisha. Hili likoje?
Sent using Jamii Forums mobile app