tebweta
JF-Expert Member
- Jun 12, 2016
- 211
- 159
Kwanza natoa shukrani zangu za dhati kabisa
Kwenu TANESCO
Jana nilitoa malalamiko yangu kupitia ukurasa huu.
Na nashukuru kwamba malalamiko yangu yamejibiwa.
Leo hii asubuhi watu wa TANESCO wamefika nyumbani hivi sasa ninavyoongea hapa umeme unawaka nyumbani kwangu.
Aksanteni sana TANESCO
Uwepo wenu humu si wa kuuza maneno
Mnasikiliza kero zetu na kwa kweli mnazitatua kwa wakati sikutegemea kabisa nimelalamika jana tena mtandaoni leo umeme unawaka nyumbani kwangu.
Na mimi mwenyewe vile vile najipongeza kuwepo humu JF.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenu TANESCO
Jana nilitoa malalamiko yangu kupitia ukurasa huu.
Na nashukuru kwamba malalamiko yangu yamejibiwa.
Leo hii asubuhi watu wa TANESCO wamefika nyumbani hivi sasa ninavyoongea hapa umeme unawaka nyumbani kwangu.
Aksanteni sana TANESCO
Uwepo wenu humu si wa kuuza maneno
Mnasikiliza kero zetu na kwa kweli mnazitatua kwa wakati sikutegemea kabisa nimelalamika jana tena mtandaoni leo umeme unawaka nyumbani kwangu.
Na mimi mwenyewe vile vile najipongeza kuwepo humu JF.
Sent using Jamii Forums mobile app