Kwa nini tanesco msiwe na mfumo wa moja Kwa moja Kwa wateja wa vijijini kuwa kwenye malipo madogo badala ya sasa mpaka mteja aombe kushushwa kutoka kwenye matumizi makubwa kwenda matumizi madogo

Hapo ndipo rushwa inapotawala ukiandika barua ya maombi itakaa miaka kadhaa hupati majibu lakini ukitoa mlungula hapo hapo unashushwa sasa tanesco angalieni hii kitu inawaumiza wananchi
 
Tanesco Wilaya ya MBINGA sijui Kuna nini?

Nimebadilishiwa mita tangu 28/12/2020 lakini Hadi Sasa unit zangu 76.4 zilizo kuwa mita ya awali sijazipata bado.
Nimekuwa nikifuatilia suala hili utadhani na Mimi nafanya kazi Tanesco.

Katika kufuatilia suala hili,kumpata fundi aliyefika kubadilisha mita ilichua zaidi ya mwezi utadhani ofisi ina mafundi zaidi ya 1000.

Baada ya kumpata fundi mita ilipigwa picha na kupelekwa kwa mhasibu napo Pana shidi na vikwazo kuliko kumtafuta fundi kwani nimefuatilia Mara nyingi bila mafanikio.

Wiki 2 zilizopita niliamua kumwona meneja nikamweleza suala langu akamwita mhasibu,majibu yake nitashughulikia lakini Hadi Sasa hakuna kilicho endelea.

Pia Tanesco MBINGA huduma kwa wateja hawana utaratibu wa kutoa namba ya taarifa inayo msaidia mteja kufanya ufuatiliaji wa utatuzi wa tatizo lake alilo litolea taarifa.

Kwa kweli Hawa tanesco Wilaya ya MBINGA sijui wanataka nini kutoka kwangu kwani hizo unit ni haki yangu walipaswa waziweke kwenye mita mpya bila shuruti lakini wao kufanya hivyo ni Kama wanafanya fadhira.

Najiuliza wamefanya hivyo kwa wateja wangapi? Je,wale wanaotoka vijijini ninyi tanesco mnajua gharama wanazotumia?

Naombeni ushauri wenu nifanye nini?
Je, Nikamwone meneja mkoa?
Taarifa zangu binafsi nenda inbox
 
Tafadhali tupatie namba yako ya simu kwa hatua za haraka.Tunakuomba radhi sana mpendwa mteja wetu
 
Nimetoa malalamiko hapa na namba nimeombwa lakini sijapata mrejesho wowote
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja, JM
 
Huku mtaani sasa ni mwendo wa kuungurumisha majenereta.

Shida ni nini haswa?

Mnakata umeme na kuharibu mifumo.

Tusaidieni ili wananchi tuendelee kujenga uchumi wetu sisi wenyewe.
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja, JM
Jina Abdallah ally kheri
Wilaya mkuranga
Kata vikindu
Kijiji kazole

Tatizo kuunganishiwa umeme nilipeleka maombi agust mwaka 2019 mpaka hivi sasa napoandika sms hii sijapata umeme na jirani zangu umeme wamepata wamepataje sifahamu namba zangu 0788610714 au 0688298141
 
Je ulipeleka maombi au ulifanya malipo?
 

Mimi naitwa Donald kutoka Urambo,napenda kupongeza shirika la Tanesco kwa kazi inayofanya ila nina maoni :kwanza Tanesco imejikita kusambaza umeme vijijini lakini mimi na wilaya ikiachwa bila mipango ya kusambaza umeme, katika mimi na wilaya kuna kama nyingi ambazo hazijasambaziwa umeme na hii ni kwa sababu Tanesco inasubiri watu wakaombe umeme ofice za Tanesco wilaya husika na wakifika mlolongo unakuwa mrefu Mara Mara kuna afisa atakwenda kutathimini ni nguzo ngapi na kila nguzo ni 300,000/ halafu ndiyo ykalipie nguzo utakazoambiwa,lakini tatizo lina kuja pia wilaya haina store za vifaa vya kuunganisha wateja ,store Mara nyingi zipo mkoani na mkoani unaweza kukuta vifaa halitosis hivyo inachuakua muda mrefu kumuunganishia mteja.

Ushauri kwanini tanesco isitumie wakandarasi kila mji na wilaya ili kuharakisha usambazaji wa umeme kama REA?

MJIFUNZE KWA MAKAMBUNI YA SOLA KAMA MOBISOL yaaani ukiomba ndani ya siku mbili umeunganishiwa tena mapaka wiring.

Pili mameneja wa wilaya wapimwe kwa kufanyiwa tathimini ameunganisha kama ngapi katika mimi na wilaya umeme, kama atakuwa kaya nyingi hazijaungunishwa ajipime au walipwe kwa pay per performance.

Tatu naomba wilaya ziwezeshwe ziwe na store ya vifaa ili mteja alkilipa afungiwe umeme mapema, mwisho Tanesco waige idara ya maji mteja akipigiwa hesabu zake kama hana pesa aruhusiwe kulipa kidogo kidogo kila mwezi kw miezi 5_ 10 lakini awe amepewa huduma kwahiyo atakuwa nalipa deni na analipa Bill zote kwa pamoja.

Inne kila wilaya iwe na afisa mhamaishaji ambaya atapitia kila kaya ambazo hazina umeme kuzihamasisha ziunganishwe na umeme kwa bei nafuu na mkopo.(hili la mkopo ni zuri kwani ukipata mteja atalipa Bill zake milele kwahiyo hakuna hasara kwa shirika kama mobisol wanaweza kukopesha mpaka 4,000,000 je Tanesco mnashindwa nini? Kwa mteja wa milele?)

Waziri azungumze lugha moja na watendaji wa Tanesco siyo anahubiri kuunganisha umeme 27,0000/ lakini kumbe ni ndani ya mita 30 tu ,lakini ukiwa nje ya mita 30 unalipa nguzo moja 300,000 na kuendelea.

Ni mimi Donald Musimu 0782100081 urambo
 
Mimi naitwa Donald kutoka Urambo,napenda kupongeza shirika la Tanesco kwa kazi inayofanya ila nina maoni :kwanza Tanesco imejikita kusambaza umeme vijijini lakini mimi na wilaya ikiachwa bila mipango ya kusambaza umeme,katika mimi na wilaya kuna kama nyingi ambazo hazijasambaziwa umeme na hii ni kwa sababu Tanesco inasubiri watu wakaombe umeme ofice za Tanesco wilaya husika na wakifika mlolongo unakuwa mrefu Mara Mara kuna afisa atakwenda kutathimini ni nguzo ngapi na kila nguzo ni 300,000/ halafu ndiyo ykalipie nguzo utakazoambiwa,lakini tatizo lina kuja pia wilaya haina store za vifaa vya kuunganisha wateja ,store Mara nyingi zipo mkoani na mkoani unaweza kukuta vifaa halitosis hivyo inachuakua muda mrefu kumuunganishia mteja.

Ushauri kwanini tanesco isitumie wakandarasi kila mji na wilaya ili kuharakisha usambazaji wa umeme kama REA?

MJIFUNZE KWA MAKAMBUNI YA SOLA KAMA MOBISOL yaaani ukiomba ndani ya siku mbili umeunganishiwa tena mapaka wiring.

Pili mameneja wa wilaya wapimwe kwa kufanyiwa tathimini ameunganisha kama ngapi katika mimi na wilaya umeme.kama atakuwa kaya nyingi hazijaungunishwa ajipime .
 
Mimi naitwa Donald kutoka Urambo,napenda kupongeza shirika la Tanesco kwa kazi inayofanya ila nina maoni :kwanza Tanesco imejikita kusambaza umeme vijijini lakini mimi na wilaya ikiachwa bila mipango ya kusambaza umeme,katika mimi na wilaya kuna kama nyingi ambazo hazijasambaziwa umeme na hii ni kwa sababu Tanesco inasubiri watu wakaombe umeme ofice za Tanesco wilaya husika na wakifika mlolongo unakuwa mrefu Mara Mara kuna afisa atakwenda kutathimini ni nguzo ngapi na kila nguzo ni 300,000/ halafu ndiyo ykalipie nguzo utakazoambiwa,lakini tatizo lina kuja pia wilaya haina store za vifaa vya kuunganisha wateja ,store Mara nyingi zipo mkoani na mkoani unaweza kukuta vifaa halitosis hivyo inachuakua muda mrefu kumuunganishia mteja.

Ushauri kwanini tanesco isitumie wakandarasi kila mji na wilaya ili kuharakisha usambazaji wa umeme kama REA?

MJIFUNZE KWA MAKAMBUNI YA SOLA KAMA MOBISOL yaaani ukiomba ndani ya siku mbili umeunganishiwa tena mapaka wiring.

Pili mameneja wa wilaya wapimwe kwa kufanyiwa tathimini ameunganisha kama ngapi katika mimi na wilaya umeme.kama atakuwa kaya nyingi hazijaungunishwa ajipime .
Wilaya iwe na vifaa vya kutosha yaani wawe na store zao,pia watandaze nguzo kila mtaaa ibaki kuunganisha wateja bila tatizo.

Kuwe na lugha moja na watendaji na waziri siyo waziri anasema 27,000 tu kuunganisha bila ya kusema hiyo unalipa ukiwa ndani ya mita 30 tu,ikizidi hapo unalipa 300,000 kila nguzo na zaidi ya hapo.yote kwa yote kama haiwezekani basi mkopeshe wateja kwa muda fulani ili wateja wamudu kulipia gharama, kama mobisol wanaweza kumkopesha mteja mpaka 4,000,000 je tanesco wanashindwa wapi wakati mteja akishaunganishwa atalipa Bill milele?
 
M
Mimi naitwa Donald kutoka Urambo,napenda kupongeza shirika la Tanesco kwa kazi inayofanya ila nina maoni :kwanza Tanesco imejikita kusambaza umeme vijijini lakini mimi na wilaya ikiachwa bila mipango ya kusambaza umeme,katika mimi na wilaya kuna kama nyingi ambazo hazijasambaziwa umeme na hii ni kwa sababu Tanesco inasubiri watu wakaombe umeme ofice za Tanesco wilaya husika na wakifika mlolongo unakuwa mrefu Mara Mara kuna afisa atakwenda kutathimini ni nguzo ngapi na kila nguzo ni 300,000/ halafu ndiyo ykalipie nguzo utakazoambiwa,lakini tatizo lina kuja pia wilaya haina store za vifaa vya kuunganisha wateja ,store Mara nyingi zipo mkoani na mkoani unaweza kukuta vifaa halitosis hivyo inachuakua muda mrefu kumuunganishia mteja.

Ushauri kwanini tanesco isitumie wakandarasi kila mji na wilaya ili kuharakisha usambazaji wa umeme kama REA?

MJIFUNZE KWA MAKAMBUNI YA SOLA KAMA MOBISOL yaaani ukiomba ndani ya siku mbili umeunganishiwa tena mapaka wiring.

Pili mameneja wa wilaya wapimwe kwa kufanyiwa tathimini ameunganisha kama ngapi katika mimi na wilaya umeme.kama atakuwa kaya nyingi hazijaungunishwa ajipime .
 
Leo ni tarehe 28/05/2021.
Kimara mwisho line ile ile ya dawasco nnayoizungumzia kila mara humu inaexperience jambo lile lile miezi nenda miezi rudi,miaka nenda miaka rudi.

TANESCO hebu angalia frequency ya hizi taarifa zangu za kila wiki humu uone tatizo la kukatika umeme mara kwa mara lilivyo kubwa Kimara mwisho.

Kwanini kwingineko mmeweza kutuliza umeme, Kimara panawashinda nini?!
Hapo juu it was last week i came here complaining ukanijibu hivyo.

Leo nimekuja tena nakueleza Kimara mwisho mlikata umeme asubuhi saa 12 mkarudisha saa 2.Saa hizi jioni hii mmekata tena.

Wewe unayeninibu embu angalia hii feequency ya report zangu za kila wiki humu uniambie ni kwanini Kimara hapaishi tatizo hili.

Mimi nimeamua kukusaidia. Ntaripoti kila mara umeme unavyokatika ili huko makao makuu mjue kinachoendelea Kimara mwisho.
 
TANESCO makao makuu tusaidieni watu wa Kimara.Lazima kuna uzembe unaoendelea haiwezekani tatizo lidumu muda mrefu hivi. Zaidi ya miaka sasa tunaripoti jambo lile lile.

Huenda kuna tatizo la kiufundi linalolazimishwa kuendelea kwa kufanya temporary solutions. Huenda distribution network ya huku kuna kifaa labda transformer,waya wa umeme etc ambayo either imezidiwa au ni mbovu kila tukilalamika mnaichokonoa hiyo hiyo ikikaa sawa inaendelea.

Matokeo yake kila mara inazingua na matengenezo hayaishi. Wanaotaabika ni sisi watumiaji ambao tunaexperience blakouts kila wakati. Nyinyi mnaona sawa mko bize na kazi zenu kuzunguka na magari kutengeneza mavifaa mabovu kila wiki. Hamuoni upande wa pili wa mteja anayekosa huduma endelevu kila wakati.

Umeme kama wa kupima kwa kisoda,mambo ya kizamani kabisa haya! Tatueni tatizo mara moja umeme utulie muda mrefu.Toa hayo mavifaa mabovu funga vitu vipya umeme utulie.
Mnatesa raia kwa huu ujinga.

Ingekuwa tatizo la large scale ningesema labda liko nje ya uwezo wenu lakini tunazungumzia Kimara mwisho daily hivi hamuoni kuwa ni aibu hii?!ni uzembe huu?!😡
 
Kuna hatua kadhaa zinachukuliwa ikiwemo kujenga kituo cha kupoza umeme maeneo ya mloganzila ili kuboresha hali ya umeme eneo husika.Tunawaomba uvumilivu wetu wapendwa wateja wetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…