yoga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2013
- 1,830
- 8,636
Hayo maeneo umeyataja hata maji ya bomba hayana!!!na yako karibu na ziwa hazizid km20!!
Mwanza bana natamani viongozi (wabunge wa pale) wangelikua na akili, wange kuwa na mpango wa upanuzi wa bara bara kutoka nata mpaka kisesa kuwa njia nne, bara bara ya kutoka igoma via kishiri to buhongwa kuwa njia nne, bara bara ya igombe via kayenze to kisesa kuwa njia nne na bara bara ya igogo mpaka usagara kuwa njia sita!!
Mji unge funguka mpaka raha!!
Mwanza bana natamani viongozi (wabunge wa pale) wangelikua na akili, wange kuwa na mpango wa upanuzi wa bara bara kutoka nata mpaka kisesa kuwa njia nne, bara bara ya kutoka igoma via kishiri to buhongwa kuwa njia nne, bara bara ya igombe via kayenze to kisesa kuwa njia nne na bara bara ya igogo mpaka usagara kuwa njia sita!!
Mji unge funguka mpaka raha!!