Umeme na maji ya bomba mwanza mjini inazidiwa parefu na wilaya ya kongwa tena huko ndani ndani kabisa. Geita, shinyanga mjini napo hovyo taabani hakuna maji ya bomba maeneo mengi mpaka leo pamoja na pato kubwa wanalochangia kupitia madini, samakiNi jambo la kushangaza sana! Ni kweli kabisa hayo maeneno yamejengeka lakini hakuna umeme. Unaenda vijijini, sehemu nyingine nyaya zinaenda hata umbali wa mita 400 bila kuwepo nyumba, lakini umeme upo. Mwanza nyumba kwenye hayo maeneno, zipo karibu karibu sana lakini umeme hakuna.
Watu walio mbali na Mwanza, wengi wanaamini marehemu aliipendelea Mwanza, lakini ukweli ni kwamba hakuna cha pekee. Barabara za lami ni za kuhesabu. Barabara ya njia moja ni moja tu ya kilometa 4, mitaani barabara nyingi mashimo matupu, umeme maeneo mengi ya pemebezoni mwa jiji, haujapelekwa.
Kabxa mkuu,yaan unashangaa hata barabara za kuingià katkat ya jiji c 4ways, zipo tu kama highway za kawaida, hili wajaribu kuliangalia, mfano kuna barbara ya pamba hapo kuelekea sahara kwa kupitia Aghakan, ni kama uchochoro tu na ukizngatia kuna mabanda ya wafanyabiashara, usalama wao kwel upo chiniNi jambo la kushangaza sana! Ni kweli kabisa hayo maeneno yamejengeka lakini hakuna umeme. Unaenda vijijini, sehemu nyingine nyaya zinaenda hata umbali wa mita 400 bila kuwepo nyumba, lakini umeme upo. Mwanza nyumba kwenye hayo maeneno, zipo karibu karibu sana lakini umeme hakuna.
Watu walio mbali na Mwanza, wengi wanaamini marehemu aliipendelea Mwanza, lakini ukweli ni kwamba hakuna cha pekee. Barabara za lami ni za kuhesabu. Barabara ya njia moja ni moja tu ya kilometa 4, mitaani barabara nyingi mashimo matupu, umeme maeneo mengi ya pemebezoni mwa jiji, haujapelekwa.
Ingawa wetu wengi wamejitahidi kujenga majumba mazuri tatizo umeme wa tanesco hauwafikii
Maeneo kama Sawa, Nyashishi, Nyamongoro, Bukaga, Kangae, Ilalila, Kakebe, Kishiri, fumagila kwa kutaja baadhi maeneo hayo wetu wamejenga majumba ya kifahari changamoto ni umeme haupelekwi waziri tunakuomba uishtueshutue tanesco ya mwanza jiji
Tunashukuru kwa taarifa tumepokea kwa hatua zaidi.Tafadhali tambua usambazaji wa umeme maeneo mbalimbali nchini unaenda kwa awamu mbalimbali hivyo kila eneo litafikiwa kwa awamu zijazoIngawa wetu wengi wamejitahidi kujenga majumba mazuri tatizo umeme wa tanesco hauwafikii
Maeneo kama Sawa, Nyashishi, Nyamongoro, Bukaga, Kangae, Ilalila, Kakebe, Kishiri, fumagila kwa kutaja baadhi maeneo hayo wetu wamejenga majumba ya kifahari changamoto ni umeme haupelekwi waziri tunakuomba uishtueshutue tanesco ya mwanza jiji
Watu wanafanya maendeleo ila mnakua kikwazoTunashukuru kwa taarifa tumepokea kwa hatua zaidi.Tafadhali tambua usambazaji wa umeme maeneo mbalimbali nchini unaenda kwa awamu mbalimbali hivyo kila eneo litafikiwa kwa awamu zijazo
Ninaifaham vizuri sanaAnza kwanza kwa kujifunza mipaka ya 'Jiji' la Mwanza.
Mwendazake aliahidi kwamba jiji la mwanza litakua kama jiji la Geneva uswizi, ila paka amafariki jiji la mwanza nikama fishing village in Gonoa Italy, mambo hubadilika haraka......Ingawa wetu wengi wamejitahidi kujenga majumba mazuri tatizo umeme wa tanesco hauwafikii
Maeneo kama Sawa, Nyashishi, Nyamongoro, Bukaga, Kangae, Ilalila, Kakebe, Kishiri, fumagila kwa kutaja baadhi maeneo hayo wetu wamejenga majumba ya kifahari changamoto ni umeme haupelekwi waziri tunakuomba uishtueshutue tanesco ya mwanza jiji
Mwanza ni shida tupu, umeme kama ulivyotaja maeneo hayo ni tatizo, shida ya maji ndo usiseme, maeneo ya Kanyerere upatikanaji wa maji ni tatizo kubwa.Ingawa wetu wengi wamejitahidi kujenga majumba mazuri tatizo umeme wa tanesco hauwafikii
Maeneo kama Sawa, Nyashishi, Nyamongoro, Bukaga, Kangae, Ilalila, Kakebe, Kishiri, fumagila kwa kutaja baadhi maeneo hayo wetu wamejenga majumba ya kifahari changamoto ni umeme haupelekwi waziri tunakuomba uishtueshutue tanesco ya mwanza jiji
Atleast umeonesha uwepo wenu hongera kwa hili, ila msiishie kutoa comment hapa, nendeni maeneo husika mkaonane na wadau wenu wenye hizo shida muongee nao.Tunashukuru kwa taarifa tumepokea kwa hatua zaidi.Tafadhali tambua usambazaji wa umeme maeneo mbalimbali nchini unaenda kwa awamu mbalimbali hivyo kila eneo litafikiwa kwa awamu zijazo
Tunashukuru kwa ushauri taarifa yeyote inayotolewa kuhusu TANESCO inafatiliwa na kufanyiwa kazi kuanzia Makao Makuu hadi eneo husika.Hivyo ondoa shakaAtleast umeonesha uwepo wenu hongera kwa hili, ila msiishie kutoa comment hapa, nendeni maeneo husika mkaonane na wadau wenu wenye hizo shida muongee nao.
Nyamagana inahitaji jicho la tatuMwanza ni shida tupu, umeme kama ulivyotaja maeneo hayo ni tatizo, shida ya maji ndo usiseme, maeneo ya Kanyerere upatikanaji wa maji ni tatizo kubwa. Barabara ya kutoka Mkuyuni kupitia Mahina- Kanyerere- Nyangulugulu hadi Machinjioni imejaa mahandaki na maeneo hayo ni ndani ya Jiji. Mbunge wa Nyamagana yule Mgambo Mabula hana lolote la maana la kuwasaidia Wapiga kura wake kwa matatizo yote hayo
Kigamboni...taarifa zangu mnazo ..check pmJe umefika ofisi ya wapi? Namba ya simu tafadhali