Hayo maeneo umeyataja hata maji ya bomba hayana!!!na yako karibu na ziwa hazizid km20!!


Mwanza bana natamani viongozi (wabunge wa pale) wangelikua na akili, wange kuwa na mpango wa upanuzi wa bara bara kutoka nata mpaka kisesa kuwa njia nne, bara bara ya kutoka igoma via kishiri to buhongwa kuwa njia nne, bara bara ya igombe via kayenze to kisesa kuwa njia nne na bara bara ya igogo mpaka usagara kuwa njia sita!!

Mji unge funguka mpaka raha!!
 
Umeme na maji ya bomba mwanza mjini inazidiwa parefu na wilaya ya kongwa tena huko ndani ndani kabisa. Geita, shinyanga mjini napo hovyo taabani hakuna maji ya bomba maeneo mengi mpaka leo pamoja na pato kubwa wanalochangia kupitia madini, samaki
 
Ka
Kabxa mkuu,yaan unashangaa hata barabara za kuingià katkat ya jiji c 4ways, zipo tu kama highway za kawaida, hili wajaribu kuliangalia, mfano kuna barbara ya pamba hapo kuelekea sahara kwa kupitia Aghakan, ni kama uchochoro tu na ukizngatia kuna mabanda ya wafanyabiashara, usalama wao kwel upo chini
 
Kwani wabunge wenu wanasemaje akina Mabula wa Nyamagana na yule wa Ilemela ?
 
Hii Maada ni Muhimu sana Umeme tumekuwa tukilalamika katika jiji hili la Mwanza lakin wahusika wako kimya lakini nikienda bariad kwetu umeme umefika hadi vijiji vyavingi havina hata nyimba, kwetu nyumbani kuna umeme wakati tuko ndani vijijini lakini hapa Mwanza mpaka unashanga kuna sehemu nyumba nzuri hakuna ata Nguzo
 
Tunashukuru kwa taarifa tumepokea kwa hatua zaidi.Tafadhali tambua usambazaji wa umeme maeneo mbalimbali nchini unaenda kwa awamu mbalimbali hivyo kila eneo litafikiwa kwa awamu zijazo
 
Tunashukuru kwa taarifa tumepokea kwa hatua zaidi.Tafadhali tambua usambazaji wa umeme maeneo mbalimbali nchini unaenda kwa awamu mbalimbali hivyo kila eneo litafikiwa kwa awamu zijazo
Watu wanafanya maendeleo ila mnakua kikwazo
 
RC mwenyewe yupo busy na bia, si ajabu akatafuta namna ya kuwafikishia barafu huko ili msinywe bia za moto......

Tuna safari ndefu.
 
Mwendazake aliahidi kwamba jiji la mwanza litakua kama jiji la Geneva uswizi, ila paka amafariki jiji la mwanza nikama fishing village in Gonoa Italy, mambo hubadilika haraka......
 
Mwanza ni shida tupu, umeme kama ulivyotaja maeneo hayo ni tatizo, shida ya maji ndo usiseme, maeneo ya Kanyerere upatikanaji wa maji ni tatizo kubwa.

Barabara ya kutoka Mkuyuni kupitia Mahina- Kanyerere- Nyangulugulu hadi Machinjioni imejaa mahandaki na maeneo hayo ni ndani ya Jiji.

Mbunge wa Nyamagana yule Mgambo Mabula hana lolote la maana la kuwasaidia Wapiga kura wake kwa matatizo yote hayo
 
Tunashukuru kwa taarifa tumepokea kwa hatua zaidi.Tafadhali tambua usambazaji wa umeme maeneo mbalimbali nchini unaenda kwa awamu mbalimbali hivyo kila eneo litafikiwa kwa awamu zijazo
Atleast umeonesha uwepo wenu hongera kwa hili, ila msiishie kutoa comment hapa, nendeni maeneo husika mkaonane na wadau wenu wenye hizo shida muongee nao.
 
Atleast umeonesha uwepo wenu hongera kwa hili, ila msiishie kutoa comment hapa, nendeni maeneo husika mkaonane na wadau wenu wenye hizo shida muongee nao.
Tunashukuru kwa ushauri taarifa yeyote inayotolewa kuhusu TANESCO inafatiliwa na kufanyiwa kazi kuanzia Makao Makuu hadi eneo husika.Hivyo ondoa shaka
 
Nyamagana inahitaji jicho la tatu
 
TANESCO nimefika ofisini kwenu nikihitaji huduma ya kuunganishiwa umeme...mmesema hamjui gharama ya nguzo na bado halijatolewa waraka..hivi waziri pale aliposema elfu 27 alimaanisha nini?

Nguzo zetu wateja? Sisi tuna nguzo?
 
TANESCO nimefika ofisini kwenu nikihitaji huduma ya kuunganishiwa umeme...mmesema hamjui gharama ya nguzo na bado halijatolewa waraka..hivi waziri pale aliposema elfu 27 alimaanisha nini? Nguzo zetu wateja? Sisi tuna nguzo?
Je umefika ofisi ya wapi? Namba ya simu tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…