Tafadhali tuonesha namba ya simu, Wilaya gani kwa hatua zaidiHabari Tanesco Tz
Nimejaza fomu ya maombi ya umeme tokea tarehe 19 may 2021na kuambatanisha kila kinachohitajika kulingana na utaratibu, nikaambiwa baada ya siku za kazi 14 ntapigiwa simu na saveya lakin had leo kimya tatizo nini au utaratibu umebadirika?
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Nmetuma pmTafadhali tuonesha namba ya simu, Wilaya gani kwa hatua zaidi
Je mpo umbali gani? Namba yako ya simu tafadhaliChangamoto ya nguzo kutokufika eneo la Kasinozo ni nini?
Eneo LA Kasinozo ni kati ya maeneo katika kijiji cha Maguge - Karagwe na wakati umeme upo Kiyanga - Karagwe umbali kidogo kufika Maguge.
Ivyo TANESCO tupeni utaratibu juu ya jambo hilo.
Habari TANESCO nilikua naomba Kuna uwezekano nikaingiza umeme nje mita, maana mita yangu imegoma kubonyezeka namba 4.Je mpo umbali gani? Namba yako ya simu tafadhali
hizi zimetumika ulikua wa 8900 kwenye namba hii 0622023533 mita namba 242196051510128-3753-2007-4925-6417
Tafadhali pokea token zako
Tafadhali onyesha umelipia lini? Wilaya na namba ya simu kwa hatua zaidiTanesco kuchelewesha kuunganishia umeme wananchi nahesabia kama ni kosa la uhujumu uchumi.Sasa hivi Kodi za nyumba zitalipwa kwa LUKU,sasa kama nyie Tanesco mnasuasua kuwaunganishia Umeme watu kwanini msihesabiwe kama wahujumu uchumi? Unganishieni umeme watu wengi zaidi ongezeni kasi ili Kodi ya majengo iongezeke mara dufu.
hizo tokeni zimetumika nimejaribu nili nunua umeme wa 8900 kwa mita namba 24219605151 namba ya simu nilio tumia ni 06220235330128-3753-2007-4925-6417
Tafadhali pokea token zako
Sasa hivi Tanesco wamesimama kuunganisha umeme tangu waziri aseme watu waunganishwe kwa 27,000 watendaji hawajapewa waraka wa kuwaelekeza ni mteja gani aunganinishwe kuanzia nguzo ngapi mpaka ngapi, mimi nimechorewa Ramani tangu tarehe 10 lakini kila ukiuliza Tanesco wanasema hawajapata maelekezo kutoka kwa MD kwa barua.Tanesco kuchelewesha kuunganishia umeme wananchi nahesabia kama ni kosa la uhujumu uchumi.Sasa hivi Kodi za nyumba zitalipwa kwa LUKU,sasa kama nyie Tanesco mnasuasua kuwaunganishia Umeme watu kwanini msihesabiwe kama wahujumu uchumi? Unganishieni umeme watu wengi zaidi ongezeni kasi ili Kodi ya majengo iongezeke mara dufu.
Je umepata changamoto wapi? Umeomba umeme kwa jina gani? Wilaya gani na namba ya simu tafadhali.Sasa hivi Tanesco wamesimama kuunganisha umeme tangu waziri aseme watu waunganishwe kwa 27,000 watendaji hawajapewa waraka wa kuwaelekeza ni mteja gani aunganinishwe kuanzia nguzo ngapi mpaka ngapi,mimi nimechorewa Ramani tangu tarehe 10 lakini kila ukiuliza Tanesco wanasema hawajapata maelekezo kutoka kwa MD kwa barua.
Waziri harakakisha waraka wa maelekezo,tarehe 4 MD alitoa waraka lakini watendaji inaonekana waliupinga kwa kwakuhoji kuwa itakuwaje mteja wa nguzo kuanzia 10 na kuendelea aunganishiwe kwa 27,000? Sasa ndo bado MD hajawajibu
Kama kawaida yako mkuuJe umepata changamoto wapi? Umeomba umeme kwa jina gani? Wilaya gani na namba ya simu tafadhali.