uyui kwetu
JF-Expert Member
- Oct 23, 2013
- 1,214
- 783
Huwez fungiwa umeme Kama hunaNipo maeneo ya manispaa ya kahama kijiji Cha lowa kitongoji Cha ifukili napenda kuuliza ivi kulipia helaa ya kufungiwa mita lazima uwe umeshafanya wayalini?
Ahsante ngoja nimalizeMpaka uchukue form upimiwe ndio tunaweza kukujulisha.kwa sasa bei ni Tsh 27000 tu na mteja halipii nguzo wala vifaa vingine
Hivi huu utaratibu wakubadili tariff kila Mara mbona sio utaratibu mzuri hii ni Mara ya tatu nabadili tariff na matumizi yangu ni chini ya units 30 kwa mwezi ,Leo nimeshindwa kununua umeme naambiwa niwasiliane na tanesco kama ni ukaguzi mlishapita hii ni rushwa ,namba ya meter 24210087060 kama kuna namna inayofaa mnishauri hii so sawa hata kidogoAhsante tumepokea taarifa
Tatizo Limejirudia sikupata msaada wowoteTumeipokea kwq uchunguzi zaidi