Kapyungu A
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 3,499
- 3,161
Na Kama ikifahamika inamatatizo. Mfano inasoma Umeme zaidi. Je kiwango kilichozidi kinaweza kurudishwa au ndio hasara yanguAsante mkuu,
Kama umehakikisha kila kitu kipo sawa, unafika ofisi ya TANESCO iliopo karibu na wewe nankuomba huduma ya ukaguzi wa mita au METER TEST huduma hii baada ya kuomba unalipia kiasi kidogo sana shilingi 3000 tu. Baada ya hapo mafundi watafika kwenye nyumba yako na kuikagua mita hio kamaninakula umeme sawa sawa au kimakosa.
Kama mita ni tatizo TANESCO tutakujulisha kwa barua na kuchukua hatua mara moja ya kuibadilisha mkuu.
Je nyumba ipo wapi mkuu
TANESCO "Tunayaangaza maisha"
Kabla ya kulipia hio gharama, wanakupa maelezo kama hio mita itakuwa kweli inakula umeme zaidi na TANESCO tukaibadilisha tutakupa unit zenye thamani ya gharama uliolipia ya kufanyiwa uchunguzi yaani METER TEST ambayo ni shilingi 3000 tuNa Kama ikifahamika inamatatizo. Mfano inasoma Umeme zaidi. Je kiwango kilichozidi kinaweza kurudishwa au ndio hasara yangu
Mita inaweza kutemper endapo unakosea kuweka umeme au kuingiza token zisizo au yenyewe inaweza kujitemper, hatua za kutatua mita itakapotemper ni mpaka wataalamu wetu wafike eneo lako kujua chanzo cha temper ni nin?Habari TANESCO hivi tatizo la mita temper linasababishwa na nini? maana inajirudia mara kwa mara na utatuzi wake wa kudumu ni upi, natanguliza shukrani
meter no 24217433721
Kwa siku ya jana kulikuwa na hitilafu kidogo na kazi ilifanyika vyema na kurudisha umeme kama wewe bado una tatizo tunaomba namba yako ya simumaeneo ya Kiluvya gogoni, hondogo, pamoja na maeneo jirani kila siku umeme unakatika, asubuhi na jioni, imekuwa kero, kukatikakatika kwa umeme tunakosa uhakika wa kufanya shughuli zetu za kibiashara. tunaomba mtupe uhakika.
Tunaomba namba yako ya simu mpendwa mtejasasa hivi ni saa 12:29 umeme umekatika tena maeneo yote ya kiluvya gogoni, hondogo, kwa kawawa, hii ni zaidi ya kero.
Pole sana mkuu, tupatie hizo taarifamaeneo haya umeme unakatika mara kwa mara, usumbufu mkubwa ktk shughuli zetu za uzalishaji.
Tumeomba taarida moendwa mtejamaeneo haya umeme unakatika mara kwa mara, usumbufu mkubwa ktk shughuli zetu za uzalishaji.
Angalau sasa mtu anaweza kuwafikia moja kwa moja bila figisufigisu hongereni kwa hilo.Tumeomba taarida moendwa mteja
TANESCO Makao Makuu
Huduma kwa Wateja
Simu: 0768985100/0222194400
Barua pepe: customer.service@tanesco.co.tz
Tovuti:www.tanesco.co.tz
Mitandao ya kijamii
www.facebook.com/tanescoyetu
www.twitter.com/tanescoyetu
TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO
Tunashukuru sana mpendwa mtejaAngalau sasa mtu anaweza kuwafikia moja kwa moja bila figisufigisu hongereni kwa hilo.
Mpendwa mteja wa Shirika la Umeme TanzaniaMimi Nina shida na umeme lakini BEI IPO juu sana na nguzo IPO njee kwangu wala pia aifiki mita kumi naombeni majibu inakuwaje hapo
Sent using Jamii Forums mobile app