Tumepokea taarifa kwa hatua zaidiT-Mwananchi mtaa wa magengeni na viunga vyake Vyote umeme Hamna, umekatika jioni hiiView attachment 2045330
Mimi Nina mwezi wa tatu huu nasubiria kupewa control number ili kuunganishiwa LUKU kwenye eneo la biashara. Hivi wenzetu mnafanya kazi kwa style gani?? Nimepiga simu, fuatilia wapi.... Bado na LUKU sijafungiwa. Dahhh!!!!Ndugu mpendwa Mteja wetu
Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.
Jina
Eneo
Wilaya
Namba ya simu
Tatizo
Toka lini
Namba ya taarifa
Ahsante sana
TANESCO Huduma kwa Wateja
Kwanini hii namba inatajwa kuwa haipo? Je mnaweka namba mfu kwa faida ya nani?Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2
Ndugu mpendwa Mteja wetuMimi Nina mwezi wa tatu huu nasubiria kupewa control number ili kuunganishiwa LUKU kwenye eneo la biashara. Hivi wenzetu mnafanya kazi kwa style gani?? Nimepiga simu, fuatilia wapi.... Bado na LUKU sijafungiwa. Dahhh!!!!
Ahsante, umeme umerudi.Tumepokea taarifa kwa hatua zaidi
Ndugu kwani hiyo namba ni ya Mkoa gani?Je unataka kutoa taarifa Mkoa gani haswa?
Hawa ndiyo Tanesco wetuKwanini hii namba inatajwa kuwa haipo? Je mnaweka namba mfu kwa faida ya nani?
Nimeingia kwenye page yao nikapiga namba hizo, nyingine hazipatikani, hiyo ya kati inatajwa kuwa haipo kabisaInabidi kitengo cha Emergency kiangaliwe upya, mtu unatoa taarifa tokea jana hadi sasa tatizo halijatatuliwa na ni eneo ambalo linafikika na TANESCO chini ya dakika kumi
Kwanini hii namba inatajwa kuwa haipo? Je mnaweka namba mfu kwa faida ya nani?
Je unataka kutoa taarifa Mkoa gani haswa?
Nimeambiwa leo mnakuja kunifungia umeme hadi saa hizi kimya nmetega kwenda kibaruani hadi saa hizi siwaoniKaribu sana
NawasubiriTutakufikia mkuu wetu
Je uliandika namba ya simu ipi?Kwa maskitiko makubwa kabisa leo naandika hapa,baada ya Tanesco Morogoro kushindwa kupeleka surveyor katika nyumba ambayo fomu yake ilijazwa na kukabidhiwa tangu 29/06/2021.
Niliwa-dm last time mkasema mtafanyia kazi lakini mpaka Leo hakuna surveyor aliyepata.
Hata siku surveyor akipita maana yake itanibidi nisubiri miezi 6 kupata control number na miezi 6 tena kupata umeme
Siku inakalibia kuisha hadi saa hizi siwaoni nyie watu hivi mnajali muda wa watu kweli?Je uliandika namba ya simu ipi?