Hivi tanesco mnatuchukuliaje sa hizi mbeya jiji kabisa afu umeme unakatika siku nzima watu tunategemea umeme tulate ada j3 watot wanaenda shule mwanjelwa nzima fine hamna umeme mnakata kata tuuu [emoji51][emoji51][emoji51][emoji3063][emoji3063][emoji3063][emoji3063]Tafadhali onesha namba ya taarifa na Mkoa husika kwa wepesi wa kuona taarifa zako
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Tanesco naomba muulize huku sengerema mwanza kwanini umeme unakatika kila siku hata sasa tupo gizani .
Ndugu mpendwa Mteja wetuHawa Tanesco wapuuzi tu...hakuna lolote wanalofanya
TANESCO naona lile tatizo la kukatakata umeme mara kwa mara kila siku bila taarifa zozote limeanza tena kurejea kwa kasi ya ajabu. Ama ile kauli ya mheshimiwa kuwa mbuzi kula kwa urefu wa kamba yake mmeipa tafsiri tofauti nini!Ndugu mpendwa Mteja wetu
Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.
Jina
Eneo
Wilaya
Namba ya simu
Tatizo
Toka lini
Namba ya taarifa
Ahsante sana
TANESCO Huduma kwa Wateja
SIMU : 0748550000
Yaani kwel tunanyooka kbsaMkuu sio huko tu ni nchi nzima tuna yooshwa vilivyo na February,majenereta yaliwadodea mno ni muda wa kiyauza sasa.
" Mtanikumbuka kwa yale mazuri " vipi tayari !!??Yaani kwel tunanyooka kbsa
Yaani ni shida huku nyanda za juu kusiniHivi tumewakosea nini kila muda huku Maeneo ya Mbezi beach mnatukatia Katia umeme hivyo? Mnataka nini?
Wewe VP umeanza kumbuka?" Mtanikumbuka kwa yale mazuri " vipi tayari !!??
Himilivu😂Mwenda zake tunamkumbuka sanaaaaView attachment 2083804
Kama yepi?" Mtanikumbuka kwa yale mazuri " vipi tayari !!??
Uzuri linalipwa na wananchi indirectMwenda zake tunamkumbuka sanaaaaView attachment 2083804