TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Tuliambiwa umeme kukatikakatika mwisho wiki mbili, vinginevyo wahusika watakipata cha mtema kuni. Chakushanga chamtema kuni wamekipata wale ambao hata kujua matumizi ya rangi za nyaya za umeme wanawauliza wenzao kazi yake nini!Maana wasiwasi wangu kweli siku kumi zitatosha? Maana waziri Makamba amekuwa hasimamii kauli zake
Dah! Hiyo sentenso ya mwisho nikahisi umeandika "Namba kujiua"! Mpaka nikajiuliza TANESCO imetufikisha huko?Mgao wa umeme upo tokea Makamba awe waziri!
Ila nauliza kwa sisi watu wa Temeke jana tokea asubuhi umeme haukuwepo maeneo mengi ya Temeke wakarudishwa jioni baada ya saa kama moja wakakata tena!
Sasa nauliza huu mgao rasmi uliotangazwa na MAHARAGE ndio huu umeshaanza sasa au utakaoanza Februari mosi?
Maana wasiwasi wangu kweli siku kumi zitatosha? Maana waziri Makamba amekuwa hasimamii kauli zake! Visingizio kibao mara mitambo chakavu, mara maji hayatoshi mara kitengo cha habari hakilitetei shirika la TENESCO!
Naomba kujua!
Hakika!Wanatafuna nchi tu hao hamna cha matengenezo wala nini
Magufuli ni Mussa wa TanzaniaKwa style hii legacy ya Magufuli haitafutwa
Kwa hyo hakuna ratiba nchi ngumu sna hiiyule mwamba kasema eti ni jambo la kawaida