NB: msukuma yoyote atawatafsiria heading.
Tanesco wanaua uchumi wetu wananchi tunaotegemea umeme huku nzega,haiwezekeni umeme unakatwa saa mbili asubuhi then wanarudisha saa tisa ucku.
Ok watu tunakurupuka hiyo ucku tunasema ngoja tukimbize viporo ili hata kama saa mbili watakata tena tuwe tumepata hata hela ya kula,cha ajabu saa kumi na mbili wanakata tena..,hawa wangese wanataka si tuolewe huku bush?! au. Fuckeen tanesco nmewamind kinyama.
Shindo jing'we gete bhatanesco bhose mpaka na waziri wing'hwe.