Tanesco wameweka nguzo mwezi wa 11 lakini cha ajabu mpaka leo hawana wire... umeme tunausikia tu
 
Huku kwetu mitaa ya FFU morombo, baadhi ya nyumba zilikua hazina umeme jana, leo nyumba hizo zina umeme ila nyumba yetu tu ndio haina, mna matatizo gani ninyi na kwa nn mnakua na viburi kiasi hicho? I miss JPM kwa kweli 😢
 
Tanesco mkuranga tuleteeni umeme kamegele vikindu mnaboa sana
 
Leo umeme Darumekuwa unakatikatika. Kwa kauli ya Waziri Makamba yawezekana waya zilizo uchi, kituo chao cha Ubungo, zinagusana kwa sababu ya upepo. AIBU ya mwaka
 
Hiki kimekuwa kikundi cha wahuni joto lote hili mnakata umeme kila muda tena usiku
 
Siasa za miundombinu sijui haikuwa inafanyiwa nini wananchi haiwahusu.

Wananchi wanataka nishati ya umeme kwa shughuli za kujiletea maendeleo na kuishi.

Awamu ya 5 wananchi walipata umeme bila mizengwe.

Tunategemea awamu ya 6 tupate umeme bila kukatikakatika tena kwa bei nafuu zaidi.

Maendeleo hayana vyama!
 
Pole sana brother

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Mkuu TANESCO naomba/nasubili ufafanuzi wenu hoja hii, ni muda sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…