TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Tunaomba msaada, Leo ni Siku ya nne hatuna umeme
Kijiji: michungwani
Kata: Mabalanga
Wilaya: Kilindi, mkoa wa TANGA.
chanzo: hitilafu ya transformer iliyosababishwa na mtu anayesadikika ni mlevi. hata kama upelelezi haujakamikika, Tunaomba mtuwashie umeme kwanza, tunateseka sana. Tafadhali
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja

SIMU : 0748550000
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja

SIMU : 0748550000
Pamoja na maelezo yote hayo yaliyojitosheleza Bado unacopy na kupest Hilo jarida lako
Hivi nyie ni maroboti au

TANESCO rudisheni umeme Dumila mgao gani huu wa Kila siku Toka mwezi wa 11
 
Usiku wa kuamkia leo saa 6:29 USIKU nilinunua Umeme wa 2,000/- lakini bado sijatumiwa TOKEN mpaka muda huu.

Tarehe 25/02/2021, saa 00:29.
Meter No. 37241717687.
Kiasi 2,000/-


TANESCO
 
Naingiza umeme Tangu saa moja hauingii,inasoma tu halafu umeme hauingii je mtwara kuna tatzo la kimtandao kama lipo tusaidiane kulekebisha hili giza linatuumiza
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja

SIMU : 0748550000
Admin wa hii thread ya TANESCO hujielewi kabisa. Details nimezisema zote Bado unataka ni zirudie, kwani hapasomeki?! Acha utani siku ya SITA upo gizani wewe unaleta utoto hapa
 
mbona mnakata kata umeme sana Mvuti ?
ni siku ya 3 leo ndani ya wiki mnakata asubuhi hadi usiku, bila taarifa
em kuweni waungwana
 
mbona mnakata kata umeme sana Mvuti ?
ni siku ya 3 leo ndani ya wiki mnakata asubuhi hadi usiku, bila taarifa
em kuweni waungwana
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja

SIMU : 0748550000
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja

SIMU : 0748550000

Eneo: Mvuti na Chanika nzima
Tatizo: Hakuna Umeme tangu asubuhi, siyo mara ya kwanza ndani ya siku hizi 7 , mnakata asubuhi mnarudisha Usiku

Wilaya: Ilala
Mkoa: Dar es Salaam

siwezitoa jina langu wala namba ya simu ilihali eneo lililoathirika ni kubwa

Ahsante
 
Mkurugenzi mtendaji wa Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) Maharage Chande amefungulia dunia fursa za uwekezaji kwenye eneo la uzalishaji umeme nchini kwa wawekezaji mbalimbali duniani katika mkutano uliofanyika Leo Feb 27 kwenye ukumbi wa Jumeirah Beach Hotel ulioko jijini Dubai.
Screenshot_20220227-163353_WhatsApp.jpg
 
Mkurugenzi mtendaji wa Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) Maharage Chande amefungulia dunia fursa za uwekezaji kwenye eneo la uzalishaji umeme nchini kwa wawekezaji mbalimbali duniani katika mkutano uliofanyika Leo Feb 27 kwenye ukumbi wa Jumeirah Beach Hotel ulioko jijini Dubai.View attachment 2133080
wapumbavu nyinyi , siku ya pili hatuna umeme mmekalia porojo na ujinga ujinga ?
nakutumia taarifa hakuna majibu ?
hamna msaada wowote hapa jamvini
 
wapumbavu nyinyi , siku ya pili hatuna umeme mmekalia porojo na ujinga ujinga ?
nakutumia taarifa hakuna majibu ?
hamna msaada wowote hapa jamvini
Usiwe na shaka tupo kukuhudumia, tafadhali tujulishe tatizo ni nini? Wilaya ,eneo na namba ya simu kwa hatua zaidi

Tupo kazini
 
Tanesco, mie ni mwananchi naishi kigamboni karibu na hospital ya vijibweni maeneo ya makaburi ya msafwa... Huku tuna tatizo la low voltage... Yaan imagine kuna single phase ndo inazinguka nyumba zote huku mtaan.. nimeweka picha ikionyesha lll kuonyesha uhalisia.. yaan volts hufika mpaka 130v,
IMG_20220227_225836_384.jpg
 
Jina Japhet Edward Hamaro

Eneo Mabwepande Mji Mpya

Wilaya Kinondoni

Namba ya simu 0768 590175

Tatizo Nimelipia Kuunganishiwa umeme Toka tarehe 06/11/2021 hapahitajiki hata nguzo lakini mpaka Leo sijafungiwa na pia nilisharipoti Tena hapa lakini bado sijapatiwa ufumbuzi na madai yenu mtafunga kabla ya tarehe 31 march lakini mbona kama Mimi kufungiwa umeme inafikia kuchukua miezi minne baada ya kulipia kitu ambacho sio sahihi?

Ahsante sana
 
Tanesco, mie ni mwananchi naishi kigamboni karibu na hospital ya vijibweni maeneo ya makaburi ya msafwa... Huku tuna tatizo la low voltage... Yaan imagine kuna single phase ndo inazinguka nyumba zote huku mtaan.. nimeweka picha ikionyesha lll kuonyesha uhalisia.. yaan volts hufika mpaka 130v,View attachment 2133390
Ndugu Mteja

Tunashukuru kwa taarifa, Tumezipokea kwa ufatiliaji na hatua zaidi.

TANESCO Huduma kwa Wateja

Makao Makuu

0748550000
 
Jina Japhet Edward Hamaro

Eneo Mabwepande Mji Mpya

Wilaya Kinondoni

Namba ya simu 0768 590175

Tatizo Nimelipia Kuunganishiwa umeme Toka tarehe 06/11/2021 hapahitajiki hata nguzo lakini mpaka Leo sijafungiwa na pia nilisharipoti Tena hapa lakini bado sijapatiwa ufumbuzi na madai yenu mtafunga kabla ya tarehe 31 march lakini mbona kama Mimi kufungiwa umeme inafikia kuchukua miezi minne baada ya kulipia kitu ambacho sio sahihi?

Ahsante sana
Ndugu Mteja,
Tumepokea taarifa kwa hatua zaidi, Namba yako ya ombi la umeme ni 511221-08067

TANESCO huduma kwa Wateja

Makao makuu
0748550000
 
Back
Top Bottom