Chikuvi2021
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 491
- 551
Ndugu Mteja!Ninauliza Kama mfumo wa Ni-konekti bado unafanya kazi.Mzee wangu alipewa application bill 991033783871 ya TZS515,617.52 jumatano 28/09/2022 saa 9.30 alasiri TANESCO Kibaha na kulipia 29/09/2022 saa 5.30 asubuhi na amepata ujumbe kuwa malipo yake ya kuunganishiwa umeme yamepokelewa kikamilifu,taratibu za ujenzi wa umeme zinaendelea.
Ninaomba kuuliza ni lini atajengewa umeme,kwa maana kwa mujibu wa tangazo la Tenesco, mteja anaweza kuomba na kujengwa ndani ya siku 3
Ndugu mtejaNaomba kuuliza namna ya kupata nmba za mita za LUKU zilizoibiwa huko Bunju A, aliyeiba ameondoka na kadi zake.
Pande zipi huko mzee.... Mbona Mambo ya kawaida kwa sisi wa.......Let the parties concerned be notified that we do not have electricity since 2.00 am untill now. Tanesco is in shambles.
Makamba is relaxing in V8 enjoying the fruits of his father's influence.
Inapiga kotekote!Chadema hata msipopata umeme hamna faida kwenye hii nchi wengi ni wajinga wajinga
TanzaniaUnaishi wapi?
Ujue baba yako na mama yako ni wanachadema kufa na kupona. Endelea na matusiChadema hata msipopata umeme hamna faida kwenye hii nchi wengi ni wajinga wajinga
Muislamu anakunywa pombe au soda? be specificMakamba anakunya tu hana habari.
Dear CustomerLet the parties concerned be notified that we do not have electricity since 2.00 am untill now. Tanesco is in shambles.
Makamba is relaxing in V8 enjoying the fruits of his father's influence.
We have had electricity now as of 11.00 morning! But I am not sure how long the light will last!Dear Customer
Kindly share location and contact details for an action.