TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
TANESCO mlisema juzi na jana mnakata umeme.Leo tarehe 11 mmekata umeme kivipi?
Ndio maana wabongo hatuwaamini nyinyi hata sekunde, tunawajueni vizuri.

Mnaendelea kukata umeme huku KIMARA hamna umeme na leo tarehe 11
 
Ndugu Mteja


Tafadhali onesha namba sahihi ya ombi au namba ya simu uliyofanyia ombi lako la umeme kwa hatua zaidi, Haupaswi kuwa na hofu na Nikonekt kwa kuwa ndio kilichobora kwa wateja wetu

Ahsante
-Namba ya kumbukumbu ya malipo ni 991033783871 ya September 28,2022.
-Simu namba 0754323132
-Receipt ya malipo 922272129040163 ya 2022-09_29 saa 5.27.34(in English time is11.27.34).
-Malipo yalilipwa kupitia CRDB Bank.
-Eneo Mwanalugali, kiwanja cha hisia Kali, Kibaha township.

Ninatanguliza shukrani za awali

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Tanesco Kuna mgao wa umeme Mwanza?
Maana mitaa mingi umeme unakatwa asubuhi unarudi jioni.
 
Hili shirika cjui tatizo nini kwakweli
Waziri WA hii wizara MH january makamba
Kwakweli hawa TANESCO wametuchosha
Na sababu zao kila siku hawakos sababu
Kuunganishiwa umeme imekua n tatzo tatzo
Zaid

Mwazi march tarehe 25 nmelipia kuunganishiwa umeme nguzo mbili
Office ya Tarakea tanesco Wilaya ya Rombo
Mkoan Kilimanjaro.

Lakin cha ajabu mpaka Leo umeme
Sijaunganishiwa jaman kila nikienda
Sababu haziwaish mara hakuna vifaa,mara nguzo hakuna,mara cjui gar yani sababu
Chungu nzima.

Jaman wanaohusika na hili watusaidie
Viongoz WA mkoa na Wilaya,
Miez 7 imepita sasa bila kuunganishiwa umeme kweli hii ni haki

TANESCO TANESCO

Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
 
Poleni sana, ngoja waje kukupa muongozo kwa kukuomba number ya simu na location...
 
Hili shirika cjui tatizo nini kwakweli
Waziri WA hii wizara MH january makamba
Kwakweli hawa TANESCO wametuchosha
Na sababu zao kila siku hawakos sababu
Kuunganishiwa umeme imekua n tatzo tatzo
Zaid

Mwazi march tarehe 25 nmelipia kuunganishiwa umeme nguzo mbili
Office ya Tarakea tanesco Wilaya ya Rombo
Mkoan Kilimanjaro.

Lakin cha ajabu mpaka Leo umeme
Sijaunganishiwa jaman kila nikienda
Sababu haziwaish mara hakuna vifaa,mara nguzo hakuna,mara cjui gar yani sababu
Chungu nzima.

Jaman wanaohusika na hili watusaidie
Viongoz WA mkoa na Wilaya,
Miez 7 imepita sasa bila kuunganishiwa umeme kweli hii ni haki

TANESCO TANESCO

Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
Ahsante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasaa huu, Tafadhali tupatie taarifa zako kamili ili tuweze kufatilia taarifa yako, Jina, Simu, Mkoa, Wilaya, Tarehe uliyolipia, ili tuweze fatililia kwa haraka ndundu mteja wetu^IT
 
Ahsante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasaa huu, Tafadhali tupatie taarifa zako kamili ili tuweze kufatilia taarifa yako, Jina, Simu, Mkoa, Wilaya, Tarehe uliyolipia, ili tuweze fatililia kwa haraka ndundu mteja wetu^IT

Mnazingua sana, ukiacha hilo la kucheleweshewa kufungiwa umeme lililoletwa na mtoa mada. Siku hizi umeme nao haueleweki unakatika hovyo bila taarifa wala nini!

Zipo siku umeme unakatika asubuhi saa 12 au saa moja unarudi saa 2 au tatu usiku!

Achilia mbali wakati mwingine utakatika bila formula!
Mtuambie ili kama kuna mgao tujipange!

Zipo taarifa pia ni hujuma inafanyika, ili wahindi wauze majenereta yao na pannel za sola!

Kiukweli biashara ya majenereta hivi sasa ndio habari ya mjini, na yananunulika kweli kweli.. matangazo yamejaa!

Aiseeh mnaboaaa
 
Ahsante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasaa huu, Tafadhali tupatie taarifa zako kamili ili tuweze kufatilia taarifa yako, Jina, Simu, Mkoa, Wilaya, Tarehe uliyolipia, ili tuweze fatililia kwa haraka ndundu mteja wetu^IT
Changamoto nyingine iliyopo sasa hivi, wateja wote wanaounganishiwa umeme kwa matumizi ya nyumbani. Mita zao zimesetiwa kwa matumizi ya kati.

Mfano mteja akinunua umeme wa tsh 1000 badala ya kupata units 8.1 anapata units 2.9.

Kwa hilo mnatunyonga sana.
 
TANESCO hivi mna shida gani nyinyi watu?
Kwanini umeme umeanza kukatika tena mara kwa mara hivi?

Leo jmosi Kimara mwisho tunaamka hakuna umeme. Weekend hii umeme hamna, kweli?
Hata aibu hamuoni.
 
Tanesco mna Fanya kazi vizuri sana lakini
Lini mtatufikia wengine kwa kutupa huduma ya nishati ya umeme?

Niko igombe "B" ni kweli ukiingia ktk mifumo yanu eneo hili Lima umeme tena kwa kiwango kile rafiki cha tsh 27,000/- lakini eneo hili mnalifahamu vizuri? Kuna eneo kubwa tu hatujafikiwa na umeme maana mnapo kuja mnatembea na Kiongozi was mtaa ambaye mtaa huu ameufanya use na tabaka mbili!

Huku kwetu hawafikishi kiss tu chuki na visasi ambavyo ktk huduma za kijamii havitakiwi kuchang"anywa na mambo binafsi aliyo tokea miaka 7 nyuma?Ebu naombeni nasi Maafisa was tanesc wa tutembelee waone ukubwa was eneo tupatiwe huduma ya nishati ya umeme.

Ukiwa angani usiku utaona kote ni mwanga kumbe mwianga mingine ni nishati ya jua.?
0784 175 906
 
Hongereni tanesco dodoma, niliomba umeme tr. 24.9 kwa app ya nikonek. Mpaka tr. 13.10 nimeshaunganishiwa. Mko vzr!
 
Mrejesho

Ilinibidi nitoe rushwa baada ya kuzungushwa kama Bahasha bila msaada kwa zaidi ya mwaka na nusu, nilienda mpaka ewura wapi, piga simu kwa hawa Wenye jukwaa hili lkn wapi,ilinibidi nijiongeze na ndipo umeme ulipokuja kufungwa kwa speed ya radi, Bila Rushwa huwezi kufungiwa umeme trust me, ukibisha jaribu uone lakini usisite kuleta mrejesho hapa.
Binafsi sikutoa rushwa nazani ilikua bahati yangu

Nilifungiwa ndani ya siku 6
 
-Namba ya kumbukumbu ya malipo ni 991033783871 ya September 28,2022.
-Simu namba 0754323132
-Receipt ya malipo 922272129040163 ya 2022-09_29 saa 5.27.34(in English time is11.27.34).
-Malipo yalilipwa kupitia CRDB Bank.
-Eneo Mwanalugali, kiwanja cha hisia Kali, Kibaha township.

Ninatanguliza shukrani za awali

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Mkuu nazani wamesema namba ya ombi sio hiki ulichotuma I guess

Namba ya ombi ni.ile unatumia hata ku log in kwenye nikonekt app
 
Ahsante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasaa huu, Tafadhali tupatie taarifa zako kamili ili tuweze kufatilia taarifa yako, Jina, Simu, Mkoa, Wilaya, Tarehe uliyolipia, ili tuweze fatililia kwa haraka ndundu mteja wetu^IT
Nmelipia kuunganishiwa umeme tangu tarehe 25 mwez wa Tatu mwaka 2022 Lakin cha ajabu mpaka Leo
Umeme cjaunganishiwa jaman

Mkoa: Kilimanjaro
Wilaya: Rombo office ya tarakea tanesco
Jina : Aristidis S Shirima
Namba +255745140560

Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
 
Ndugu mt
Nmelipia kuunganishiwa umeme tangu tarehe 25 mwez wa Tatu mwaka 2022 Lakin cha ajabu mpaka Leo
Umeme cjaunganishiwa jaman

Mkoa: Kilimanjaro
Wilaya: Rombo office ya tarakea tanesco
Jina : Aristidis S Shirima
Namba +255745140560

Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
Ndugu Mteja
Tumepokea taarifa yako kwa utekelezaji wa haraka^IT
 
Nimelipoa Gharama za kubeba nguzo kuja eneo langu toka December 2021 mpaka sasa napigiwa danadana, tatizo nini? Sijatoa cash ila nimelipa kwa akaunti ya benki
 
Back
Top Bottom