TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Hiyo 'muda huu' ina maana sana. Kwa nini muda ule ukose umeme bila taarifa? Kutwa nzima hakuna umeme, "because of why?" Shida ilikuwa maji sasa mvua zinanyesha, kama shida Kalemani hakukarabati, mama keshakupa trioni 4 ufanye ukarabati, bado umeme umekuwa wa mazingaombwe, mpaka uimbiwe ndo uwake.

wanadai et baba ake ni moja ya wenye nchi.
 
Back
Top Bottom