Maelezo yenu ni mazuri ila watendaji wenu ni tatizo,nataka kuunganisha umeme kijiji(nyumbani) walikuja wakafanya survey,hadi leo sikuwahi kutumiwa control number,baada ya mzee wangu kufuatilia kwa muda mrefu akaambiwa zinahitajika nguzo tatu na anapaswa kulipia sh 3m ili kuunganishiwa umeme,hii ni halali?
Mita namba 04202838969 nyumba namba 02 barabara ya Tuamoyo karibu na msikiti wa Mpeta Mtaa wa SigaraHabari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole kwa changamoto, tunaomba namba ya mita kwa ufuatiliaji zaidi tafadhali.OK
Muhonda /raha na mitaa kibao kwa nn umeme hakuna bila sababu ya msingi kulikoni?Habari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole kwa changamoto, tunaomba namba ya mita kwa ufuatiliaji zaidi tafadhali.OK
Habari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole kwa changamoto, tunaomba namba ya mita kwa ufuatiliaji zaidi tafadhali.OK
Ukiafuata mwenyewe hapo utatoboka TuHello! Naomba kufahamu, Hivi mteja anayehitaji kuunganishiwa umeme anapaswa kumlipa surveyor ili kumfikia mahali pake?
Unaposema umeme mdogo unamaanisha ni wa kiwango gani mkuu?Tanaseco naomba kuuliza kama kuba uhaba wa transformer maana meeneo mengi unakuta nyingi sana zinahudumiwa na transformer moja matokeo yake watu wanapata umeme mdogo.
Unakuta unahangaika na fundi ukidhani vitu vime haribika kumbe tatizo ni umeme mdogo,mnapo unganisha wateja wapya mnashindwa kujua transformer moja inatakiwa kuhumia nyumba ngapi!?
Au mnafaidika na umeme kua mdogo!?
Nimeibibiwa Meter ya LUKU tangu niripoti hawajawakamata wahusika, je hawanunui umeme?
Nipo umbali wa mita 140 kutoka kwenye nyumba yenye umeme, mimi nilipo nahitaji njia tatu kwa ajili ya kuendesha mashine, hii itagharimu kiasi gani?Habari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana na TANESCO huduma kwa wateja na pole kwa changamoto, zifuatazo ni gharama halisi za kuunganishiwa umeme kuanzia tarehe 5/01/2022
•Gharama za kuunganisha umeme mjini ndani ya mita 30 kwa mteja wa njia moja kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 320,960/=,
•Mteja wa njia moja ndani ya mita 70 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 515,618/=,
•Umbali wa njia moja ndani ya mita 120 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 696,670/=
•Aidha, gharama za kuunganisha umeme mjini ndani ya mita 30 kwa mteja wa njia tatu kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 912,014/=,
•Mteja wa njia tatu ndani ya mita 70 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 1,249,385/=,
•Umbali wa njia tatu ndani ya mita 120 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 1,639,156/=.
Zingatia
Gharama ya kuunganisha umeme vijijini kwa wateja wa njia moja ni shilingi 27,000/= (REA)
Gharama hizi ni kama ilivyoelekezwa na EWURA.
NB: Gharama zote zimejumuisha Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) 18%
Ili upate gharama halisi ni lazima wapimaji wafike katika eneo lako.
TANESCO Huduma kwa Wateja
SIMU : 0748550000.
^ OK