Surveyor ulimlipa? Maana mi naombwa pesa
 
Mimi Ni mteja wenu nipo Buza Sigara karibu na msikiti wa Mpeta, tarehe 14/06/2023 nilituma ombi la kubadilishiwa ya mita ya zamani na kupatiwa mita mpya,zinazotumia remote.na nilipatiwa ticket namba 2658529.Imetimia week mbili bado sijapata mrejeshe (feedback) au kufikiwa na wahusika.
 
Habari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole kwa changamoto, tunaomba namba ya mita kwa ufuatiliaji zaidi tafadhali.OK
 
Habari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole kwa changamoto, tunaomba namba ya mita kwa ufuatiliaji zaidi tafadhali.OK
Mita namba 04202838969 nyumba namba 02 barabara ya Tuamoyo karibu na msikiti wa Mpeta Mtaa wa Sigara
 
Asante tanesco huduma kwa wateja mmetatua changamoto yangu ya token ndani ya dk 8 umeme unawaka,keep good work
 
Habari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole kwa changamoto, tunaomba namba ya mita kwa ufuatiliaji zaidi tafadhali.OK
Muhonda /raha na mitaa kibao kwa nn umeme hakuna bila sababu ya msingi kulikoni?
 
LEO SIKUKUU HAMUONI AIBU KUTUKATIA UMEME WAKAZI WA TABATA KISIWANI?
 
Habari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole kwa changamoto, tunaomba namba ya mita kwa ufuatiliaji zaidi tafadhali.OK

Tanaseco naomba kuuliza kama kuba uhaba wa transformer maana meeneo mengi unakuta nyingi sana zinahudumiwa na transformer moja matokeo yake watu wanapata umeme mdogo.

Unakuta unahangaika na fundi ukidhani vitu vime haribika kumbe tatizo ni umeme mdogo,mnapo unganisha wateja wapya mnashindwa kujua transformer moja inatakiwa kuhumia nyumba ngapi!?

Au mnafaidika na umeme kua mdogo!?
 
Hello! Naomba kufahamu, Hivi mteja anayehitaji kuunganishiwa umeme anapaswa kumlipa surveyor ili kumfikia mahali pake?
Ukiafuata mwenyewe hapo utatoboka Tu
Ila wakija wenye nadhan hamna kitu
 
Unaposema umeme mdogo unamaanisha ni wa kiwango gani mkuu?
 
Anaeweza kuiba meter ndo anaweza kuiba mafuta kwenye transformer na hata kuunganisha umeme. Kwa hapo ni vigumu kumkamata mwizi maana wanajuana.
 
Nipo umbali wa mita 140 kutoka kwenye nyumba yenye umeme, mimi nilipo nahitaji njia tatu kwa ajili ya kuendesha mashine, hii itagharimu kiasi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…