Nsennah
JF-Expert Member
- Jan 9, 2021
- 1,947
- 1,554
Surveyor ulimlipa? Maana mi naombwa pesa
Maelezo yenu ni mazuri ila watendaji wenu ni tatizo,nataka kuunganisha umeme kijiji(nyumbani) walikuja wakafanya survey,hadi leo sikuwahi kutumiwa control number,baada ya mzee wangu kufuatilia kwa muda mrefu akaambiwa zinahitajika nguzo tatu na anapaswa kulipia sh 3m ili kuunganishiwa umeme,hii ni halali?