Tanesco nipo dodoma mjini mtaa kizota ninachangamoto ya nguzo ya umeme ya mradi wa REA imechimbiwa ndani ya kiwanja changu bila kushirikishwa siku wanachimbia nilikuwa safarini ,SAsa nataka kufanya ujenzi nashindwa nguzo imechukua nafasi kubwa pamoja chuma zake mnazochimbiaga chini nguzo isiyumbe ,nataka isogezwe pembeni ni hilo tu
 
Tanesco mbona hamjibu nini shida?
Habari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole kwa changamoto hiyo, tafadhali andika barua ya kuhitaji mita hiyo ihamishwe ambatanisha na taarifa zako muhimu kama jina lako, namba ya simu na eneo kiwanja kilipo pia kitu maarufu kama kipo nfano kanisa, msikiti, shule, hospital na uta scan barua hiyo na ututumie kupitia namba yetu ya whatsapp 0758346869 au kwenye email yetu ya customer.service@tanesco.co.tz, utapata huduma.^OK
 
TANESCO, JE ILE APPLICATION YENU YA NIKONNECT NI UHAKIKA????
Habari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole kwa changamoto, app ya Nikonekt ni ya uhakika jihudumie kwa urahisi na haraka.^OK
 
Salama, nahitaji kubadili jina LA umiliki wa mita na pili nataka kuunga umeme kwenye nyumna ambayo nguzo IPO ndani ya eneo langu naloishi haizidi mita 20. Je gharama ipoje kuunga umeme kwan umbali huo?
 
Habari TANESCO naomba msaada najaribu kuweka umeme kwenye MITA lakini ingoma yaani unit Zina reject naomba suluhisho
 
Namkumbuka Magu kwakeli yaani hili limekuwa tatizo sugu, kila siku umeme nikukatika na haijulikani ufumbuzi wake, tunaishi kijima sana
 
Kila la heri TANESCO ila hakikisheni mnaondoa tatizo la kukata umeme kutwa nzima bila taarifa, pia punguzeni gharama za umeme kwenye upande wa bei za kuvuta umeme pamoja na kushusha kidogo bei za units za umeme.
 
Kila la heri TANESCO ila hakikisheni mnaondoa tatizo la kukata umeme kutwa nzima bila taarifa, pia punguzeni gharama za umeme kwenye upande wa bei za kuvuta umeme pamoja na kushusha kidogo bei za units za umeme.
Usiku huu umeme huku Tabata giza kali shida sijui ni nini
 
Your browser is not able to display this video.

Hivi ni kwanini nguzo za zege hazitumiki kama nguzo za umeme?​

Habari wana jamvi,
Kama heading inavyojieleza hizi nguzo za TANESCO ambazo zimetengewa kwa cement uimara wake ni mdogo na ni hatarishi hasa maeneo ya makazi na yenye watu wengi.

Awali nilijua labda zinatengenezwa ndani zinawekwa nondo na seng'enge ili kuongeza uimara kumbe ni tofauti ,hii ni hatari kwasababu kokoto na cement haihusiki kama mti unavyojishika, cement ina tabia ya kujiachia tofauti na nyuzi katika mti , ndio maana hata mti(nguzo ya mti) ikigongwa na kitu kizito uangukaji wake utakuwa tofauti na nguzo ya zege inavyodondoka

Nguzo ya zege inakatika vibaya ikiwa inashuka, unadondoka mithili ya jengo kuporomoka kwa maana itashuka ikiwa vipande vipande tofauti na ya mti ambayo inaweza ikaanguka ila bado imejishikza kidogo palipo katika

Iwapo TANESCO wameamua kutumia hizi za zege vizuri hata ziwekwe nondo ambayo italinda uporomokaji mbaya au kukatika hovyo.

Inasemekana moja iliwahi kuanguka maeneo ya Mwananyamala ikaua mtu.

Kuna haja ya kuziwekea nondo ziwe imara hivi hivi zitakuwa na madhara sana.
Source: ITV
 
TANESICO tz kwanza nawasalim kwa jina la jamuhuri,,mm nimepata Changamoto mwezi na nusu Sasa umepta na tatzo ni kupitia wafanyakaz wenu baaz kutokuwa waaminifu,, mm ni fund wa vitu kama laptops,simu nk,Sasa Kazini ninapojipatia riziki jirani yetu mwenye nyumba alimua kubomoa na Ili aboreshe Sasa sis tulikuwa tukipewa huduma ya umeme kutoka kwa jirani kwa sababu tulipo mwenye mita yeye hatak kushare umeme na mtu,Sasa baada ya aliekuwa anatupa umeme kubomoa na kuanza ujenz mm na baaz tulikoswa umeme.Nilikaa mda wa miezi kama Mitano nikifanya Kaz kwa shida,mwisho nikaamua nianze kujichanga Ili nije nifungiwe mita yangu.sasa Kuna siku alikuja mteja kazin kwangu akiwa na laptop mbovu kwa lengo la kutengenezewa nikampokea ila nikamuomba kuwa ntaenda jirani kukutengenezea coz hapa kwangu umeme kipengere jamaa akaniuliza Kwan shida nn mbona hauna umeme? nikamuweka waz Changamoto zote, jamaa akaniambia pole akaongeza kwa kusema yeye anafanya kazi TANESICO na anaweza nisaidia ,mm nikamwambi kwa Sasa si tunalipi kidigatal hakuna aja ya kuwafata unapakua app yao na kujiunga na kulipia na unaletewa huduma,,jamaa akaniambia napo ni sawa ,wakat naendelea kukagua Kaz yake jamaa akanipa wazo lingine akaniambia yeye alikuwa ana duka sehem na bihashara haikwenda sawa akabidi afunge Ili ajipange upya na alikuwa kafunga mita yake kuepusha Kero ya umeme dukan kwake kwahiyo kama Niko vizr anaweza niletea hiyo mita na Kunifungia niedelee na Kaz na akaenda mbali akasema ninaweza mm kwenda badil jina ikasoma majina yangu bas akatoa kitamburisho akanionyesha ,,tukaogea bihashara na mwisho akaniambia nmpe lak2 atakuja na vijana wafunge,nikamwambia anipe namba ntamtafuta nikkamilisha hiyo pesa,Nika pigana baada ya wiki nikamtafuta akaja akafunga nikaanza Kaz, na akaniambia kuwa baada ya mwezi ndio nilipie coz amelipia mwez mzm,nikamshukuru na Kaz Sasa zikaaza coz nilkuwa sifanyi Kaz vizr,,Sasa shida ilikuja baada ya wiki tatu kwenda nne hv kumaliza mwez, vijan ninaowafundisha Kaz walitangulia kufungua mm nilichewa kidogo, mida kama saa4 asubui ilikuja gari nyeupe yenye usajir wa sm namba sikumbuki, wakashuka mpk kazin wakawakuta madogo wakajitamburisha kuwa ni maafisa wa TANESICO na wanamashaka na mita ya umeme,basi wakafungua wakakagua wakadai mita inachepusha umeme kwahiyo Iko direct hailipii umeme,,wakaomba namba zangu nikapogiwa sim wakadai niwai mm nikamwambia kuwa bado Niko nyumba waliposikia hvyo wakasema utawakuta wadogo zako polis wakakata sim nikapga wakadai Nije polis pamba. Kiufup mm Niko mwanza na nafanyia shuguri zangu mjin,bas nakachukua boda mpk polis pamba baada ya hapo nilikuta madogo wako kituon,nilpofika niganganiwa nikapelekwa mpk kwa injinia kitengeo Cha upotevu wa mapato niongee nae,yeye alisema mita Ina miaka 4 haijalipwa umeme na pia mita ni ya wizi kwahiyo Nina kesi nying ikiwemo kuujum uchumi,Sasa Mimi nikamwambia kuwa twende kazin waulize mita inamda Gani imefungwa pale pili nikamwambia Aile nifungia mita namba yake hii hapa inapgiwa inaita na anapokea kwann nayeye asifatiliwe coz uko hewan na yupo hapa mwanza,wao wakadai wanadili na Alieshikwa na mita bas,dah waliniomba pesa nyingi Ili waweze kuniachia,nilipga cm nyumban ,kwandugu ,marafk niweze kutoa kias walichokitaka Nitoke mpk Sasa Nina maden mengi kisa hii kitu,,.Sasa kumbe yele jamaa alikuwa ameshafanyia watu wengi,anawafanyia hvyo Kaz wema pia wapo baada ya wiki jamaa akanitonya akaniambia Kuna mtu almfanyia kama mm ko kampata na yuko polis makao makuu mwanza,nikakimbia nikakuta ni yeye,kuwapigiwa wa TANESICO hawakunijal polis wakasema tuje badae au kesho tulikuwa watu wawil,kesho napigiwa simu na asikari wa Ile Kes ananiambia kesho nisiende atanitafu ,baada ya siku mbil nikapga cm hapokei kwenda kituoni Kona zikawa nyingi mwisho nikpenyezewa kuwa ni kishoka wao TANESICO Kes haipo,nililia sana.
 
Hivi kipindi Cha magufuli iliwezekanaje umeme kutosumbua kwa miaka yote akiwepo madarakani,Nini kimebadilika ambacho hakikuwepo kwenye utawala wake kimefanya mpandishe Bei ya umeme je nyinyi sio sehem ya HUDUMA na ni anasa kwa mtanzania ?
 
Tanesco UsaRiver, Arusha ,kitu mnachokifanya sio sawa kabisa.Mnazima umeme ,maji ya chai siku mbili mfululizo,usiku na mchana bila taarifa yeyote.Tafadhali mtufahamishe kama kuna mgao ili tuelewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…