TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Nina nunua unit za luku kwa njia ya simu lakini kila nikiweka tokeni naambiwa imeishatumika wakati salio bado lin asoma 0.0, tatizo ni nini tanesco? Naombeni msaada wenu tafadhali. Zingatia nimenunua zaid ya mara 3 suala liko pale pale.
Siku ya pili leo nalala bila umeme.
 
Kwa kuwa ile tozo ya kusaidia REA bado inakatwa kwa wateja wakinunua umeme;
Ikiwapendeza mngerudisha umeme wa REA watu masikini wafungiwe hata kwa shs 50,000=
Kufungia masikini umeme kwa shs laki tatu (300,000) ni sawa na kumuambia auze magunia 6 ya mahindi kitu ambacho kwa kilimo cha mkono ni kama kusema haiwezekani
 
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.

Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;

1. ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2. NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3. KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4. JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5. MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6. KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7. KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)

TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;

LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO

Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu

HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA

Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219

Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098

Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361

Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386

Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110

Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779

Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8

Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590

Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330

Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061

Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672

Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180

Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728

Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2

Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133

Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868

Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120

Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668

Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200

IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makauu.

NAMBA ZA SIMU ZA MADAWATI YA DHARURA YA TANESCO MIKOA YOTE

1. Ilala

0222133330/ 0784 768586/ 0715 768586.

2.Kinondoni Kusini (Magomeni)

0784271461/ 0715271461

3. Kinondoni Kasikazini(Mikocheni)

0784 768584/ 0716 768584

4. Temeke

0222138352/ 0732 997361/ 0758881055/ 0712 052720

5. Pwani
078 5122020/065 7108782/023 2402386

6. Mbeya
0759 777781/0787 023422


7.Arusha
0758174343/
0622612501/
+255 27 2506110

8.Tanga
0658 122 412/0687 677 667/ 027 2646 779

9. Kilimanjaro
0765 397 925/0682 771 310/ (+255) 272 755 007/8

10 Manyara
0689 795 599/ 0627938951

11. Mwanza
0759 777 786/0687 910 202/
(+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

12. Geita
0744 085 696/(+255) 28 2520330

13.Kagera
078 5 787 898 / 075 3 120 701/(+255) 282 220 061

14.Mara
0788 950 688/
028 262 2020/
0762 165 087

15.Simiyu
+255 282 700 180/0626383440/0745044072

16. Dodoma
0782 161 643/(+255) 262 321 728

17. Morogoro
068 4889272 /065 4829046/ (+255) 232 613 501/2

18 Singida
071 4 477 445 /0732 960 924 / 0689 373 757/(+255) 262 502 133

19. Tabora
0786 558 510 /0763 162 868

20. Shinyanga
0754 521 070/(+255) 28 2762120 /
0783 521 070

21. Kigoma
078 3720598/(+255) 2988226

22. Katavi
0688345200

23. Rukwa
0252161120/0768879813
24. Songwe
0684 611716/0763 430381.

25. Ruvuma
0252602281/0763 194 979/0787 758 986

26. Njombe
0744703988

27. Mtwara:
0789 999942/023 2333902

28. Iringa 0262702019/0739203015

29. Lindi
0752518247/0685692786


Kituo cha Miito ya simu/Call Centre Makao Makuu

0768 985 100/0222194400

Facebook
www.facebook.com/tanescoyetu

Twitter
www.twitter.com/tanescoyetu

Tovuti
www.tanesco.co.tz

Barua pepe
Customer.service@tanesco.co.tz

Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
You guys are straight up trash offering shitty services.

Quintessential bush league third world/ third rate service.

Mna website ambayo bure kabisa.

Features hazifanyi kazi.

Kwa nini msilifunge tu hilo litovuti lenu?

Majuha kabisa nyie 🖕🖕🖕
 
Hivi baadhi ya hao surveryors wenu mnawaokota wapi? It is disgusting.

Kajamaa kapumbavu sana ,kamepima kamekosea ramani nimeletewa control number nikalipa 320,960 tena hiyo ni baada ya kupita zaidi ya wiki mbili nimefika ofisini ndio napata control number.

Wamekuja mqfundi kufunga naambiwa ramani imekosewa inahitajika nguzo nawauliza inaweza kuchukua muda gani naambiwa siku yoyote ! Kweli nyinyi ni shirika la umma na mnatoa huduma au mnafanya biashara.??

Nikaenda ofisini naambiwa ni kweli natakiwa kuongeza pesa kwa ajili ya nguzo ila nguzo hazijulikani zitakuja lini sababu hakuna material ya kutengeneza nguzo! (Hapa ilikuwa inatengenezwa mazingira nitoe rushwa)

Tanesco hivi kweli nyie mnatoa huduma na ni shirika la umma?

Ofisi unafika wanakuangalia tu wako busy kuperuse mitandao , hivi mnaonaje mkianza kulipwa kwa task ,bila kukamilisha task msilipwe maana hii ya mtu kujua mshahara upo ndio dharau na uzembe unapoanza.


Je ni kweli nchi imeishiwa nguzo/material ya kutengeneza nguzo ?

Hawa surveryors kama haka kapuuzi huwa mnawapataje ? Maana unaweza mkata mtu makofi analeta mzaha kwenye issue serious na zenye time frame .


TANESCO naombeni majibu ya maswali yangu.
 
You guys are straight up trash offering shitty services.

Quintessential bush league third world/ third rate service.

Mna website ambayo bure kabisa.

Features hazifanyi kazi.

Kwa nini msilifunge tu hilo litovuti lenu?

Majuha kabisa nyie 🖕🖕🖕
Mkuu ukweli hawa watu ni zaidi ya majuha imagine hadi sqsa hakuna respojse yoyote na wapo humu.

Yaani mtu unalipia huduma 500k+ ambayo itaraise revenue ya shirika unakuta kidada kimekalia kiti kinazunguka na kuchat kwa Wi-Fi inayolipiwa kodi na sisi hao hao kinajibu nguzo hatujui zitakuja lini.

Hivi kukata miti ya nguzo na kuifanyia treatment ni rocket science?
 
Mkuu ukweli hawa watu ni zaidi ya majuha imagine hadi sqsa hakuna respojse yoyote na wapo humu.

Yaani mtu unalipia huduma 500k+ ambayo itaraise revenue ya shirika unakuta kidada kimekalia kiti kinazunguka na kuchat kwa Wi-Fi inayolipiwa kodi na sisi hao hao kinajibu nguzo hatujui zitakuja lini.

Hivi kukata miti ya nguzo na kuifanyia treatment ni rocket science?
Juzi nilinunua umeme lakini sikurudishiwa token. Nimesubiri siku mbili nzima wapi!

Leo nikatinga ofisini kwao. Ndo wakaniandikia tokens kwenye hichi kikaratasi!!

Huduma kwa wateja ni changamoto kubwa sana nchini!

IMG_5543.jpeg
 
Juzi nilinunua umeme lakini sikurudishiwa token. Nimesubiri siku mbili nzima wapi!

Leo nikatinga ofisini kwao. Ndo wakaniandikia tokens kwenye hichi kikaratasi!!

Huduma kwa wateja ni changamoto kubwa sana nchini!

View attachment 2822592
Aibu tupu yani watu tunapambana kutoka kwenye makaratasi wao hawaona hata haya kuturudisha huko.!

Hili shirika linahitaji mwendo wa mchaka mchaka tu wala sio vinginevyo
 
Mkuu ukweli hawa watu ni zaidi ya majuha imagine hadi sqsa hakuna respojse yoyote na wapo humu.

Yaani mtu unalipia huduma 500k+ ambayo itaraise revenue ya shirika unakuta kidada kimekalia kiti kinazunguka na kuchat kwa Wi-Fi inayolipiwa kodi na sisi hao hao kinajibu nguzo hatujui zitakuja lini.

Hivi kukata miti ya nguzo na kuifanyia treatment ni rocket science?
Habari ndugu Colonel McCoy, asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole kwa changamoto hiyo tunaomba namba ya ombi la umeme au namba ya simu uliyo tumia kufanya maombi hayo ya umeme kwa ufuatiliaji zaidi.^OK
 
Habari ndugu Colonel McCoy, asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole kwa changamoto hiyo tunaomba namba ya ombi la umeme au namba ya simu uliyo tumia kufanya maombi hayo ya umeme kwa ufuatiliaji zaidi.^OK
Hata mimi nina mwezi nimeshalipia ila wanasema nguzo hamna miti haijakomaa sasa sijui lini hizo nguzo zitafika

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Mimi jana nilinunua umeme Tshs 10,000/=
Nikapata unit 23 Leo nimenunua nikapata unit 28 kulikoni inakuwa panda shuka namna hii
 
Mimi jana nilinunua umeme Tshs 10,000/=
Nikapata unit 23 Leo nimenunua nikapata unit 28 kulikoni inakuwa panda shuka namna hii
Habari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole kwa changamoto, tunaomba namba ya mita kwa ufuatiliaji zaidi tafadhali.^OK
 
Mimi Ujumbe wangu kwa Tanesco ni Kwamba inaonesha shirika limewashinda tu !

How come wenzetu teknolojia zimekuwa na nyinyi hamuendi Ku Acquire knowledge...yaani mpaka hatuelewi Mvua zote hizi zilizonyesha na Still Umeme unakatika kifalafala Kila Siku na ni aibu kwa Mji kama Dar es salaam tena Ilala.

Istoshe mifumo yenu ya Taarifa ni finyu kabisa.....Mtu upo kwenye uzalishaji Mali kwa kutumia Umeme unastukia tu Pap!! Wamekata .

TANESCO BURE KABISA!!
 
Habari ndugu Colonel McCoy, asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole kwa changamoto hiyo tunaomba namba ya ombi la umeme au namba ya simu uliyo tumia kufanya maombi hayo ya umeme kwa ufuatiliaji zaidi.^OK
Mjomba angu ameshalipia nguzo ipo ila kwenye kumuunganishia imekua shida, Wakati Kuna jirani yake kalipia Mbele yake baada ya siku moja kaunganishiwa fasta kuweni Fair.
 
Iv dawati la dharura la kila mkoa naomba namba ya emergency mkoa wa simiyu
 
Kwani Tanesco call centre yao huwa inafanya kazi ,mbona wanakuchezesha muziki then wanakata.Jamani sisi wakazi wa mbezi beach Leo tarehe 2 Dec hatuna umeme kuanzia saa 1 asubuhi mpaka sasa sa 1.30 jioni haujarudi huu ni mgao au tatuzo
 
Huku Mvumi msimu wa masika pia ni msimu wa kukatika umeme.Tatizo lile lile kila mwaka
 
TANESCO KINYEREZI MNASHIDA GANI MBONA MNAKATA UMEME OVYO MNATUFELISHA AU BADO KUNA UKAME AU GAS IMEKUA NYEPEZI MNAZINGUA BWANA SASA LEO KINYEREZI MIDA HII HAKUNA UMEME LISAA SASA HUU SI UJINGA HUU [emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
 
Mvua zinanyesha mpaka mafuriko bado mnakata umeme? Mna roho mbaya sana kuliko kiumbe chochote hapa duniani.

Tatizo hapa ni kwamba, hawa TANESCO hawatowi taarifa kwa Umma ikielezea chanzo na sababu ya kukatika umeme mara kwa mara. Na hii inapelekea kwa wateja kuwa na dhana potofu kwa TANESCO.
 
Nimebadilishiwa mita tangu tarehe 25 Nov'23 lakini hadi leo mita mpya Na. 24316665157 haiwezi kuingiza token na hivyo niko gizani kwa zaidi ya siku 10; Na. ya taarifa karibuni ni 4568614, kama kuna malipo niambieni
 
Back
Top Bottom