Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Wafe kifo kibaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
laana ya kivivu na kichovu sana hiiSiku ya kuadhimisha miaka 62 ya uhuru, usiku mijitu inakata umeme.
MLAANIWE TANESCO.
Thread tayari
Itakuwa ni mmoja wa wakataji wewe.laana ya kivivu na kichovu sana hii
Hivi karibuni kulianzishwa mpango uliowaondoa wateja kwenye ofisi zao, mpango huo ulitufanya tusionane na mafundi kitu ambacho mafundi walianza kufanjaa kwani simu za taarifa zilipokelewa na wengine huku wao wakipewa maelekezo tu. Kuona hivyo wameuhujumu mfumo huo na kuturudisha kwenye ofisi zao ili tuelewane!Hawa ni kuwarekodi na kuweka hapa au yotubev hiyo call center yao inavyo sanifu wateja wenye shida za dharura
Haiwezekani mkuu,,TANESCO.
Kuna jambo linanishangaza. Tanzania ina misimu miwili ya mvua. Vuli na masika. Mabwawa yanaweza kujaa au yasijae.
Sasa kwanini TANESCO hawaoni umuhimu wa KUVUNA MAJI YANAYOTIRIRIKA BAADA YA KUFUA UMEME NA KUYAPUMP BACK KWENYE BWAWA NA KUACHA YALE TU YA ZIADA HASWA WAKATI WA MASIKA. UMEME NI WENU. UNACHOHITAJI NI KUYAKUSANYA NA KUYARUDISHA NA SIO KUYAACHA YA POTEE BAADAE UNAANZA KULALAMA.
AMKENI.
BWAWA LA MWALIMU NYERERE HILO LIFIKIRIWE MAPEMA.
HIVI KUKIWA NA UKAME MIAKA 3 NCHI HAITAKUWA NA UMEME?
Tanesco mpo wapi?umeme haununuliki mtujulishe tufanyeje......Toka asubui tukinunua luku haikubali ,embu mtuambie Kuna changamoto gn huko Tanesco
Wapo wanakulana denda majumbani mwaoTanesco mpo wapi?umeme haununuliki mtujulishe tufanyeje......
Tunaomba jibu, saa 2.40 sasa na maelezo ya asubuhi ilikuwa huduma itarejea baadaye leo.Luku hatupati
Tatizo litaisha saa ngapi