Hajto
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 5,646
- 5,606
Kama unaweza nunua zako Solar uepukane na presha za shirikaHabari
Nikilipia umeme nitakuja kuwekewa baada ya siku ngapi?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unaweza nunua zako Solar uepukane na presha za shirikaHabari
Nikilipia umeme nitakuja kuwekewa baada ya siku ngapi?!
Vyote Vinaharibika Hakuna FidiaHalafu vitu vyenyewe vya kichina toleo la mwisho
Mamlaka Zipo Ila KimyaNdio apo sasa. Yaani Mbwa kala Mbwa.
Ndio vilivyojaa Kariakoo watu wafanyeje
Sii maanishi hivyo. We ndio hujuwi kizungu . Na maanisha unapanda na kushuka . "Power Fluctuation"Umeme una fluctuate ukimaanisha unakatika kila mara. Kwanini vijana wa siku hizi mnapenda vidhungu wakati hamvijui?? Si bora uandike kihehe tu
Sasa wewe ndio mmoja wa wasiojielewa ambaye unashindwa ata kujuwa "Power Fluctuation" alafu unasema wenzio.Hakuna kitu rahisi Duniani kama kuongoza wanachi Wasiojielewa. Wananchi mngekuwa mnajielewa haya mambo yasingetokea
HONGERA CCM.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Injinia wa zamu Teneso week hii kitengo cha mgao.TANESCO kiboko. Umeme usiku kucha una fluctuate hii ni mara ya pili ndani ya wiki 1.
Mtaunguza vitu vya watu. Si muuzime tuu. Au ndio mmetumwa ili watu waingie hasara.
Nchi Ngumu Hii.
Kama tuko karne ya 17 . Ma Engineer gani awo walioajiriwa TANESCO. HII KITU CHA KUCHEKWA . LABDA KAMA NI MAKUSUDI KUWATIA WATU HASARA ILI WAKANUNUE VITU VIPYA KARIAKOO