SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
TAARIFA YA KUTOKEA HITILAFU MKOA WA KINONDONI KUSINI
Shirika la Umeme Tanzania Mkoa wa Kinondoni Kusini linawataarifu Wateja wake kuwa imetokea hitilafu kwenye kituo cha kupoza na kusambaza umeme Magomeni na kusababisha baadhi ya maeneo kukosa umeme kuanzia Jana Oktoba 26, 2017 hadi leo Oktoba 27, 2017
SABABU YA TATIZO
Hitilafu katika Breaket katika kituo cha Magomeni.
Mafundi wanaendelea na Jitihada zakurudisha Umeme.
*MAENEO YANAYOATHIRIKA*
Magomeni Mikumi, Magomeni kwa Shekh Yahaya, Mwembe chai, Kagera, Manzese, Argentina, Highway, na Manzese Midizini.
Imetolewa na
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
27/10/2017