hamna matangazo yoyote wawatangazie wananchi wajue kuna shida gani ni shidahTanesco ilala
eneo lla kiwalani kuanzia airport leo siku ya 3 hakuna umeme kisa nguzo imeanguka kwenye maji .wakazi wa maeneo haya wanategemea maji ya kupampu hakuna ya dawasco kwa hali hiyo tanesco msipoharakisha hali ni tete kipindupindu tunaomba itumike nguvu ya ziada
Namba ya simi tafadhaliTanesco ilala
eneo lla kiwalani kuanzia airport leo siku ya 3 hakuna umeme kisa nguzo imeanguka kwenye maji .wakazi wa maeneo haya wanategemea maji ya kupampu hakuna ya dawasco kwa hali hiyo tanesco msipoharakisha hali ni tete kipindupindu tunaomba itumike nguvu ya ziada
MkoaTanesco sisi wakazi wa kisasa na viunga vyake namaanisha Mlamleni pamoja na churwi ni mji upo nyuma ya kongowe ya wilaya ya Mkuranga ,kuna nyumba zisizopungua 3000 lakini hakuna umeme wanatulete blablaa za kisiasa kwamba tususbili mpango wa REA lakini ukiliangalia eneo jinsi lilivyo kijografia tunahitaji nguzo kama nne kuvuta umeme kutoka majimatitu ufike eneo letu au nguzo hizo nne kuvuta umeme kutoka charambe mbagala.kumekua na uzito sana kwenye jambo hili .Surveyor wanakuja wanaondoka wanatupa matumaini ila hatuono dalili,hatuwezi kusema tupo kijijini mpaka tusubili mpango wa REA wakati tunatumia dakika 7 kufika mbagala rangi tatu tupo karibu kuliko hata watu watu wa vikindu na mbande.kuna namna mapato mnapoteza hapa kama idada kubwa ya kaya takribani elfu 3000 na hakuna umeme
umerudi umeme lakini cha moto tumekionaTanesco ilala
eneo lla kiwalani kuanzia airport leo siku ya 3 hakuna umeme kisa nguzo imeanguka kwenye maji .wakazi wa maeneo haya wanategemea maji ya kupampu hakuna ya dawasco kwa hali hiyo tanesco msipoharakisha hali ni tete kipindupindu tunaomba itumike nguvu ya ziada
wilaya :MkurangaMkoa
Wilaya
Eneo
Namba ya simu
Huduma/tatizo
Tunaomba taarifa kamili ili tuweze kuwasiliana na ofisi inayokuhudumia hapo kama umeongelea mikoa miwili tofauti
Eneo gani kuna baadhi ya maeneo kulipata hitikafu ya mvua kubwa na magari hayawezi kuingia kutokana na uharibifu wa miundombinuTanesco kimara ni jipu tokea jana umeme tunapata nusu saa wanakata kata muda wote inabidi dm ajiatathimin kama anaweza kufanya iyo kaz
Maeneo ya golanEneo gani kuna baadhi ya maeneo kulipata hitikafu ya mvua kubwa na magari hayawezi kuingia kutokana na uharibifu wa miundombinu