Eneo gani haswa na namba yako ya simu mpendwa mtejaHakuna sehemu nimekaa umeme unasumbua kama Wilaya ya Kaliua-Tabora
Kule Tanesco wanakata umeme na kurudisha wanavojisikia mara nyingi (98%) bila hata taarifa.
Kipindi kama hiki wanapiga siku mbili mfululizo mchana na usiku umeme hakuna na hakuna wa kulisemea sio TANESCO wenyewe wala DC wala DED.
Nyie hamuoni kama hii biashara bali wanafanya kama wanawasaidia tu wateja wao.
Visingizio ni kwamba wana marekebisho njia kuu ya Tabora kaliua kupitia urambo lakini hili zoezi halina mwisho.
Kila siku marekebisho
Tunaomba muwashauri wajirekebishe,wanakera sana
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKOHivi tanesco mna shida gani kukata Umeme muda usiku huu SAA 00:14 au unataka watu waibiwe na kufanyiwa vitu vya kialifu maeneo yenyewe haya hata police wapo mbali
Tumeipokea mpendwa wetu tunaifanyia kaziMimi tatizo ni mita nikiangalia salio naambiwa error 00, nikiingiza umeme naambiwa error 01.Nimeripoti Tanesco Bagamoyo mara nne sina jibu, ila Leo 15 - 11 -1917 wamenipa no ya kuripoti 3714 sijawaona kuja kwa tatizo, nifanyeje?? No yao ni 0682140405 , no yangu ya mita ni 24211016928 nisaidieni. Jina langu Joseph Abdallah Lebai,Nipo Kerege Ccm Bagamoyo.
Duh Jana nilishindwa kupokea cm yenu nilikuwa nimetingwa na kaziTumelipokea mpendwa mteja
Tunalifanyia kazi
Eneo gani haswa na namba yako ya simu mpendwa mteja
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.
Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;
1.ENEO HUSIKA
(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)
2.NAMBA YA SIMU
(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)
3.KARIBU NA NINI
(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)
4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO
(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)
5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI
(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)
6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME
(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)
7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI
(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)
TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.
ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO
Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu
HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA
Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219
Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330
Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461
Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098
Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361
Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386
Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110
Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779
Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8
Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590
Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090
Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330
Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061
Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672
Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180
Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728
Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2
Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133
Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868
Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120
Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668
Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200
IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makauu.
Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;
LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO
Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani
Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO
NAMBA YA SIMU NDO ITALETA UMEME??Eneo gani haswa na namba yako ya simu mpendwa mteja
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKOHIVI TANESCO MNA MATATIZO GANI YASIYOISHA KILA SIKU MNAZIDI KUWA KERO KERO KERO...
MMEKUWA NA TABIA AMBAYO SASA NAONA KAMA IMEKUWA NI MAZOEA MNAKATA OVYOVYO UMEME KILA SIKU MAENEO YA KIGAMBONI MPAKA KONGOWE YOTE MBAGALA TEMEKE. HASAWA KWA SIKU ZA WEEKEND JUMAMOSI NA JUMAPILI KUTWA NZIMA UMEME UNAKUWA HAKUNA.
Nakila siku mnapokata mnasingizia kuwa mnarekebisha mitambo mara nguzo mara hiki mara kile na hii ni desturi yenu tangu enzi za mkapa mpaka sasa naona imekuwa ni kama desturi yenu.
mnadhani hii kero mnayotufanyia tunasahau baada ya muda.. hapana tunawaweka kiporo ili tuwajibu kupitia bosi wenu mkuu anaewachekea.
hii katakata yenu muendelee nayo tu tutawajibu 2020 maana naona mmeshazoea KATAKATA..
ENDELEENI TU KUTUTESA NA MIGIZA YENU. KWANI IPTL ILE MITAMBO YAKE HAMUITUMII KWANINI???
AU HAMKUJIANDAA??
MNATANGAZA KWENYE MEDIA KUWA KUANZIA MWAKA 2015 UMEME UTAKUWA HADITHI TU NA HADITHI INAENDELEA MPAKA LEO HAKUNA LOLOTE LONGOLONO TUUU..
Na kero nyingine mnaniuzi mnapomlipisha mteja kuweka nguzo anailipia 1MILIOON afu nikizuia mtu asiitumie mnakataa hii ni mali yangu au ya tanesco??? kama ni yenu kwanini mnaniuzia alafu bado inabaki kuwa yenu afu anatokea mbululaz mnataka apitishie / mumuunganishe kiulaiiini kupitia nguzo niliyoilipia mamilionee hamuoni kuwa mnazurumu wananchi??
badilikeni haya ndio yanachangia kutupa hasira ya kufanya maamuzi 2020
JIANNDAENI...
TANESCO
Ndugu mpendwa mtejaNAMBA YA SIMU NDO ITALETA UMEME??
Kwani huko aliko c mnao wawakilishi wenu? wasilianeni mtatue tatizo sio kuomba namba za sim hazileti umeme
hiviiii inamaana mnavokata umeme kila siku za weeknd jumamosi na jumapili huwa hujui kuwa mnakata? na kwanini mnakata sikuhizi kutwa nzimaa jana tumellala giza tangu saa 11 jioni mpaka asubihi hii ni mida ambazo umeme unahitajika zaidi alafu mnakata tuuu mfyuuuuuuuuuuMFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO
1.JINA.....................................
2.SIMU....................................
5.MTAA/KIJIJI/KATA.........
6.JINSI YA KUFIKA................
7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................
8.NAMBA YA MITA................
9.TATIZO LAKO/UNACHOHITAJI....................
10.NAMBA YA TAARIFA ULIYOPEWA.................
"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
TUPATIE TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA.hiviiii inamaana mnavokata umeme kila siku za weeknd jumamosi na jumapili huwa hujui kuwa mnakata? na kwanini mnakata sikuhizi kutwa nzimaa jana tumellala giza tangu saa 11 jioni mpaka asubihi hii ni mida ambazo umeme unahitajika zaidi alafu mnakata tuuu mfyuuuuuuuuuu
hiviii unataka kunieleza kitu gani ... nimetoka maeneo ya mbgl kizuinani mida ya saa 11 jioni ni umeme hakuna nimefika mpakakongowe kibada kigamboni hakuna umeme jee inamaana tunatumia transfoma moja tu.Ndugu mpendwa mteja
Unapotoa taarifa tulizokuomba unatusaidia kukuhudumia vizuri zaidi kwani mnaweza kuwa eneo moja lakini mkawa mnahudumiwa na feeder au transfoma tofauti hivyo lwa nia njema ya kukujali wewe tunaomba hizo taarifa
TUPATIE TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA.
NDUGU WAPENDWA WATEJA WETU MNAOTOA TAARIFA KUPITIA MITANDAO YETU YA KIJAMII TUNAWAOMBA MZINGATIE YAFUATAYO ILI KURAHISISHA UFAFANUZI NA UFUMBUZI WA TATIZO AU TAARIFA HUSIKA
1.ENEO HUSIKA
(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)
2.NAMBA YA SIMU
(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)
3.KARIBU NA NINI
(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)
4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO
(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)
5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI
(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)
6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME
(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)
7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI
(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)
TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.
ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO
Ndugu mtejahiviii unataka kunieleza kitu gani ... nimetoka maeneo ya mbgl kizuinani mida ya saa 11 jioni ni umeme hakuna nimefika mpakakongowe kibada kigamboni hakuna umeme jee inamaana tunatumia transfoma moja tu.. msiwe wepesi kujibu kirahisirahisi hii ni kero ya muda mrefu sana na kazi yenu ni kujibu tu lakini ikifika jioni lazima mkate na hamtoi taarifa kuwa tunakta umeme sababu mmeshazoea kukata
MTAFUTE MKUU WAKO WA ENEO LA KIGAMBONI muulize kwanini umeme unakatwa kila weekend j1 na j2 KUANZIA SAA 4 ASUBUHI MPAKA USIKU SAA 4 usiku halafu mtupe majibu humuhumu nini tatizo la kutukatia umeme hizi siku 2Ndugu mteja
Kila mahali umeme unapokatika kuna kuwa na sababu maalumu na inatangazwa kwa wateja ndio maana tumekuomba taarifa za eneo lako unalolalamikia, namba yako ya simu tukusikilize. Tupo kukusikiliza na kukupatia ufafanuzi muda wote
Tunashukuru sana kwa taarifa, tumezipokea mpendwa mtejaMTAFUTE MKUU WAKO WA ENEO LA KIGAMBONI muulize kwanini umeme unakatwa kila weekend j1 na j2 KUANZIA SAA 4 ASUBUHI MPAKA USIKU SAA 4 usiku halafu mtupe majibu humuhumu nini tatizo la kutukatia umeme hizi siku 2