TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Hongereni kwa kujiunga hapa!
Niko dodoma nimelipia huduma pamoja na nguzo 1 miezi mitatu iliopita kwa makazi yangu mapya eneo la mlimwa north cha kushangaza naambiwa kila siku nguzo hamna wakati jirani zangu kila siku naona wanawekewa huduma.

Ningependa kujua kama kweli nguzo hamna au kama kuna namna natakiwa kufanya
Na kama hamna zinakuja lini kwa sababu mnanikwamisha kuendelea na mambo mengi sana site kwangu
Asante!
 
Kweli wamefanya vema ila sasa je wataweza kuwa wajibu maswali yetu?? Hapo najua patakuwa shida
 
Asante tanesco hapa kinyerez kibaga mtaa kwa Limbanga maarufu kwa Mpemba inapojengwa kinyerezi 2 Ilala Dsm Tunatatizo la umeme unapo katika na kurudi baadhi ya nyumba kama 30 haurudi mda huo huruka baada ya masaa kama 8 na kuendelea.

Hili tatizo ni mda kidogo tumekuwa tukililipoti tanesco bila utatuzi kwa maelezo zaidi 0755342897
 
Habari mkuu.
Mwaka jana wakati navuta umeme nilimuambia jirani yangu ambaye tupo karibu naye kuwa tuchange pesa kisha tununue nguzo mbili kisha iwe rahisi kuvuta umeme. Yeye alikataa katakata tena kwa kiburi. Wiki iliyopia nimeona tanesco wamekuja kusurvey katika nguzo zangu wakiwa wanataka kumvutia umeme. Mimi nataka kuweka pingamizi kuwa na yeye atafute nguzo zake au atumie line ya mtaa wa nyuma ili avute umeme ila sitaki atumie nguzo zangu.
Naomba muongozo wako katika hili mkuu
Pole sana ndugu yangu. Kuna kaka angu nae ilimkuta ivyo ivyo uko mbezi ya shamba
 
Mmekuwa mkilalamika kwamba mnaendesha shirika kwa hasara, mnajua kama kuna baadhi ya watumishi wa shirika hushiriki kulihujumu shirika kwa kushiriki wizi wa umeme? Mfano pale Kibamba CCM DSM kuna mita moja ya umeme inahudumia zaidi ya nyumba 3 lakini malipo ya umeme kwa mwezi si zaidi ya shilingi 10,000. Pale Igogo Mwanza Mtaa wa mchafukoga kuna mtu anatumia umeme bila mita na yeye kafungua tanesco yake anawasambazia watu umeme majumbani kwa malipo yasiyozidi 10,000 kwa mwezi,akishapokea malipo hayo na yeye anawagawia wezi wenzie pale TANESCO Igogo,wezi wote hao wawili niliowataka walikuwa watumishi wa shirika hilo hapo kabla. Je mnayajua hayo?
TANESCO mbona mmeingia mitini kulitolea ufafanuzi suala hili au limegusa wahusika mnaowajua?
 
mkuu Shirika siku zote linapenda kusikia wateja wake wanafurahia huduma zetu. hivyo basi sio ukiona TANESCO wamekata umeme sehemu jua tu kuna tatizo au ni dharura.

Tunaomba radhi kwa hilo na tutahakikisha tutakuwa tunatoa taarifa mapema kwa wateja wetu
TANESCO TANESCO TANESCO
Kwa kweli "Mbagala Mgeni Nani" linalotokea ni tatizo ambalo halina utatuzi?! au dharura ni kila siku?! Leo umeme umekatika saa 18:47 it's totally unfair,umeme kila siku lazima ukatike! Mbona mtaa wa jirani umeme upo haujakatika?
 
Hawa jamaa bwana, mimi nilileta malalamiko au maulizo yangu hapa siku ya kwanza tu mlipofungua uzi huu mliomba namba yangu niliwatumia na mkaahidi kunipigia na kutoa majibu ya swala langu, cha ajabu mpaka leo kimya. Kwanini?



Na nimeona member wa JF wameuliza maswali mengi sana hapo juu lakini hayajibiwi, kulikuwa na umhimu gani wa kufungua uzi huu?


Ujue mnakera sana TANESCO ni bora hata kungekuwa na shirika mbadala la kusambaza hiyo huduma ya mitandao ya umeme, Haiwezekani mtu unajinyima pesa yako kufanyia mambo mengine na kuwalipa nyie kwa ajiri ya Nguzo lakini for 8 Months (Almost a year) umekaa na hela yangu bila kunipa huduma ninayoihitaji, huo si ujuha?

Jaribuni kujirekebisha kama hamna uhakika na kutoa huduma ndani ya muda ni bora musiwe mnapokea pesa za wateja maana mnatutia hasara bure.
 
Hawa jamaa bwana, mimi nilileta malalamiko au maulizo yangu hapa siku ya kwanza tu mlipofungua uzi huu mliomba namba yangu niliwatumia na mkaahidi kunipigia na kutoa majibu ya swala langu, cha ajabu mpaka leo kimya. Kwanini?



Na nimeona member wa JF wameuliza maswali mengi sana hapo juu lakini hayajibiwi, kulikuwa na umhimu gani wa kufungua uzi huu?


Ujue mnakera sana TANESCO ni bora hata kungekuwa na shirika mbadala la kusambaza hiyo huduma ya mitandao ya umeme, Haiwezekani mtu unajinyima pesa yako kufanyia mambo mengine na kuwalipa nyie kwa ajiri ya Nguzo lakini for 8 Months (Almost a year) umekaa na hela yangu bila kunipa huduma ninayoihitaji, huo si ujuha?

Jaribuni kujirekebisha kama hamna uhakika na kutoa huduma ndani ya muda ni bora musiwe mnapokea pesa za wateja maana mnatutia hasara bure.
 
Mpendwa mteja
Tunaomba namba yako ya simu hata kwa private mesage ili tuweze kushirikiana nawewe kubaina tuhuma hizo nzito ulizotupatia.Tunashukuru san kwa taarifa hizi muhimu
 
Tunaomba utapatie swali lako mpendwa mteja kwani meseji ni nyingi na lengo letu ni kujibu zote kwa ufaha.tunakuombabradhi sana
 
TANESCO mbona mmeingia mitini kulitolea ufafanuzi suala hili au limegusa wahusika mnaowajua?
Mpendwa mtejaTunaomba namba yako ya simu hata kwa private mesage ili tuweze kushirikiana nawewe kubaina tuhuma hizo nzito ulizotupatia.Tunashukuru san kwa taarifa hizi muhimu
 
Hawa jamaa bwana, mimi nilileta malalamiko au maulizo yangu hapa siku ya kwanza tu mlipofungua uzi huu mliomba namba yangu niliwatumia na mkaahidi kunipigia na kutoa majibu ya swala langu, cha ajabu mpaka leo kimya. Kwanini?



Na nimeona member wa JF wameuliza maswali mengi sana hapo juu lakini hayajibiwi, kulikuwa na umhimu gani wa kufungua uzi huu?


Ujue mnakera sana TANESCO ni bora hata kungekuwa na shirika mbadala la kusambaza hiyo huduma ya mitandao ya umeme, Haiwezekani mtu unajinyima pesa yako kufanyia mambo mengine na kuwalipa nyie kwa ajiri ya Nguzo lakini for 8 Months (Almost a year) umekaa na hela yangu bila kunipa huduma ninayoihitaji, huo si ujuha?

Jaribuni kujirekebisha kama hamna uhakika na kutoa huduma ndani ya muda ni bora musiwe mnapokea pesa za wateja maana mnatutia hasara bure.
Tunaomba utapatie swali lako mpendwa mteja kwani meseji ni nyingi na lengo letu ni kujibu zote kwa ufaha.tunakuombabradhi sana
 
Ule mtandao wenu wa taarifa za kukatika umeme ni mzuri sana. Ongezeni eneo ambapo huduma ikirudi tuwape pia taarifa tukiquote ile reference no. Hivyo vitacancel ndani ya system.
 
Tunaomba utapatie swali lako mpendwa mteja kwani meseji ni nyingi na lengo letu ni kujibu zote kwa ufaha.tunakuombabradhi sana
Mimi tatizo langu ni kwamba niliingizwa kwenye tarrif 1 tangu mwanzo wa kufungiwa umeme meter ni mpya na nimefungiwa umeme mwezi august 2016, na matumizi yangu hayazidi units 50 kwa mwezi, naomba kuhamishiwa tariff 4 meter no. 54 1305 1107 1 kwa maelezo zaidi tuwasiliane 0769 229 592
 
Mimi tatizo langu ni kwamba niliingizwa kwenye tarrif 1 tangu mwanzo wa kufungiwa umeme meter ni mpya na nimefungiwa umeme mwezi august 2016, na matumizi yangu hayazidi units 50 kwa mwezi, naomba kuhamishiwa tariff 4 meter no. 54 1305 1107 1 kwa maelezo zaidi tuwasiliane 0769 229 592
Tutaangalia matumizi yako na kukupatia maelezo
 
Kwanini lisiti za luku hazioneshi mtaa na namba ya Nyumba ambayo inatumia na kulipa umeme. Kwa maana nyingine anuani ya mita husika . Mathalani ripoti ya luku isomeke Dar es saalam, District Ilala, Ward, Street, plot/house number. Proof of address ni muhimu sana kwa Tanesco na mteja.

Hata kama Nyumba nyingi hazina house number lakini nyinyi Tanesco mnatakiwa kusajili Nyumba kwa design yenu na address hiyo ionekane kwenye lisiti ya malipo ya umeme. Tafadhali liangalieni hili LA proof of address kwa Tanesco na mteja.
 
Kwanini lisiti za luku hazioneshi mtaa na namba ya Nyumba ambayo inatumia na kulipa umeme. Kwa maana nyingine anuani ya mita husika . Mathalani ripoti ya luku isomeke Dar es saalam, District Ilala, Ward, Street, plot/house number. Proof of address ni muhimu sana kwa Tanesco na mteja. Hata kama Nyumba nyingi hazina house number lakini nyinyi Tanesco mnatakiwa kusajili Nyumba kwa design yenu na address hiyo ionekane kwenye lisiti ya malipo ya umeme. Tafadhali liangalieni hili LA proof of address kwa Tanesco na mteja.
Taarifa hizi na nyingine nyingi kama gps na eneo la mteja zinakuwa kwenye mfumo wetu hivyo sio kila risiti itaonyesha taarifa nyingi sana inaonyesha baadhi ya taarifa muhimu
 
Back
Top Bottom