chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 20,834
- 26,217
Itakuwa umehamishwa tariff kutoka Kwenye matumizi madogo kwenda makubwa.jamani naomba kujua mwezi wa sita nimenunua umeme wa tsh.9500 nilipewa units 75 mwezi huu nimeshindwa kuelewa kabisa tarehe moja nimenunua pesa ileile tsh.9500 nikapewa units 26 naomba kuelewa tatizo ni nini niko Kagera Biharamulo
Subiri utaeleweshwa vizuri zaidi mkuu