TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Umeme umefika kwetu kilakala kongowe ila baadhi ya mitaa aijawekwa nguzo za kusambaza umeme wakati makadi tulishalipa kabla umeme kufika shida nini.

Sent from my SM-A710F using JamiiForums mobile app
 
Tarrif 1 ni wateja wa majumbani ambao matumizi yao ni kati ya unit 75 hadi 7500 kwa mwezi ambapo bei ya unit moja ni shillingi 292 bila kodi za serikali ambazo ni Vat, Rea na Ewura

Tarrif 4 ni wateja wadogo sana ambao wengi wao wanapatikana vijijini ambao matumizi yao ni chini ya unit 75 kwa mwezi ambapo wananunua umeme kwa shilingi 100 bilamkodi za serikali.

TANESCO "Tunayaangaza maisha"
MKUU mi nimelipia niunganishiwe UMEME mwezi wa 2 had Leo sijafungiwa, Leo ndio wamenichanganya kabisa KWA kuniambia store za TANESCO zinefungwa had baada ya mwezi mmoja ni kweli? Niko TANESCO ya kimara
 
Tanesco mkoani kilimanjaro ni lini mtatuletea umeme wakazi wa kijiji cha shabaha kata ya mabogini ni karibu miaka mitatu sasa tunapigwa dana dana tu kijiji kina wakazi zaidi ya elfu moja.

Sent from my SM-G530H using JamiiForums mobile app
 
Tanesco mkoani kilimanjaro ni lini mtatuletea umeme wakazi wa kijiji cha shabaha kata ya mabogini ni karibu miaka mitatu sasa tunapigwa dana dana tu kijiji kina wakazi zaidi ya elfu moja.

Sent from my SM-G530H using JamiiForums mobile app
Kijiji kipo wilaya gani na namba yako ya simu tafadhali

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Umelipia kiasi gani kwa jina gani na namba yako ya simu tafadhali

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Me nimelipia 515,618/= kwa jina la Josephine B. Nkane
no. 0688343697. Nimeaambiwa nisubiri baada ya miezi 6.

Sent from my SM-N915F using JamiiForums mobile app
 
Me nimelipia 515,618/= kwa jina la Josephine B. Nkane
no. 0688343697. Nimeaambiwa nisubiri baada ya miezi 6.

Sent from my SM-N915F using JamiiForums mobile app
Tumeipokea mpendwa mteja

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Tanesco mkoani kilimanjaro ni lini mtatuletea umeme wakazi wa kijiji cha shabaha kata ya mabogini ni karibu miaka mitatu sasa tunapigwa dana dana tu kijiji kina wakazi zaidi ya elfu moja.

Sent from my SM-G530H using JamiiForums mobile app
Kipo wilaya gani na namba yako ya simu

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Ajira mnapeana kwa kujuana hasa hasa kwenye idara ya uhasibu

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Ajira mnapeana kwa kujuana hasa hasa kwenye idara ya uhasibu

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Mpendwa mteja wetu tunakuomba uelekeze lalamiko lako kwa Meneja Muandamizi Rasilimali Watu,TANESCO Makao Makuu,S.L.P 9024 kwa kuonyesha kwa kina unacholalamikia, aina ya upendeleo unaosema,waliopendelewa, Mkoa, Wilaya na nafasi ambazo unazilalamikia.

Aidha unaweza kuambanisha tangazo la ajiri ambalo unazungumzia.hapo ndio Uongozi utakupatia ufafanuzi stahiki.

TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Nipo Morogoro
MSAADA: Nimehamia nyumba ambayo inajitegemea mita, lakini kwa 5000 napata units 13 tu, kama naweza pata msaada wa kuirudisha mita yangu kwenye matumizi ya kawaida, maana matumizi yangu ni madogo sana kwa mwezi,. number yangu ya mita 22132674049
Tutaangalia matumizi yako na kukushauri

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Tanesco Mimi n lilipia kuunganishwa umeme pamoja na nguzo mwezi Wa NNE,,mpaka sawa Hawajaniunganishia NINI tatizo

Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
 
Nilienda kuulizia watakuja lini naambiwa hawajui

Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
 
Tanecso ivi garama ya nguzo moja nyumba ipo wilaya ya Mwanga,kijiji cha kilaweni je ni kiasi gani kwa kuvuta umeme
 
Hivi TANESCO mko serious kweli? MTU nimelipia kuwekewa since January sasa miezi saba hakuna kinachoendelea. Sio vizuri kabisa MNABOA SANA. Niko KWEMBE-MBEZI DSM
 
Hivi TANESCO mko serious kweli? MTU nimelipia kuwekewa since January sasa miezi saba hakuna kinachoendelea. Sio vizuri kabisa MNABOA SANA. Niko KWEMBE-MBEZI DSM
Umelipia kwa jina gani na namba yako ya simu tafadhali

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Kipo wilaya gani na namba yako ya simu

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Wilaya moshi vijijini. namba nitakupa pm

Sent from my SM-G530H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom